Kama wamesema watatafutia kipind maalum sio mbaya tusubiri. Lakin kama wewe mtoa mada tukiangalia bunge mda wote tupo kideon kuanzia asubuh mpka litakapoisha kazi tutazifanya saa ngapi? Mbn hakuna tofaut na wacheza pooltable. Napenda tuangalie recorded tena muda iwe kuanzia saa 1 jion.haya ndo...
Ni shabiki wa Chelsea na nmeshama wakala wangu anitafutie timu ya kuwa nayo kwa mkopo Leo ameniletea ripot kuwa akina vardy ntakuwa nao kwa mkopo msimu huu na ujao. Polen msiokuwa hata na timu za mkopo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.