Recent content by alwim

  1. A

    Madiwani wa CHADEMA Arusha wamfukuza mkurugenzi wa TAMISEMI

    SAFI SANA MPAKA KIELWEKE.sWALA SIYO KUWATUMIKIA WANANCHI SWALA NI ccm ITOKE MADARAKANI
  2. A

    Mtizamo wa Bloga: Kikwete Tumechoka,No More Drama Chukueni Bilions Zenu za Dowans

    WAPENDWA WANA JF,mimi na swali. je hawa DOWANS wakilipwa au wasipolipwa hizo 94 bln sisi watanzania tutaweza kuona tofauti yoyote katika maisha yetu? ushauri: mi naona tuongelee zisilipwe na tuwaambie zisipolipwa hizo pesa wapeleke kwenye activity yoyote ya jamii ambayo result zake ni TANGIBLE...
  3. A

    Matamko ya (baadhi) waislam (Dar na Mwanza)

    Jamani udini udini udini udini ,lets stop this bsness huu ni mpango maalumu wa ccm kututoa ktk concetration ya mambo muhimu ya nchi,pliz lets not loose our focus
  4. A

    Matamko ya (baadhi) waislam (Dar na Mwanza)

    Wapendwa wana JF, Binafsi nasikitika sana tuapojadili historia ya dini zetu na masiha yetu.Guys kama kweli mliweza kusoma history vizuri na mkaielewa sidhani kama mtaendelea kubishania kuhusu Udini. DINI ZOTE ZILILETWA NA WAMISSIONARY NA WAARABU,ambao their target was how EUROPE AND ARABS...
  5. A

    Tanesco wamekaa kikao kuandaa waraka wa kuwalipa dowans.

    wapendwa wana JF mi nafikiri ni wakati sasa wakufanya mgomo baridi wenye akili,ni wakati wakununua solar,kila mwananchi ajitahidi apate solar as altenative power.Iwapo kila mtanzania anayetumia umeme kwa sasa akiweza kununua sola akafunga nyumbani kwake tukaachana na huu umeme si tutakuwa...
  6. A

    Waandishi wa Habari wa Tanzania sio wazalendo, wana majungu: Kibonde

    Jamani kibonde si mwandishi wa habari ni mc wa shoo za taarabu.naomba muelewe hilo na tusipoteze muda wa kumjadili
  7. A

    CCM Arusha sasa wajisalimisha kwa Pinda...

    wacha wajichangaje kwanza mwisho wasiku watakuwa kichwa chini miguu juu,kesho jamani twende kuwasindikiza mashujaa wenzetu NMC
  8. A

    Polisi wakubali mashujaa wa HAKI kupewa HESHIMA za mwisho viwanja vya NMC kesho!!

    Ni wakati wa kuwaombea wenzetu waliouwawa bila hatia,LAANA KUBWA IENDE KWA YULE ALIYEAMRISHA RAIA WAPIGWE RISASI ZA MOTO. Atalipa damu hizo
  9. A

    UDSM Mgomo wa wanafunzi waanza nao

    Siku zote Serikali imekuwa haikosi visingizio,watu wakidai haki zao taratibu wanaambiwa subirini kwanza mpaka bajeti itakapopita,NA WAKIDAI KWA MGOMO polisi wanatumwa kuwazuia na mpaka kuwaua,WAKISHAONA WATU WAMEUMIA NA KUFA,ndipo serikali huomba wakae meza moja wajadiriane kupata ufumbuzi wa...
  10. A

    MSAADA PLEASE! (Wanaume)

    kaka na maswali yafuatayokabla sijakupa ushauri 1.JE NI MARA NGAPI UMEWAHI KUFANYA MAPENZI 2. JE NI KILA UKIKUTANA NA HUYO MWANAMKE TU KHALI HIYO INAKUTOKEA 3. NA UKIAMKA UCKU UMESEMA UNAIKUTA IMESIMAMA JE HUWA UNAKUWA UNAOTA NINI 4. JE NI WAKATI GANI HUWA UNAFANYA MAPENZI NA HUYO MDADA (...
  11. A

    Maoni ya wananchi: Suluhu ya msongamano wa magari jijini Dar es Salaam

    Mi nafikiri cha muhimu kuwe kuna public transport ambazo ni reliable tatizo la nchii hiii,we are cery good in theories(tuliambiwa kuna magari yatakuja ya mwendo kasi)
  12. A

    Furaha ya CHADEMA

    Jamani Lets think of making PEACE with Justices lather than making Pieces with violence(unjustices)
  13. A

    Furaha ya CHADEMA

    mmmmmmm kumbe kuna watu bado wanamatatizo ya akiri,unaombea uchuro NCHI yako
  14. A

    Nguvu kubwa zimetumika? Haya ndo wanaelezewa pale UDOM sasa hivi.

    mi nawashauri wachkue baskeli na wavae nguo za kijani,waendeshe baskeli kutoka udom mpaka ikulu wakampongeze waliempa hela ya kuchukulia fomu
  15. A

    Tido Mhando atemwa TBC

    Jamani Tido ni kichwa kizuri sana kile kwenye ile fani yake,tunapoteza mtu potential,mi nafikiri kama kuna redio na TV zinazoweza kumlipa hapa bongo achukue kazi au kama vp afungue yake
Back
Top Bottom