akili akili
JF-Expert Member
- May 5, 2014
- 1,707
- 1,051
Anaeruhusiwa kuvaa hijab sio Muslim tu, yeyote anavaaMaswala ya dini shuleni yasipewe kipa umbele tutakuja kugawana mbao km waislam wanaruhusiwa kuvaa hijabu na wakristo wavae magauni ya vitenge