kamaka masunga
New Member
- Jun 8, 2016
- 2
- 0
Wataaalam naomba nipate ufafanuzi kidgo je kwa mfano ukute mtu anatuhumiwa kosa dogo la kesi ya wizi japo mshtakiwa naye alikuwa anamdai na akatengenezewa kesi ya kuamua kuchukua Mali bila mhusika na kuiba hela na akakiri baadae akafikiria kuwa amefanyiwa uonevu japo alikubali je anaweza kukata rufaaa ili kesi ifanyiwe uchunguzi??????
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app