Recent content by ALLAN DUGGA

  1. ALLAN DUGGA

    Waliompiga Daktari mkoani Mtwara wakamatwa wakijiandaa kutoroka kwenda nje ya nchi

    Wapigwe tu Hamna namna kwann kumpiga daktari kwasababu ambazo hazina mantiki yoyote,,?
  2. ALLAN DUGGA

    Beyonce kaanzisha kanisa lake?

    Duuu!! Amazing nasema wote mashwetan,, hata kama siruhusiw kumhukumu binadam mwenzangu bt kwa hlo la kujifanya mungu mtu wacha niseme hao ni mashetaniiiii
  3. ALLAN DUGGA

    Uwongo zambi, kusema la ukweli hii kitu mimi naipendaga sana.

    Mmmh!! Lugha tata xaxa tukuombee kwan ni dhambi au?
  4. ALLAN DUGGA

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Nina Tecno Y6 ina miez 6 naitoa kwa 8GB,Android 4.4.2 sh.120000,,,namb 0758578728
  5. ALLAN DUGGA

    Maandalizi ya kuzamia South Africa na Botswana sasa 93%

    Mwanaume hutakiw kuogopa kaza msuli kk
  6. ALLAN DUGGA

    Maandalizi ya kuzamia South Africa na Botswana sasa 93%

    Nenda kk ukichek na ukaona fursa za kupiga mkwanja zipo unishtue namm bhana
  7. ALLAN DUGGA

    Marekani kuitikisa Tanzania kwa vikwazo

    Ni kwel kbs mzimu wa kolela.
  8. ALLAN DUGGA

    Kweli mtoto wa mkulima kaamua kuwekeza

    Yaaaaa,,auze na ubuyu ni biashara mzur xana.
  9. ALLAN DUGGA

    Kumtongoza mwanamke asubuhi ni laana?

    Hakuna laana ww tongoza ukimalza nenda kazin piga kazi utasubiria majibu lkn usisahau kuchukua namb ya sim na ww kumpa yako coz itarahisisha safar,,, mtongozaj oyeeeeee...
  10. ALLAN DUGGA

    Ufafanuzi wa Nape juu ya TBC kubadilisha utaratibu wa kurusha LIVE matangazo ya Bunge

    Opress kubana matumiz au kuchakachua habari? Tunataka habari live sio hzo recorded zilizochakachuliwa huu ni uhuni tu,, ttzo la viongoz wa tz bangi nyng kichwan ko ni kama wanashindana kfny vitu vya kijinga kwa hlo mheshimiwa amevurunda bora angekaa kmy sio kupenda sifa mambo yako kiutandawaz...
  11. ALLAN DUGGA

    Uchaguzi Zanzibar: Hongera Rais Magufuli kwa msimamo sahihi

    HaHahaaaaaaaaaa,,,,,wacha nicheke japo nna pengo
  12. ALLAN DUGGA

    Jiji la Mbeya kama kijiji

    Pambaf mtoa mada, mwachen huyo zingo zingo hajui hadhi ya jiji inatokana na nn,,, anataka anaongelea maghorofa tu ya hotel halafy cha ajabu anayataja ya zaman na ya kawaida yy na Dereva wake wote machizi angezungukazunguka aulizie hotel zenye hadhi hapa town kwa sasa,,, halaf eti oooh,,, cjaona...
  13. ALLAN DUGGA

    Rais Magufuli amfukuza kazi katibu tawala wa mkoa wa Mwanza

    Hatuna viongozi TZ ni ubabaishaji tu kwa safari za mara chache tu nlizopata kuingia Zambia nmegundua utofaut mkubwa wa utendaji kazi wa viongoz na serikal kwa ujumla,,,, huku ni kukurupuka tu hakuna cha ziada mara fukuza, simamisha, fukuza,, mpe siku tatu,, waziri wa nishati weka yule yule wa...
  14. ALLAN DUGGA

    Rais Magufuli amfukuza kazi katibu tawala wa mkoa wa Mwanza

    Hahahahaaaaa,,,,haya bhana
Back
Top Bottom