Aaaa wafute tu vyote wasubili watoto watakao zaliwa ndo waanze nao maana wakiisha wa diploma wataanza na form six mwenye sijui E mbili mala tatu basi tabu tupu hakuna aliye salama mwisho wa siku tutaagiza wasomi toka nje maana sisi hatuna sifa atabaki yeye tu. Mwenye sifa
Mdogo wangu mimi kasoma PCB ila katemwa kwenye selection za clinical officer kwa anayejua naomba anifahamishe wametumia vigezo gani kutomchagua asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.