Recent content by alvinroley

  1. alvinroley

    MSAADA: Afrika Kuna Kingdom Iliyoitwa Zamunda? Ipo Wapi? Na Bado ipo?

    Wakuu, kuna muvi ya Eddie Murphy ya mwaka 1988 ya Coming To America. Murphy (Akeem) akiwa Prince wa Dola ya Kifalme iitwayo Zamunda. Je, hii Dola Ilikuwepo? Bado Ipo? Inapatikana wapi? Au Ilikua ya Kusadikika? Msaada Please Wakuu
  2. alvinroley

    Wakili Tundu Lissu ana hoja kuhusu usalama wake ili arejee nchini. Lakini, nani hasa amhakikishie usalama wake ili arejee nchini?

    Siku ukijua ni nani aliyekuwa anamhakikishia Usalama PM Boris enzi zile akiwa mpinzani na kumnyooshea kidole jichoni na kumkamata ugoni Bi Theresa May ndio utajua nani wa kumhakikishia usalama Lissu.
  3. alvinroley

    Uzalendo wa ajabu wa watanzania, unafurahije wakati nchi yako imepata majanga. Hawa ni ma nunda, ma sadist or what?

    Nina uhakika Pascal hawezi kuijibu comment yako iliyojaa points za maana kwa sababu ni mmoja wa kwaya ya kusifu na kuabudu. Hajui hata uzalendo unajengwa na nin ila tu anakurupuka kutaka watu wawe wazalendo. Hajui mazingira ya uzalendo katika taifa au familia unatengenezwaje ili watoto wawe...
  4. alvinroley

    Tusidanganyane: Mbowe bado anataka kuwa Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA

    Nachukia sana watu wanaojihusisha na uchambuzi wa masuala ya siasa halafu wanajinadi eti "INGAWA MI SIO MWANASIASA". huu ni upuuzi na ni umasikini wa elimu ya siasa. Kuhusu siasa ni nini na mwanasiasa ni nan hili lilifundishwa wazi kabsa na walimu pale UDSM tena mwaka wa kwanza kabisa kwa...
  5. alvinroley

    Arthur Peter Mutharika, Rais Mwenye Ulinzi Mkali Mno Africa

    Rais na Mwanasheria nguli wa Malawi Arthur Peter Mutharika (79) kutoka chama cha DPP atajwa na The Sun kuwa ndiye Rais mwenye ulinzi mkali kupita Marais wote barani Africa awe ndani ya Malawi au nje ya Malawi. Wachambuzi wanadai hii labda imetokana na hali halisi ya Maisha ndani ya malawi hivyo...
  6. alvinroley

    Chuki ya Yericko Nyerere dhidi ya Zitto Kabwe ni chuki yake binafsi na sio ya CHADEMA

    Abdul kama siasa unazianza hivi hautafika mbali. Wenzako vijana hawakuanza siasa kwa kuwa dekio la kusafisha wanasiasa. wewe umeanza kwa kutumika kama dekio la kumsafisha Zitto. Acha Zitto mwenyewe amjibu Yericko na usigeuke Messenger hautafika mbali mdogo wangu. Panga strategies zako upya wew...
  7. alvinroley

    Membe jipange, Mzee Makamba yeye hana tatizo kwa hali aliyonayo kwa sasa

    unavyoandika tu inaonyesha we ni wa upande gan, umejitahd kuficha hisia zako tu
  8. alvinroley

    Kati ya Jasusi na Commando, yupi ni mtu hatari sana anayepaswa kuogopwa?

    Good Bro. watu wanachanganya. Jasusi ana mafunzo ya kufika sehem, kuzijua, kukusanya, kuzificha na kuzifikisha taarifa muhimu zinazotakiwa na idara husika. jasusi anaweza kuwa mwanasiasa, muuza pipi, padre, sheikh, mchungaji, askari au hata mwanafunzi. Ila tu anatakiwa kuwa na sharp mind na...
  9. alvinroley

    Israel haina ubavu wa kujibu mashambulizi ya hezbollah

    Kaka, kama Israel angekuwa anapambana na na Hizbollah bas hao hizbollah wangeshapotezwa. Hapo Israel anapambana na mrusi kaka na sio israel na hizbollah..
  10. alvinroley

    Kongole AirTanzania, mnaimarika katika kuitekeleza ndoto ya Rais Magufuli

    Jamaa huyu wamfikirie hata u-DC angalau hata wa huku jamii forums kama kwingineko kumejaa maana anajitahid sana
  11. alvinroley

    What happened to Musiba/Tanzanite?

    Details anazo. Ameuliza makusud ili ajue kama nanyi mmeshazpata. Hebu ng'amua na sumbua kichwa kuhusu hicho kibwagizo kuhusu FBI ktk sentence yake ya mwisho akimaanisha shushushu/jasusi hakuulizi swali kama hajui jibu lake Sent using Jamii Forums mobile app
  12. alvinroley

    NBA AllStar 2019, Charlotte; King James Ampokonya Curry U-Captain wa East

    James (Lakers) amekuwa captain ktk allstars kadhaa akiwa Eastern Conference ambazo amecheza dhidi ya Western Conference. Sasa ameteuliwa kuwa nahodha wa kanda ya Magharibi kwenye NBA All-star 2019 huko Charlotte baada ya kuhamia Lakers iliyopo kanda hiyo ambayo kwa Mara kadhaa imekuwa chini ya...
  13. alvinroley

    Halima Mdee: Rais Magufuli, Serikali yako imechafuka, chutama uweze kujisitiri

    acha uzembena ujinga. umeambiwa doc ni ripoti ya CAG na ameweka reference kuwa 'ripot inasema hivi'. tatizo kutafuta ripoti hamtaki mnakuja kukoment, kweli tanzania vilaza hawaishi.
  14. alvinroley

    Wanaume Wa Dar Njooni Tujadili Haya Mashambulizi Kutoka Mikoani

    Ndugu zangu wanaume wenzangu tunaoishi na kufanya shughuli zetu hapa Dar, sasa hivi tumekuwa tunashambuliwa mno mitandaoni na watu wa mikoani hasa wanaume wenzetu wanaoishi mikoani na pia hata wanawake wa huko mikoani. Wamekuwa wakitudhikahi kuwa sisi tumekuwa laini laini, lonya lonya tusioweza...
  15. alvinroley

    Hatari! Dada aibukia kwa RC Makonda na kudai ametelekezwa na baba yake ambaye ni Mzee Edward Lowassa

    Mwanamke Aliyejitambulisha kuwa anatokea Kigamboni, alitinga witoni kwa RC Makonda akidai kutafuta haki zake kama mtoto aliyetelekezwa wa Mwanasiasa maarufu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema Mheshimiwa Edward Ngoyai Lowassa. Akihojiwa na TV1 Mdada huyo alidai tangu akiwa darasa la sita...
Back
Top Bottom