Yan kunawahun nyasa balaaa kulindana ndio usiseme wananchi hawana raha huko wanataman hata kuhamia malaw na kuomba kabixa mutharika ajitahd achukue mana Tanzania inazid mh
Ni baada ya kufanya kazi kwa bidii ili kusomesha watoto wao na kujitafutia ridhik wakishirikiana na vyama vya ushirika na hatima yake kuishia kulia kilio cha samaki NALETA KWENU KAMA NILIVYOIPOKEA KUTOKA NYASA.
Chama cha msingi cha ushirika AMCOS kingerikiti kimesababisha upotevu na hasara ya...
mwache afie huko huko kwan c alikubar kufa naye shida na raha huna chako hapo utalia bure maua hayo kila cku huchanua ohooo tafuta wako wakukufia sio huyo tena
Kwanza nitoe shukuran kwenu Kwa kaz hii nzito ya ujenz wa Taifa lakn nitafurah zaid mkija kwetu RUVUMA hasa jimbo la nyasa mana hatujui kwann tulizaliwa hapa Tanzania tumesanaurika sana kwahyo naomba sana msitusahau jaman tunakufa ndugu zenu yan kila kitu huku ni shida mpaka inafika mahar watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.