Jiji la Mbeya kama kijiji

Jiji la Mbeya kama kijiji

ULOZI wa mbeya ni hatari sana kwa mustakabali wa maendeleo ya linaloitwa "JIJI" wasio-wenyeji hufurushwa kwa matukio kadhaa ya uchawi katika biashara zao. Inasikitisha sana kwa kweli.
 
wenyeji tumekuja mleta maada yaelekea ulikuja mbeya miaka 15 iliyopita
 
Kuna mtu nimemsoma anasema hotel zina vyumba vidogo kama guest.
Kwani wewe mgenu unataka kulala au unataka kucheza vigodoro vyako humo ndani au ndiyo umekuja na familia nzima sasa unataka kubana matumizi kuchukukua chumba kimoja wengine uwalaze chini!
 
Wakazi wengi wa mbeya.. ni wavivu.. ukitaka kujua hvyo... tafta gari la abiria kuanzia saa 3 usiku.. kama utapata... hata maduka yanafungwa saa 2... note ya 10000, mpka shelly
 
Nashangaa sana Mbeya Kuitwa Jiji.....ni kama vile kuiita Kibera Jiji....yaani mji ni vurugu tupu hakuna mpango
 
andreakalima,
Mi nawasiwasi huyu kalishwa ndimu na mtu wa mbeya sio bure, kwa hiyo kila kitu cha mbeya ni kichachu kwake! kwa taarifa yako tu kaa ukijua mbeya ni "geneva ya Africa" na sifa hizo hazijaanza leo wala wakati wewe umezaliwa, sifa hizo ni orijino toka milenia ya pili ilipoanza.... napita tu.
 
Arusha mnayoisifia ndiyo choka kabisaa.
Arusha ni mji mchafu sana na worse ni kwamba majumba ya mbavu za mbwa yapo hadi City Centre. Maeneo kama Ngarenaro ambayo yapo 0.1 km toka mjini ni horrible...hata baiskeli ya miguu mitatu haiwezi kupata barabara, miili ya marehemu inabebwa kwa 0.5 km ili kufika kwa marehemu kwa kukosa barabara.
Tazama sewerage system ya Arusha, kila siku ukipita mtaa wa Mkuu wa Uhuru, lazima ukutane na machemba yanayotema. soko Kuu ndiyo kama Jehanamu...ni uchafu uchafu mtupu. sijawahi kuona uzuri wa Arusha japo niko hapa kwa miaka 15.
 
mimi hii post yako nairipoti lakini nakushauri ifute utapata shida wadau wakiingia humu wapo wengi kichizi. Hujui hao unaowaita Wachawi ndio wanaolisha familia yako!? mimi nimekaa hapo mbeya kwa miezi 6 mfululizo. Huwezi kufananisha na mkoa mwingine wowote kwa mahitaji muhimu, chakula, hewa safi, utulivu, watu wastaarabu yaani mimi huwa naliita jiji la mbeya StressFree City.


Naunga hoja kwa mkono mreeefu.

Maisha ya msingi ni cheap ukilinganisha na mikoa mingine.
Mie Mwanza, lakini cku nimefka Mbeya nilifurahi unafuu wa mahitaji ya maisha ya msingi. Lv Mbeya
 
Pambaf mtoa mada, mwachen huyo zingo zingo hajui hadhi ya jiji inatokana na nn,,, anataka anaongelea maghorofa tu ya hotel halafy cha ajabu anayataja ya zaman na ya kawaida yy na Dereva wake wote machizi angezungukazunguka aulizie hotel zenye hadhi hapa town kwa sasa,,, halaf eti oooh,,, cjaona mahali penye vumbi kama mbeya,,,, boya ww labday kama unaish marekan ndo ntakuelewa lkn kamay ni mtz acha mizinguo hyo ni misifa ya kijinga tu shetani mweusi huyoy labda alitumia pesa za mirathi ya babake ,,,halaf ajue kuwa mbeya inakuwa kila kukicha,, uchawi hata familia yao ni wachawi tu asituzingue nyooooooko,,, aje tumuoneshe mitaa sio kupiga mikelele tu,, mbn dar kwnywy usenge tu jiji chaaaafu,joto kali, foleni, magonjwa ya milipukoy daily,,,, hata hukoy arusha nshafika bt acheniy mbwembwe watz mazingira yote ni yale yale tu OPRESS......
 
