Wakuu, kuna muvi ya Eddie Murphy ya mwaka 1988 ya Coming To America. Murphy (Akeem) akiwa Prince wa Dola ya Kifalme iitwayo Zamunda.
Je, hii Dola Ilikuwepo? Bado Ipo? Inapatikana wapi? Au Ilikua ya Kusadikika?
Msaada Please Wakuu
Siku ukijua ni nani aliyekuwa anamhakikishia Usalama PM Boris enzi zile akiwa mpinzani na kumnyooshea kidole jichoni na kumkamata ugoni Bi Theresa May ndio utajua nani wa kumhakikishia usalama Lissu.
Nina uhakika Pascal hawezi kuijibu comment yako iliyojaa points za maana kwa sababu ni mmoja wa kwaya ya kusifu na kuabudu. Hajui hata uzalendo unajengwa na nin ila tu anakurupuka kutaka watu wawe wazalendo. Hajui mazingira ya uzalendo katika taifa au familia unatengenezwaje ili watoto wawe...
Nachukia sana watu wanaojihusisha na uchambuzi wa masuala ya siasa halafu wanajinadi eti "INGAWA MI SIO MWANASIASA". huu ni upuuzi na ni umasikini wa elimu ya siasa.
Kuhusu siasa ni nini na mwanasiasa ni nan hili lilifundishwa wazi kabsa na walimu pale UDSM tena mwaka wa kwanza kabisa kwa...
Rais na Mwanasheria nguli wa Malawi Arthur Peter Mutharika (79) kutoka chama cha DPP atajwa na The Sun kuwa ndiye Rais mwenye ulinzi mkali kupita Marais wote barani Africa awe ndani ya Malawi au nje ya Malawi. Wachambuzi wanadai hii labda imetokana na hali halisi ya Maisha ndani ya malawi hivyo...
Abdul kama siasa unazianza hivi hautafika mbali. Wenzako vijana hawakuanza siasa kwa kuwa dekio la kusafisha wanasiasa. wewe umeanza kwa kutumika kama dekio la kumsafisha Zitto. Acha Zitto mwenyewe amjibu Yericko na usigeuke Messenger hautafika mbali mdogo wangu. Panga strategies zako upya wew...
Good Bro. watu wanachanganya. Jasusi ana mafunzo ya kufika sehem, kuzijua, kukusanya, kuzificha na kuzifikisha taarifa muhimu zinazotakiwa na idara husika. jasusi anaweza kuwa mwanasiasa, muuza pipi, padre, sheikh, mchungaji, askari au hata mwanafunzi. Ila tu anatakiwa kuwa na sharp mind na...
Kaka, kama Israel angekuwa anapambana na na Hizbollah bas hao hizbollah wangeshapotezwa. Hapo Israel anapambana na mrusi kaka na sio israel na hizbollah..
Details anazo. Ameuliza makusud ili ajue kama nanyi mmeshazpata. Hebu ng'amua na sumbua kichwa kuhusu hicho kibwagizo kuhusu FBI ktk sentence yake ya mwisho akimaanisha shushushu/jasusi
hakuulizi swali kama hajui jibu lake
Sent using Jamii Forums mobile app
James (Lakers) amekuwa captain ktk allstars kadhaa akiwa Eastern Conference ambazo amecheza dhidi ya Western Conference. Sasa ameteuliwa kuwa nahodha wa kanda ya Magharibi kwenye NBA All-star 2019 huko Charlotte baada ya kuhamia Lakers iliyopo kanda hiyo ambayo kwa Mara kadhaa imekuwa chini ya...
Ndugu zangu wanaume wenzangu tunaoishi na kufanya shughuli zetu hapa Dar, sasa hivi tumekuwa tunashambuliwa mno mitandaoni na watu wa mikoani hasa wanaume wenzetu wanaoishi mikoani na pia hata wanawake wa huko mikoani. Wamekuwa wakitudhikahi kuwa sisi tumekuwa laini laini, lonya lonya tusioweza...
Mwanamke Aliyejitambulisha kuwa anatokea Kigamboni, alitinga witoni kwa RC Makonda akidai kutafuta haki zake kama mtoto aliyetelekezwa wa Mwanasiasa maarufu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema Mheshimiwa Edward Ngoyai Lowassa. Akihojiwa na TV1 Mdada huyo alidai tangu akiwa darasa la sita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.