Arthur Peter Mutharika, Rais Mwenye Ulinzi Mkali Mno Africa

alvinroley

Member
Sep 30, 2016
71
251
Rais na Mwanasheria nguli wa Malawi Arthur Peter Mutharika (79) kutoka chama cha DPP atajwa na The Sun kuwa ndiye Rais mwenye ulinzi mkali kupita Marais wote barani Africa awe ndani ya Malawi au nje ya Malawi. Wachambuzi wanadai hii labda imetokana na hali halisi ya Maisha ndani ya malawi hivyo jamaa anaamua kujilinda zaidi. Msafara wa Mutharika barabarani huwa ni kufuru na kwa huku kwetu hatujawahi kuuona labda kwa kuwa kwetu ni utulivu na amani ya kutosha. Msafara huu unajumuisha magari 8 ya kijeshi ikiwemo na vifaru kadhaa yakisheheni wanajeshi waliokamilika kwa silaha nzito. Pia huwa kuna magari yasiyopungua 10 ya jeshi la polisi la Malawi yenye askari wa field walio na silaha hatari na wanausalama wengi zaidi. Walioshuhudia video za msafara wake majuzi akitoka Blantyre kwenda Lilongwe kujiandaa na safari ya kwenda mazishini Zimbabwe ni mashahadi. Ulinzi huo haujaishia kwa Mutharika tu, bali pia kwa watoto wake Moyenda, Nikolplix na Charlotte ambao ulinzi wao pindi wawapo Malawi ni kufuru, watoto hawa wanapewa ulinzi wa hali ya juu nadhani nikupita ulinzi wa waziri yeyote pale. Imeelezwa kuwa ulinzi wa Peter Mutharika na jinsi anavyohangaika kujilinda hakuna ulinzi wa Rais yeyote hapa Africa unaweza kulinganisha..
 
Sasa mateso yoooote Ya nini? Si achane na huyo urais? Haoni kikwete anavyoishi kwa amani muda woote anatapasam Hakuna haja Ya kuwa rais halafu uishi kwa mateso hata ukiwa ndani Mwako maäana yake anamaadui weengi na kuwa na maadui ni ishara kuwa unatumia nafasi yako kutesa, kudhurumu, kunyanyasa na kudhalilisha watu
 
Rais na Mwanasheria nguli wa Malawi Arthur Peter Mutharika (79) kutoka chama cha DPP atajwa na The Sun kuwa ndiye Rais mwenye ulinzi mkali kupita Marais wote barani Africa awe ndani ya Malawi au nje ya Malawi. Wachambuzi wanadai hii labda imetokana na hali halisi ya Maisha ndani ya malawi hivyo jamaa anaamua kujilinda zaidi. Msafara wa Mutharika barabarani huwa ni kufuru na kwa huku kwetu hatujawahi kuuona labda kwa kuwa kwetu ni utulivu na amani ya kutosha. Msafara huu unajumuisha magari 8 ya kijeshi ikiwemo na vifaru kadhaa yakisheheni wanajeshi waliokamilika kwa silaha nzito. Pia huwa kuna magari yasiyopungua 10 ya jeshi la polisi la Malawi yenye askari wa field walio na silaha hatari na wanausalama wengi zaidi. Walioshuhudia video za msafara wake majuzi akitoka Blantyre kwenda Lilongwe kujiandaa na safari ya kwenda mazishini Zimbabwe ni mashahadi. Ulinzi huo haujaishia kwa Mutharika tu, bali pia kwa watoto wake Moyenda, Nikolplix na Charlotte ambao ulinzi wao pindi wawapo Malawi ni kufuru, watoto hawa wanapewa ulinzi wa hali ya juu nadhani nikupita ulinzi wa waziri yeyote pale. Imeelezwa kuwa ulinzi wa Peter Mutharika na jinsi anavyohangaika kujilinda hakuna ulinzi wa Rais yeyote hapa Africa unaweza kulinganisha..
Atamshinda huyu? Sidhani!
 
