zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 19,039
- 28,690
Huyo MUNGU anaongelewa tofauti kwenye dini tofauti so hakuna jibu la pamoja.hapo umezungumza kwa majibu wa biblia ambayo tuchukulie ni kama theory.. sasa tuje kwenye uhalisia hivi Mungu atuchome kwa moto ili afaidike nini zaidi?
Ila Abrahamic religions nyingi zinaamini moto ulikuwa maalum kwa Hasimu wa huyo Mungu....yaani Lucifer/Shamael Hivyo basi jamaa akaona kuliko kupotezwa mwenyewe so akaamua kudanganya wanadamu wote ili amkomoe Mungu.
Hivyo basi waliomfuata watapotea naye huko motoni..... Kiufupi ''BIFU'' la Mungu na Lucifer/Shamael ndio limezaa agenda ya moto, hii ni kwa mujibu wa hizi dini za Abrahamic kma wayahudi/wakristo/Islam n.k