8ATP
Senior Member
- Jul 27, 2017
- 167
- 217
Japo kuwa tupo katika 'information age' lakini naona kuna muamuko mdogo sana, hasa wa sisi watanzania kufanya manunuzi mtandaoni. Mimi binafsi nishafanya mara moja kununua bidhaa mtandaoni. Japo kuwa bidhaa ilifika lakini kipindi naisubiri nilipitiwa na mawazo mengi, ikiwemo hofu ya kutapeliwa au kufikishiwa mzigo sio.
Je kwa upande wako ambae umewahi au hujawahi ni nini hofu yako uliyonayo kukufanya usiendelee au usijaribu kununua bidhaa "online".
Karibu kwa mchango wako. Pia wazoefu mnakaribishwa.
Je kwa upande wako ambae umewahi au hujawahi ni nini hofu yako uliyonayo kukufanya usiendelee au usijaribu kununua bidhaa "online".
Karibu kwa mchango wako. Pia wazoefu mnakaribishwa.