Rais na Mwanasheria nguli wa Malawi Arthur Peter Mutharika (79) kutoka chama cha DPP atajwa na The Sun kuwa ndiye Rais mwenye ulinzi mkali kupita Marais wote barani Africa awe ndani ya Malawi au nje ya Malawi. Wachambuzi wanadai hii labda imetokana na hali halisi ya Maisha ndani ya malawi hivyo jamaa anaamua kujilinda zaidi. Msafara wa Mutharika barabarani huwa ni kufuru na kwa huku kwetu hatujawahi kuuona labda kwa kuwa kwetu ni utulivu na amani ya kutosha. Msafara huu unajumuisha magari 8 ya kijeshi ikiwemo na vifaru kadhaa yakisheheni wanajeshi waliokamilika kwa silaha nzito. Pia huwa kuna magari yasiyopungua 10 ya jeshi la polisi la Malawi yenye askari wa field walio na silaha hatari na wanausalama wengi zaidi. Walioshuhudia video za msafara wake majuzi akitoka Blantyre kwenda Lilongwe kujiandaa na safari ya kwenda mazishini Zimbabwe ni mashahadi. Ulinzi huo haujaishia kwa Mutharika tu, bali pia kwa watoto wake Moyenda, Nikolplix na Charlotte ambao ulinzi wao pindi wawapo Malawi ni kufuru, watoto hawa wanapewa ulinzi wa hali ya juu nadhani nikupita ulinzi wa waziri yeyote pale. Imeelezwa kuwa ulinzi wa Peter Mutharika na jinsi anavyohangaika kujilinda hakuna ulinzi wa Rais yeyote hapa Africa unaweza kulinganisha..

uko na clip tuone kidogo
 
Rais na Mwanasheria nguli wa Malawi Arthur Peter Mutharika (79) kutoka chama cha DPP atajwa na The Sun kuwa ndiye Rais mwenye ulinzi mkali kupita Marais wote barani Africa awe ndani ya Malawi au nje ya Malawi. Wachambuzi wanadai hii labda imetokana na hali halisi ya Maisha ndani ya malawi hivyo jamaa anaamua kujilinda zaidi. Msafara wa Mutharika barabarani huwa ni kufuru na kwa huku kwetu hatujawahi kuuona labda kwa kuwa kwetu ni utulivu na amani ya kutosha. Msafara huu unajumuisha magari 8 ya kijeshi ikiwemo na vifaru kadhaa yakisheheni wanajeshi waliokamilika kwa silaha nzito. Pia huwa kuna magari yasiyopungua 10 ya jeshi la polisi la Malawi yenye askari wa field walio na silaha hatari na wanausalama wengi zaidi. Walioshuhudia video za msafara wake majuzi akitoka Blantyre kwenda Lilongwe kujiandaa na safari ya kwenda mazishini Zimbabwe ni mashahadi. Ulinzi huo haujaishia kwa Mutharika tu, bali pia kwa watoto wake Moyenda, Nikolplix na Charlotte ambao ulinzi wao pindi wawapo Malawi ni kufuru, watoto hawa wanapewa ulinzi wa hali ya juu nadhani nikupita ulinzi wa waziri yeyote pale. Imeelezwa kuwa ulinzi wa Peter Mutharika na jinsi anavyohangaika kujilinda hakuna ulinzi wa Rais yeyote hapa Africa unaweza kulinganisha..
Sijaona helikopta hapo, Magu bado yupo juu, juu kileleni. Anaenda hadi Kolomije akiwa anafuatiliwa na mwewe juu, hapo hapo wale wagamboshi 900 wametandaza rada zao kila kona ya Nchi
 
Sasa mateso yoooote Ya nini? Si achane na huyo urais? Haoni kikwete anavyoishi kwa amani muda woote anatapasam Hakuna haja Ya kuwa rais halafu uishi kwa mateso hata ukiwa ndani Mwako maäana yake anamaadui weengi na kuwa na maadui ni ishara kuwa unatumia nafasi yako kutesa, kudhurumu, kunyanyasa na kudhalilisha watu
Hana amani tena baada ya Nape kumchongea juzi yeye na Mwanadiplomasia mbombezi
 
Atamshinda huyu? Sidhani!

Achana na hizo bodaboda mkuu..
Huyu jamaa wa malawi yeye anatembea na msafala wenye gari flani hivi kama vifaru lakini zina tairi za kawaida kama trekta..
Sasa unakuta zinatangulia tatu mbele tatu nyuma..
Hizi gari utaziona sana kwenye movie za kimarekani wakiwa huko midle east kwenye convoy
 

Attachments

  • Screenshot_20190915-102430.png
    Screenshot_20190915-102430.png
    413.7 KB · Views: 20
Achana na hizo bodaboda mkuu..
Huyu jamaa wa malawi yeye anatembea na msafala wenye gari flani hivi kama vifaru lakini zina tairi za kawaida kama trekta..
Sasa unakuta zinatangulia tatu mbele tatu nyuma..
Hizi gari utaziona sana kwenye movie za kimarekani wakiwa huko midle east kwenye convoy
Umeangalia mpaka mwisho au umeona tu pikipiki?
 
