Recent content by ALPHRED MAHUNJA

  1. ALPHRED MAHUNJA

    Naomba ushauri kwenye tukio hili

    Mueleze ndugu yako kuwa wote katika kundi lao walikuwa wanatenda jinai hivyo hakuna atakayesalimika .Rejea Kanuni ya Adhabu kifungu 171A Mpaka 171C .
  2. ALPHRED MAHUNJA

    Je, asiye mwanasheria anaweza kumsaidia mtu asiyeweza kujieleza mahakamani na kumtetea?

    Fafanua tatizo kwanza. Hiyo kesi ni jinai au Madai Ndugu yako ni Mtuhumiwa au Mlalamikaji Ndugu yako ni Mdai au Mdaiwa Kama inawezekana eleza kisa kidogo tuichambue.
  3. ALPHRED MAHUNJA

    Ufahamu juu ya sheria

    Ingawa umeeleza kwa kupinda pinda ila nafikiri nia yako ni hii. Mtuhumiwa ameiba pesa lakini dhumuni la kuiba pesa hizo ni kufidia deni analodai kutoka kwa Mlalamikaji. Kweli hapo mtuhumiwa ametenda kosa na kama atafikishwa Mahakamani basi ili asalimike na kifungo itambidi atumie kifungu cha...
  4. ALPHRED MAHUNJA

    Nyumba yangu inapigwa mnada na NMB

    Ushauri safi wa kisheria nenda kalipe deni. Nenda kakubaliane nao namna ya kulipa. Naamini kwenye mkopo aliochukua Baba y'all na wewe ulisaini sehemu ya mkataba Kama mwenye nyumba. Pole katika uchumi wa kibepari ni vitu vya kawaida sana. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. ALPHRED MAHUNJA

    Nimezaa na mke wa mtu bila kufahamu. Je, naweza kumchukua mtoto?

    Habari wanajamiiforums. Leo Katika kutembelea forum hii nikavutiwa na hii mada. SHERIA HAIKO WAZI SANA ILA KUNA DHANA INAYOSEMA MTENDA UOVU HAPEWI HAKI YA KUFAIDIKA KUTOKANA NA UOVU ALIOUTENDA .PIA KUNA KESI ZIMESHAWAHI KUAMULIWA INGAWA SI KAMA YAKO ILAZINAENDANA. (ii) The court will not assist...
  6. ALPHRED MAHUNJA

    Msaada kwenye kesi ya jinai

    Jinai zote mlalamikaji ni Jamhuri yaani R. v.Agaba.Maana yake ili jamuhuri ikushitaki lazima ijiridhishe kwenye upelelezi wake kama kesi ya jinai inayoanzia Polisi basi polisi na ofisi ya mashitaka imeona ushaidi unatosha itakushitaki hilo si swala la mlalamikaji unayemsema wewe kwani Huyo kule...
  7. ALPHRED MAHUNJA

    Msaada kwenye kesi ya jinai

    Wewe Abagabo s/o Expert member Jf Unashitakiwa kuwa mnamo tarehe 24.06.2019 majira ya saa 20:00hrs huko Tabata segerea uliiba pesa Tsh milioni Themanini Mali ya xxxxx benki.Ulifanya hivyo huku ukijua ni kosa kisheria. Hapo tunategemea Ushaidi muhimu kutoka xxxxx bank anaweza kuwa meneja wa tawi...
  8. ALPHRED MAHUNJA

    Msaada kwenye kesi ya jinai

    Mlalamikaji wa kesi za jinai ni Republic kwani sheria zote kwenye jinai zinasimamiwa na Republic hivyo ukivunja inasimama.Hivyo kwenye hati ya mashitaka Jamhuri itakulalamikia wewe uliyeiba pesa za umma au za Mtu Fulani ikumbukwe kuwa kampuni ni Mtu kisheria ila haiwezi kusimama yenyewe...
  9. ALPHRED MAHUNJA

    Naombeni ufafanuzi juu ya "Citation" ya hizi Case!

    mfano kesi za kikatiba unakilalamikia ibara Fulani ya katiba ambapo serikali inakiona kipo sawa .unatinga Mahakama kuu kesi utakayofungu ni dhidi ya mwanasheria wa serikali mnamuita Attorney General.mfano "pinda case's " TLS vs AG dhidi ya Ibara ya 100 ya Katiba ya jamhuri ya muungano.Ukiona...
  10. ALPHRED MAHUNJA

    Hivi ni kwanini Watanzania ni waoga kufanya manunuzi Mtandaoni?

    Mimi kwa Mara ya kwanza kununua bidhaa nilianzia humu jamii forums kutoka kwa member mmoja anaitwa Stable George yeye tuliingia mkataba wa kuniuzia vitabu ambapo aliniuzia vitabu Vingi kwa softcopy na alinitumia kwa email yangu Ila kwa nje ya nchi bado sijawahi kununua na hasa shida IPO kwenye...
  11. ALPHRED MAHUNJA

    Wanawake warusha Air Tanzania kwa mara ya kwanza.

    Mwanamke kurusha ndege kawaida sana wala si habari yenye mvuto.Tunahitaji ugunduzi wa wasomi wetu kutoka Sikh chuma kinayeyushwa hadi kinapaa angani.
  12. ALPHRED MAHUNJA

    Makafara yanatumaliza wafanyakazi benki ya Posta

    Kuna watu sijui huwa wanafikiriaga nini Yaani msomi wa chuo kikuu tena kwenye mambo ya uchumi unayejua bank inaendeshwa kwa mfumo gani Leo unaongea haya.Yaani nakuona tu hapo location yako na unatumia device ya ofisi kukashifu bank. Mbaya zaidi unaropoka tu bila facts. Nakushauri tu kumbuka kuwa...
  13. ALPHRED MAHUNJA

    Watu waliokufa kipindi ambacho hata dini ya ukristo na uislam hazijaanzishwa wako wapi kama tunajiaminisha kwa kusema dini humfanya mtu kuona pepo?

    zamani kabla ya Dini wewe hukuwepo pia kumbuka tu wao walikuwa na imani zao ambazo walifundishwa kwa wakati huo.Kumbuka tena kila zama na kitabu chake .
  14. ALPHRED MAHUNJA

    Kwanini mahakamani kuna viapo vya kidini?

    Mahakama pia inaamini kwenye saikolojia ya jamii hivyo kuapa kunamaanisha utasema kweli tupu kwakuwa unamuogopa mungu wako kusema uongo .Sasa ukisema uongo ni wewe na mungu wako.Utakachokisema mahakamani mahakama hukipima kama kweli kinawezesha kutenda haki .kushinda kesi au kushindwa ni...
Back
Top Bottom