Allen Mapunda
Member
- Mar 20, 2017
- 23
- 23
UMOJA WA WANAFUNZI KARISMATIKI KATOLIKI VYUO VIKUU TANZANIA
Umeandaa mkutano MKUBWAA
unaojurikana kama
CAMPING EXPERIENCE SEASON II.
KATIKA VIWANJA BETHEL NDANI YA MFULU, KIGAMBONI.
ITAKAYOANZA KL TAREHE 7 DEC HAD 11 DEC MWAKA HUU.
GHARAMA YA MALAZI NI SH 15000 KWA MUDA WA SIKU ZOTE USAFIRI. NI BURE KABISA
MAMBO YAPATIKANAYO KULE NI
MICHEZO
MAFUNDISHO MBALIMBALI KAMA MAHUSIANO NA THE POWER OF IDENTITY NK
MOVIE
MSOSI MARA 3 PER DAY
ZAIDI UNAPATA EXPOSURES KWA WATU MBALI MBALI.
HIII NI KWA WATU WOOTE, DINI NA MADHEHEBU MBALIMBALI.
JINSI YA KUJIANDIKISHA KUNANJIA MBILI
YA KWANZA NITAFUTE KWA NAMBA HIZI
0757739753
0717534043.
Zingatia: kama ungependa kushiriki nasi usitume pesa popote mpaka utakapoelekezwa njia sahihi. Ogopa matapeli.
NJIA YA PILI
JINSI YA KUJISAJILI ONLINE *CAMPING EPERIENCE SEASON II*
ANDIKA
*Code ID* acha nafasi *JINA LAKO KAMILI* tuma kwenda no 0763700076 Kwa mfano mimi ni mwanafunzi wa
NATIONAL INSTITUTE OF TRANSPORT
NENDA UWANJA WA MESEJI ANDIKA
NIT Jackson Mssawa
kisha nitatuma kwenda kwenye namba *0763700076*
*Jisajili sasa*
Ukiwa na mesege ya bure inatosha kujisajili.
*CAMPING*
USIOGOPE HATA KAMA HUJAPATA PESA JISAJILI MUNGU AONE TAMANIO LAKO AKUPE MPENYO WA PESA