Japo ulinzi na usalama wa kiongozi,hasa rais wa nchi ni muhimu katika mazingira yoyote, kwani binadamu hawatabiriki,lakini ulinzi unapokuwa mzito sana hata kuamsha shauku ya watu,lolote laweza kuwa sababu.Hizi hapa chini ni baadhi tu;
1.Kuingia madarakani kimagumashi kwa kucheza na kura n.k.
2.Kulea ama kutojali kuondosha ukabila katika nchi na kutopunguza matabaka yasizidi sana
3.Kuteua ama kupendelea katika kupeleka maendelea kwa vigezo vya kabila au majimbo
4.Kutoa ahadi wakati wa kampeni halafu kutozijali akishaingia 'darakani'.
5.Kulimbikiza mali kimagumashi huku akifumbia macho walio chini yake kwa hilo hilo
6.Kama ana silka ya kujionyesha (hata akiwa wa kawaida),akiwa rais,ubishoo hautayeyuka.
Sana sana utazidi, tena kwa gharama za nchi.
7.Matumizi ya upendeleo katika mali za uma kuelekezwa zaidi kusikokuwa na vigezo vinavyoku-
balika na wengi ndani ya nchi.
.....list inaweza kuwa ndefu.Mbaya zaidi,hayo yote hapo juu yaweza kuwa kwa mkupuo plus na
mengine.
Mungu ibariki Afrika na waafrika.
 
Rais na Mwanasheria nguli wa Malawi Arthur Peter Mutharika (79) kutoka chama cha DPP atajwa na The Sun kuwa ndiye Rais mwenye ulinzi mkali kupita Marais wote barani Africa awe ndani ya Malawi au nje ya Malawi. Wachambuzi wanadai hii labda imetokana na hali halisi ya Maisha ndani ya malawi hivyo jamaa anaamua kujilinda zaidi. Msafara wa Mutharika barabarani huwa ni kufuru na kwa huku kwetu hatujawahi kuuona labda kwa kuwa kwetu ni utulivu na amani ya kutosha. Msafara huu unajumuisha magari 8 ya kijeshi ikiwemo na vifaru kadhaa yakisheheni wanajeshi waliokamilika kwa silaha nzito. Pia huwa kuna magari yasiyopungua 10 ya jeshi la polisi la Malawi yenye askari wa field walio na silaha hatari na wanausalama wengi zaidi. Walioshuhudia video za msafara wake majuzi akitoka Blantyre kwenda Lilongwe kujiandaa na safari ya kwenda mazishini Zimbabwe ni mashahadi. Ulinzi huo haujaishia kwa Mutharika tu, bali pia kwa watoto wake Moyenda, Nikolplix na Charlotte ambao ulinzi wao pindi wawapo Malawi ni kufuru, watoto hawa wanapewa ulinzi wa hali ya juu nadhani nikupita ulinzi wa waziri yeyote pale. Imeelezwa kuwa ulinzi wa Peter Mutharika na jinsi anavyohangaika kujilinda hakuna ulinzi wa Rais yeyote hapa Africa unaweza kulinganisha..
[/QUOTEp
picha please
 
Japo ulinzi na usalama wa kiongozi,hasa rais wa nchi ni muhimu katika mazingira yoyote, kwani binadamu hawatabiriki,lakini ulinzi unapokuwa mzito sana hata kuamsha shauku ya watu,lolote laweza kuwa sababu.Hizi hapa chini ni baadhi tu;
1.Kuingia madarakani kimagumashi kwa kucheza na kura n.k.
2.Kulea ama kutojali kuondosha ukabila katika nchi na kutopunguza matabaka yasizidi sana
3.Kuteua ama kupendelea katika kupeleka maendelea kwa vigezo vya kabila au majimbo
4.Kutoa ahadi wakati wa kampeni halafu kutozijali akishaingia 'darakani'.
5.Kulimbikiza mali kimagumashi huku akifumbia macho walio chini yake kwa hilo hilo
6.Kama ana silka ya kujionyesha (hata akiwa wa kawaida),akiwa rais,ubishoo hautayeyuka.
Sana sana utazidi, tena kwa gharama za nchi.
7.Matumizi ya upendeleo katika mali za uma kuelekezwa zaidi kusikokuwa na vigezo vinavyoku-
balika na wengi ndani ya nchi.
.....list inaweza kuwa ndefu.Mbaya zaidi,hayo yote hapo juu yaweza kuwa kwa mkupuo plus na
mengine.
Mungu ibariki Afrika na waafrika.
picha please!
 
Achana na hizo bodaboda mkuu..
Huyu jamaa wa malawi yeye anatembea na msafala wenye gari flani hivi kama vifaru lakini zina tairi za kawaida kama trekta..
Sasa unakuta zinatangulia tatu mbele tatu nyuma..
Hizi gari utaziona sana kwenye movie za kimarekani wakiwa huko midle east kwenye convoy
Yanaitwa Humvee hayo magari
 
Back
Top Bottom