Recent content by Almagedon

  1. Almagedon

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wazo la leo: Hawa viumbe hawapendani wanaweza kuuana wakipata nafasi.

    we bana hao ni panya na paka wakiamua kupga picha,acha kutudharilisha wanaume bana!
  2. Almagedon

    JamiiForums Tanzania Je! Unaweza kuifananisha CCM na nini?

    hahaha..dah! hiyo ndo mbaya sana
  3. Almagedon

    JamiiForums Tanzania Joto kali sana mjini

    kweli kbs ccm imelifumbia macho hili swala cjui kwann wakati walituahid kupunguza joto ndan ya jiji letu
  4. Almagedon

    JamiiForums Tanzania Tupe stori za msanii uliesoma au kujuana nae kabla ya umaarufu

    Write your reply...moni central zone nimekula nae sana mafeg na makush pale udom kuna siku tulidakwa na mlinzi tunachoma tukamwomba fair akatuambia tukavutie mbali na hostel
  5. Almagedon

    JamiiForums Tanzania Mungu amewapenda sana waarabu na kuwahurumia.Wao wanaipenda sana dunia na kumhurumia shetani.Wasubiri basi kiboko chao.

    hii dini shida inaanzia madrasa wanayokalilishwa huko ni chuki tu dhidi ya mtu asiye muislam
  6. Almagedon

    JamiiForums Tanzania Mwaka 2024 katika unajimu

    hahaha..ngoja nkusaidie kucheka mkuu mana inaonekana mambo yalienda upside down
  7. Almagedon

    JamiiForums Tanzania Nimechinja mbuzi nimekutana na hiki kwenye ubongo, je binadamu tunayo?

    dah kweli we crocodile! Sa kwenye ubongo wa mbuzi ulikua unatafuta nini mkuu,stake stake hukuziona mkuu
  8. Almagedon

    JamiiForums Tanzania Israel mambo yamewafika hapa. Watishia kuipiga Lebanon kama dunia itashindwa kuwaondoa Hizbullah mpakani. Je, wataweza?

    sure mkuu kuanzia mleta uzi ni ananuka udini tu
  9. Almagedon

    JamiiForums Tanzania Mungu amewapenda sana waarabu na kuwahurumia.Wao wanaipenda sana dunia na kumhurumia shetani.Wasubiri basi kiboko chao.

    uislam ni dini tu km dini zngne tatizo ni mnapoambiwa wachinjen wasio waislamu na nyie ndo mnajilipua,juz tu hapo nigeria mmeua watu 100 wakisheherekea xmas kwahyo mnaamin iko siku mtaua watu wote mtabak wenyew duniani.yani nyie mnacheza na viumbe vya mungu shauli yenu
  10. Almagedon

    JamiiForums Tanzania Israel mambo yamewafika hapa. Watishia kuipiga Lebanon kama dunia itashindwa kuwaondoa Hizbullah mpakani. Je, wataweza?

    hilo cheko lako la heheeeee!! Mbona km nanii hivi...
  11. Almagedon

    JamiiForums Tanzania Hamas walimkuta Joshua amevaa bulletproof

    Write your reply...ukilala, ukiamka unawaza gaza tu na kuwasafisha hamas waonekane malaika ndo mana asbh tu unatupia habar za gaza.hivi nyie mmejitoa kujenga hii nchi mnaijenga gaza et
  12. Almagedon

    JamiiForums Tanzania Israel mambo yamewafika hapa. Watishia kuipiga Lebanon kama dunia itashindwa kuwaondoa Hizbullah mpakani. Je, wataweza?

    kivip, kwan tulikua tunajadiliana au tulikuwa kwenye battle mzee?,kujadiliana lazma mfkie lengo moja ambalo ndo hilo aman dunian au mwenzangu aman gaza tu au mihemko tayar
  13. Almagedon

    JamiiForums Tanzania Kama huna hela unaenda bar kufanya nini? Huo ndio mwanzo wa kuingia kwenye ushoga

    Najua umemind sbb umejua wale madem zako unaowapaga bia ukiwapa mbili wananipenyezea moja af wanakwambia wamemaliza ulivo jinga unawazungushia tn round ukiishiwa muhuni ndo nakaa counter sasa
  14. Almagedon

    JamiiForums Tanzania Israel mambo yamewafika hapa. Watishia kuipiga Lebanon kama dunia itashindwa kuwaondoa Hizbullah mpakani. Je, wataweza?

    okey basi tuombe aman dunian na si gaza pekee kuna ukrain,congo,nigeria tuombe aman na tuitunze aman yetu tusiruhusu udini wala siasa kutuingiza katika vta vya wenyew kw wenyew.au unasemaje shekhe wng
Back
Top Bottom