Tabia za wanawake wa mkoa wa Mbeya

Tabia za wanawake wa mkoa wa Mbeya

Ila ni mabaunsa,

Wanapenda saaana kumiliki hadi akir za mwanaume.

usipokaa chonjoo watakuenyesha.


Wengi wasaafi nje kimuonekano, ila ndani ya nyumba halaulaaaaa

kimahusiano sio waaminifu 75% ila ukioa cool on the house

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini ndugu zangu katika pitapita mkoani mbeya nimegundua yafuatayo:

1-Wamama wengi wanapenda kujishughulisha na biashara mbalimbali kubwa na ndogo wengi ni wataftaji....

2- wanawake wengi wenye watoto wadogo hupenda kutembea nao migongoni yani ukikatisha mitaa ya sokoni kila mmama kabeba katoto..

3- wengi wanabeba watoto na kikoi
4- na wanapenda kubeba vikapu kila Kona
5- afu Wamama wana wivu sana
6- Wamama asilimia kubwa wacha Mungu....
Ni hayo tu jaman karibuni sana Mbeya bila kusahau mawife material wamejaa uu mkoa jaman...
Karibuni mbeya
NB: went mapovu mnakalibishwa....


LOVE ABOVE ALL
Hizo ni tabia au majukumu?
 
Na Mabwanyenye wa kando ya ziwa. Anaweka sifa, anaweka vigezo vya uwongo...Ila kwa namna ni ukweli
 
Habarini ndugu zangu katika pitapita mkoani mbeya nimegundua yafuatayo:

1-Wamama wengi wanapenda kujishughulisha na biashara mbalimbali kubwa na ndogo wengi ni wataftaji....

2- wanawake wengi wenye watoto wadogo hupenda kutembea nao migongoni yani ukikatisha mitaa ya sokoni kila mmama kabeba katoto..

3- wengi wanabeba watoto na kikoi
4- na wanapenda kubeba vikapu kila Kona
5- afu Wamama wana wivu sana
6- Wamama asilimia kubwa wacha Mungu....
Ni hayo tu jaman karibuni sana Mbeya bila kusahau mawife material wamejaa uu mkoa jaman...
Karibuni mbeya
NB: went mapovu mnakalibishwa....


LOVE ABOVE ALL
Mabinamu wanagongana san!
Demu wa kinyakyusa akikwambia huyu shemeji/ kaka/ binamu yangu/ nilisomaga nae ujue kishagawa uroda.
 
Back
Top Bottom