Wadau habarini
Hivi gharama ya kujenga nyumba ya vyumba vitatu dinning na sitting room mpaka kufikia mwenye lentre inaweza kugharim shingap za kitanzania
Hapa naulizia kuanzia msingi, gharama za mchanga, cement, mawe, etc
Msaada wenu wakujichanga wenzangu
Daaah wadau habarini
Mlioanza shule mwaka 2003-2009 bila shaka mnalikumbuka vizuri hili SHAIRI
Nashauri lirudishwe kwenye vitabu vya mitaala ya sasa maana Lina maana nzuri Hadi leo hii Linawapa watoto motisha ya kusoma au kufanya bidii kufikia kile wanachokitamani
"Nitafanya kazi...
Kiufupi Wewe jua kutumia projekta Jinsi ya kuwasha n mamna y kuandaa notes, jaribu kufwatlia slide moja inatakiwa iwe na maneno mangapi? Tafuta topic zako kama mbili kuhusu uchumi zi maste kweli kweli maana utazi wasilisha mbele ya judges wa usaili, Kisha wao watakuuliza maswal ya kada yako...
Pole sana huyo nmemaliza nae mwaka mmoja kabisa pale lakini sasa nashauri Muulize anapenda biashara Gani umsaidie mtaji kama unaiwezo afanye
Pia asipitwe na tangazo lolote la ajira hata kama nafasi ni moja aombe tu
Lakini pia wakati mwingine dada zetu Hawa degree zinakuwaga za mchongo...
Rafiki angu mfwendesawadogo upo aisee kama umechomoka jamaa yangu hongera sana sikujui lakin huku niliko nmefurahi mno mnoooo jamaa yangu,patient is everything
Vip wale wanaoenda fanya interview Kisha hajapangiwa alipoomba wakapata placement na wanapangiwa kutoka data base unataka sema kuna wawakilishi wa taasisi kwenye jopo la oral pia
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Wadau kuna njia ya Arusha to musoma kwa kupitia Serengeti? Yaani nauliza njia fupi kutoka Arusha to musoma?
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Nakazia napigilia msumari,Dogo nenda wizarani nenda wizarani,nenda wizarani huko jina lilipotoka placement
Sent from my TECNO LE6 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.