Recent content by Allwayup

  1. A

    Tushirikishane 'Apps' nzuri za simu za Android

    Naomba kuuliza kuroot ndo kufanyaje na process kama inawezekana na kifaa gani kinarootiwa Cm ama tablet
  2. A

    Wizara ya Elimu yakanusha kuzuia wenye Diploma kwenda chuo kikuu

    Aaaa wafute tu vyote wasubili watoto watakao zaliwa ndo waanze nao maana wakiisha wa diploma wataanza na form six mwenye sijui E mbili mala tatu basi tabu tupu hakuna aliye salama mwisho wa siku tutaagiza wasomi toka nje maana sisi hatuna sifa atabaki yeye tu. Mwenye sifa
  3. A

    Chama cha Mapinduzi(CCM) wamtoa machozi Eric Shigongo, wamwambia kunywa maji

    Acha uisome namba kama unavyosema unakipenda chama na ulijitolea kuna mtu alikulazimisha sasa kelele za nini
  4. A

    Ni Tanzania Pekee (only in Tanzania)

    Ni Tanzania pekee ambapo kiangozi anakuwa na kauli mbili mbili mfano tumekusanya bilioni 5.4 na kesho inapanda mala mbili 15.19
  5. A

    Rais Magufuli timiza ahadi yako ya kuwapatia mikopo wanafunzi wote wa Vyuo Vikuu Mwaka huu

    Kama nani hastahili ile hali kachaguliwa kujiunga higher education
  6. A

    Hi

    Hiii
  7. A

    Kasoma PCB lakini kakataliwa diploma ya clinical officer

    Dogo ana phycs B chemist C na Bios B
  8. A

    Kasoma PCB lakini kakataliwa diploma ya clinical officer

    Sasa tatizo ni nn au wanataka wenye ufaulu wa kiwango cha Alama D
  9. A

    Kasoma PCB lakini kakataliwa diploma ya clinical officer

    Mdogo wangu mimi kasoma PCB ila katemwa kwenye selection za clinical officer kwa anayejua naomba anifahamishe wametumia vigezo gani kutomchagua asanteni
Back
Top Bottom