Furaha ya CHADEMA

Furaha ya CHADEMA

Huna maana! Unawazia mabaya tanzania yetu. Chadema wapenda amani ni sio huu uchuro unaouwaza mzushi wewe! Go to hell

Kweli kabisa, wanaofanya vitendo kama hivyo, vya kuandamana na kuleta fujo zisizokuwa na maana wanawazia mabaya Tanzania yetu njemaa.

Yaani hao watu waliokaidi amri ya polisi na kuwadanganya watu kuwa nendeni tu mkaandamane na mfanye fujo wanapaswa kulaaniwa sana tena sana kwa kusababisha madhara makubwa kwa jamii, baadhi ya madhara hayo ni vifo, watu kujeruhiwa, biashara kuharibiwa, amani kuvunjika, na wengine kuwekwa ndani na polisi. Walaaniwe wote walioanzisha hii fujo.
 
Watu wengine hawapendi amani kabisa, wanabaka demokrasia halafu wanatoa kejeli
 
kweli kabisa, wanaofanya vitendo kama hivyo, vya kuandamana na kuleta fujo zisizokuwa na maana wanawazia mabaya tanzania yetu njemaa.

Yaani hao watu waliokaidi amri ya polisi na kuwadanganya watu kuwa nendeni tu mkaandamane na mfanye fujo wanapaswa kulaaniwa sana tena sana kwa kusababisha madhara makubwa kwa jamii, baadhi ya madhara hayo ni vifo, watu kujeruhiwa, biashara kuharibiwa, amani kuvunjika, na wengine kuwekwa ndani na polisi. Walaaniwe wote walioanzisha hii fujo.
we nae c unyamaze!wa2 wanatafuta nafuu ya maisha unadhani itakuja kama mkate kwenye sahani?
 
kweli kabisa, wanaofanya vitendo kama hivyo, vya kuandamana na kuleta fujo zisizokuwa na maana wanawazia mabaya tanzania yetu njemaa.

Yaani hao watu waliokaidi amri ya polisi na kuwadanganya watu kuwa nendeni tu mkaandamane na mfanye fujo wanapaswa kulaaniwa sana tena sana kwa kusababisha madhara makubwa kwa jamii, baadhi ya madhara hayo ni vifo, watu kujeruhiwa, biashara kuharibiwa, amani kuvunjika, na wengine kuwekwa ndani na polisi. Walaaniwe wote walioanzisha hii fujo.
we nae c unyamaze!wa2 wanatafuta nafuu ya maisha unadhani itakuja kama mkate kwenye sahani?
 
Hata kule africa kusini wakati makaburu wanawateza waafrica wengine ambao walikuwa wanapata kamkate kupitia haohao makaburi walikuwa wanalaani kabisa waafrica wenzao na kuwatukuza makaburu kuwa walikuwa wanatenda haki na hawakutaka nchi itawaliwe na Mandela.Watu walipambana na kuwekwa ndani lakini mwisho wa siku faida imekuja kwa wote, HATA WALE WALIOKUWA WAPO TU HAWASEMI
Kwa hiyo ni kupambana mpaka kieleweke maana mwisho wa siku wote tutafaidika ila walioumia na kuwekwa ndani walikuwa wachache

Maisha yenyewe yanavyowatandika watu huko mitaani watatoka wenyewe na kudai haki yao bila kusukumwa au kuchochewa na mtu yeyote
 
Time will tell . You can shoot some time but not all the times. carefull guys we heading to hell. watch out if this not solved before 2015
 
demotivational-posters-congratulations.jpg

You full of crap man!!! go to hell, stupid ass!!
 
I failed to interprete the pictures and whole senario???????

what does it mean meeeeen. Please assist me to understand the crisp.
 
mmmmmmm kumbe kuna watu bado wanamatatizo ya akiri,unaombea uchuro NCHI yako
 
Jamani Lets think of making PEACE with Justices lather than making Pieces with violence(unjustices)
 
Exactly "they got fired at", kwa nini? kwa sababu ya kufata watu wenye "upumbavu" ambao wamewaambia andamaneni na huku poilisi wamesha tangaza msifanye maandamano, matokeo? tunayajuwa wote, hakuna siri.

Huyu ni mtu wa propaganda...making a lie to be the truth....Zoba, Msaidizi wa Hiza nini?
 
why not furaha ya police and govement officials? instead of catching criminals are killing innocent citizen
 
Zomba, would you be delighted for people to be submissive even if it is indisputable that they have inherent right to demonstrate, do you know that it is your right to express your feelings? try to orient yourself to objective kind of thinking. Bigotry will never lead this country to a desired destination. You might be one of the fanatics of CCM, but it is not guaranteed that your grand grand son and daughters will follow the same path, they might be in the so called opposition today, so try to focus (difficult for African leadership) whether you are doing the right thing for your descendant
 
Back
Top Bottom