Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,415
- 12,622
Nayachukia haya ma-emoji nyie!
Bora hata iandikwe na dem aisee.
mh tafadhal
Una uhakika gani kama walioweka hizo imoji siyo mademu?Nayachukia haya ma-emoji nyie!
Bora hata iandikwe na dem aisee.




Unahisi me ME mwenzioNayachukia haya ma-emoji nyie!
Bora hata iandikwe na dem aisee.

Kasema anaitwa Msangi.....chunguza vizuri jina lake.!
Ukitoa a & i..uweke e & e
Ataitwa?






Una uhakika gani kama walioweka hizo imoji siyo mademu?![]()
Unahisi me ME mwenzio![]()
![]()
![]()
![]()
Kama majina na avatar haziko wazi iweje udhani kua sisi ni MEMajina na avatar za humu haziko wazi wakuu!
Kama ni madem nisameheni.
....
Majina na avatar za humu haziko wazi wakuu!
Kama ni madem nisameheni.



sasa kuna u-DUME gani kwenye kutotumia imoji, na kuna u-JIKE gani kwenye kutumia imoji?Kama majina na avatar haziko wazi iweje udhani kua sisi ni ME![]()
![]()
![]()
....
Tumekusamehe siku ingine usikurupuke![]()
sasa kuna u-DUME gani kwenye kutotumia imoji, na kuna u-JIKE gani kwenye kutumia imoji?
Pamoja sana MkuuAsante kwa kunisamehe! Sitakurupuka tena.
Mkuu labda mimi ni kwa sababu ni old school, ila emoji zimekaa kike kike!
Mi nakutajia yote:John Punguza Mwendo.
Kifupi chake ndio sijui.



Mungu anakuonaBass Jaman YameishaKama majina na avatar haziko wazi iweje udhani kua sisi ni ME![]()
![]()
![]()
....
Tumekusamehe siku ingine usikurupuke![]()
Haaahaaa unanitafuta wewe koma na sijaribiwi mimi sio wa sport sport oohoooMi nakutajia yote:John Punguza Mwendo.
Kifupi chake ndio sijui.