Marehemu kabla ya kufa alitoa wosia endapo atafariki, basi Rais Hichelema asithubutu kukanyaga kwenye mazishi/msiba wake.
Familia inatekeleza maelekezo ya Marehemu enzi za uhai wake
Haya yote yanafanyika ili kuwanufaisha na kuwafurahisha watawala huku familia zao zikiwa mbali na mabomu na risasi hizo.
Hii dunia ina mambo ya hovyo sana, eti ninakubali kufa au kuua watu wasio na hatia kisa flani apate mali za kuendelea kula na ndugu zake huku mimi familia yangu ikiendelea...
Mpira ni sayansi na uwekezaji, hayo majini yenu na ushetani wenu hauwezi fua dafu mbele ya mwenye timu bora.
Wekezeni kwenye sayansi ya michezo kwa kusajili wachezaji bora, wataalamu wa utimamu wa mwili wa daraja la juu na kuboresha miundombinu ya uwanjani mtafanikiwa.
Yanga na Simba zote...
Jf nzima ingekuwa na watu kama wewe hakika tungekuwa wamoja ktk kila kitu.
Nimefuatilia hoja zako zinazogusa imani ya kiislamu, always huwa uko na hoja chanya zenye kujenga badala ya kugawana fito.
Habari zenu wakuu.
Sina maneno mengi bali;
ninahitaji mke atakayekuwa tayari kuishi nami.
Sifa zangu.
Umri :33yrs
Elimu: Shahada
Rangi: Mweusi
Dini: Mkristo
Kimo: 178cm
Sifa za mke
1. Umri: 25 -32 yrs
2. Elimu: kidato cha nne na kuendelea
3. Dini: Mkristo
4. Asiwe single mother
Kama uko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.