Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,692
Kuna haka kamsemo " ni Tanzania Pekee a.k.a Only in Tanzania" nimekuwa nikikutana nako kwenye nyuzi mbalimbali humu JF. Nimetumia muda mrefu kutafakari haka kamsemo na nimegundua kweli ni only in Tanzania kuna mambo mengi yanatokea yakushangaza kama si kutuaibisha watanzania.
Ifuatayo ni sehemu ambazo nimekuta huu msemo ukitumika.
Ni Tanzania pekee Tanzanite inachimbwa lakini soko kuu la Tanzanite ni Kenya na India.
Ni Tanzania pekee mwizi wa mali ya uma anajulikana lakini hachukuliwi hatua yeyote.
Ni Tanzania pekee mtu ana PHD lakini hawezi ongea kingereza.
Ni Tanzania pekee Mwenyekiti anajiuzuru tena kwa barua na mbwembwe tele kwenye media ila baada ya mwaka anarudi kwa ubabe nakudai na yeye ndiye Mwenyekiti halali.
Ni Tanzania pekee pesa za maafa/rambirambi zinageuka kuwa za lambalamba.
Ni Tanzania pekee Waziri Mkuu anaulizwa swali anajibu Naibu Spika.
Ngoja niishie hapo mengine mtaongeza wenyewe, maana ni Tanzania pekee ukiongea ukweli unaitwa mchochezi.
Ifuatayo ni sehemu ambazo nimekuta huu msemo ukitumika.
Ni Tanzania pekee Tanzanite inachimbwa lakini soko kuu la Tanzanite ni Kenya na India.
Ni Tanzania pekee mwizi wa mali ya uma anajulikana lakini hachukuliwi hatua yeyote.
Ni Tanzania pekee mtu ana PHD lakini hawezi ongea kingereza.
Ni Tanzania pekee Mwenyekiti anajiuzuru tena kwa barua na mbwembwe tele kwenye media ila baada ya mwaka anarudi kwa ubabe nakudai na yeye ndiye Mwenyekiti halali.
Ni Tanzania pekee pesa za maafa/rambirambi zinageuka kuwa za lambalamba.
Ni Tanzania pekee Waziri Mkuu anaulizwa swali anajibu Naibu Spika.
Ngoja niishie hapo mengine mtaongeza wenyewe, maana ni Tanzania pekee ukiongea ukweli unaitwa mchochezi.