Ruban Bomani na mwanafunzi wake Edga Mecha wamefariki jana katika ajali ya ndege ya Mafunzo ya Chuo cha usafirishaji NIT.
Huko Zanzibar Muda mfupi tu baada ya kuruka na kushika moto.
Mungu aziweke pema roho za marehemu hawa wapumzike kwa amani[emoji24] [emoji24] [emoji24]
UMOJA WA WANAFUNZI KARISMATIKI KATOLIKI VYUO VIKUU TANZANIA
Umeandaa mkutano MKUBWAA
unaojurikana kama
CAMPING EXPERIENCE SEASON II.
KATIKA VIWANJA BETHEL NDANI YA MFULU, KIGAMBONI.
ITAKAYOANZA KL TAREHE 7 DEC HAD 11 DEC MWAKA HUU.
GHARAMA YA MALAZI NI SH 15000 KWA MUDA WA SIKU ZOTE...
Sikupenda kucomment,
Kifupi kunabidhaa nyingi zinatumia plastic as secondary package hapa nchini.
chakuangalia hasa kuhusu mazingira sio bidhaa ngapi ila rate ya matumizi na mode ya kudeposite hiyo package.
Kama unapackage ya plastik na rate ya matumiz ni kubwa sio siri huwezi kuponya...
Oh! Mungu faraja ya kweli acha abaki kuwa Mungu.
Mungu atakupa ndugu wengi wenye upendo na faraja kwako
Imba, wewe uliye tasa, wewe usiyezaa; paza sauti yako kwa kuimba, piga kelele, wewe usiyekuwa na utungu; maana watoto wake aliyeachwa ni wengi kuliko watoto wake yeye aliyeolewa, asema...
Ila ni mabaunsa,
Wanapenda saaana kumiliki hadi akir za mwanaume.
usipokaa chonjoo watakuenyesha.
Wengi wasaafi nje kimuonekano, ila ndani ya nyumba halaulaaaaa
kimahusiano sio waaminifu 75% ila ukioa cool on the house
Sent using Jamii Forums mobile app
Haitawezekana, kwani kuna international boundaries na country boundaries
(Anga la kimataifa na Anga la nchi)
Kwa usalama wa nchi ndege yoyote hairuhusiwi kuluka (kama sio ya nchi hio au haina mkataba) chini ya anga la kimataifa otherwise itatunguliwa,
ICAO wanatoa hzo reg na kuziSimamia ila...
Hii ndio Tanzania, baada ya siku chache mtanzania mwenye commenti hzo za kusema washushe tu ndio anakuwa na ndoto za kuwa mwanasiasa badae.
Kiukweli mwanadamu akishindwa kumiliki fikra na hekima zake mwenyewe cjui familia yake.
[emoji35] more worth nazani [emoji35]
Vitu kama hv vinaimpact kubwa msichukulie kirahis
TAA, ni agent wa ICAO tanzania, hvyo failure yao kwa makubaliano ya kimataifa yana impact kubwa.
Kuna watu tena waTz wenye ufahamu wa ubuyu wanasema bora vishushwe hujui, kwamba mfumo mpya ndio unarahisisha maisha. Hvyo mara nyingi kitu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.