Daaah wadau habarini
Mlioanza shule mwaka 2003-2009 bila shaka mnalikumbuka vizuri hili SHAIRI
Nashauri lirudishwe kwenye vitabu vya mitaala ya sasa maana Lina maana nzuri Hadi leo hii Linawapa watoto motisha ya kusoma au kufanya bidii kufikia kile wanachokitamani
"Nitafanya kazi Gani,nikimaliza kusoma
Nipende kuwa rubani kazi nzuri ya heshima,Nirushe ndege angani niifikishe salama,Nikimaliza kusoma nitafanya kazi Gani"
KAMA UNAKUMBUKA BETI NYINGINE TUPIA
WADAU WANGU TULIOSOMA MBARAMO PRIMARY MUHEZA Kila nikikumbuka hili shairi nawakumbuka sana wangu
Chini ya usimamizi wa Mwl wetu mahiri kabisa MWALIMU MAHIMBO NIKIIMBA HILI SHAIRI
NAMKUMBUKA SANA,ALIKUWA MWALIMU MZURI SANA WA ENZI ZILE ALIFUNDISHA VIZURI SANA NA KWA MOYO.,.. MADAM,NAKUTAKIA AFYA NJEMA POPOTE ULIPO
NMEKUKUMBUKA SANA MATUNDA YA UFUNDISHAJI WAKO NA MSISITIZO WAKO KATIKA USHAIRI HUU YAMEONEKANA
ANAE JUA MTUNZI WA USHAIRI HUU NISAIDIE PLZ
Mlioanza shule mwaka 2003-2009 bila shaka mnalikumbuka vizuri hili SHAIRI
Nashauri lirudishwe kwenye vitabu vya mitaala ya sasa maana Lina maana nzuri Hadi leo hii Linawapa watoto motisha ya kusoma au kufanya bidii kufikia kile wanachokitamani
"Nitafanya kazi Gani,nikimaliza kusoma
Nipende kuwa rubani kazi nzuri ya heshima,Nirushe ndege angani niifikishe salama,Nikimaliza kusoma nitafanya kazi Gani"
KAMA UNAKUMBUKA BETI NYINGINE TUPIA
WADAU WANGU TULIOSOMA MBARAMO PRIMARY MUHEZA Kila nikikumbuka hili shairi nawakumbuka sana wangu
Chini ya usimamizi wa Mwl wetu mahiri kabisa MWALIMU MAHIMBO NIKIIMBA HILI SHAIRI
NAMKUMBUKA SANA,ALIKUWA MWALIMU MZURI SANA WA ENZI ZILE ALIFUNDISHA VIZURI SANA NA KWA MOYO.,.. MADAM,NAKUTAKIA AFYA NJEMA POPOTE ULIPO
NMEKUKUMBUKA SANA MATUNDA YA UFUNDISHAJI WAKO NA MSISITIZO WAKO KATIKA USHAIRI HUU YAMEONEKANA
ANAE JUA MTUNZI WA USHAIRI HUU NISAIDIE PLZ