mbeya mmezidi sifa lakini hamna kitu hiyo lift tu mmeipata majuzi mpaka mkamualika Mkuu wa Wilaya kuja kuizindua kwa kweli nilishangaa sana, yaani na ujanja wenu wakina MWAKILOBWA kwenu kwa ajabu vile? inasikitisha sana, acheni sifa za kipuuz mijini mkapajenge kwenu
 
Mtoa mada kweli wewe zumbu kuku na mvifu wa kusoma ,binafsi mwenyeji wa mbeya na Dar ndo jijj kubwa Tz japo limepangiliwa vibaya na 25% ya ardhi ndo imepimwa and the rest wanaishi kwenye squatters na miundombinu mibovu ya maji na Barbara mbovu za mitaani ,

Mwanza inastahili kuwa the seconds city in Tz kwa kipato na kimiundo mbinu

Mbeya ya inastahili kuwa ya tatu kiuchumi ya mchango wake kwenye GDP ni mkubwa(pato LA Taifa) .Arusha NNE na kumbuka Arusha kunakipindi ilivuliwa kuwa jiji na badaye ikarudishiwa.

Ndugu yangu wa kukutupuka acha kututukana wanambeya umeonesha namna gani ulivyo mshamba na limbukeni wa mambo, unapo ongelea mbeya city ya sasa barabara nyingi zimetiwa rami hatuna shida za maji safi na salama chakula kingi tinacho hewa safi IPO , jitafakar unatokea mkoa gani na wilaya gani then uje ujifananoshe na mbeya.
Nenda ubungo asubuhi kahesabu mabasi yaendayo mbeya alafu fananisha na mkoa wako , menda pia airport utapata majibu
 
Alafu ulivyo mshamba na MTU ambaye haujatembea toka songwe into airport to mby shuttle ni Tsh. Na kumbuka toka songwe to uyole ni 35km nauli ni hiyo hiyo ,toka mwanz into air to mwanz centre shuttles ni 10,000/= toka kia Into air to Arusha town nauli ni 10,000/ , mtoa mada kuwa analytical na sio mropokaji, Tatizo historia ya maish yako inakupa shida bira shaka maisha uliyonayO sasa ya angarau kupanda the cheapest flight hakuyategemea pole sana limbukeni wewe
 
Arusha mnayoisifia ndiyo choka kabisaa.
Arusha ni mji mchafu sana na worse ni kwamba majumba ya mbavu za mbwa yapo hadi City Centre. Maeneo kama Ngarenaro ambayo yapo 0.1 km toka mjini ni horrible...hata baiskeli ya miguu mitatu haiwezi kupata barabara, miili ya marehemu inabebwa kwa 0.5 km ili kufika kwa marehemu kwa kukosa barabara.
Tazama sewerage system ya Arusha, kila siku ukipita mtaa wa Mkuu wa Uhuru, lazima ukutane na machemba yanayotema. soko Kuu ndiyo kama Jehanamu...ni uchafu uchafu mtupu. sijawahi kuona uzuri wa Arusha japo niko hapa kwa miaka 15.
Mbona mwaka jana arusha ndo ilipewa hadhi ya jiji safi tz...kwann isingepewa mbeya....kuanzia mwaka 2014 mwishon arusha ni mji msafi sana....acha kupotosha watu...!
 
Mi nawasiwasi huyu kalishwa ndimu na mtu wa mbeya sio bure, kwa hiyo kila kitu cha mbeya ni kichachu kwake! kwa taarifa yako tu kaa ukijua mbeya ni "geneva ya Africa" na sifa hizo hazijaanza leo wala wakati wewe umezaliwa, sifa hizo ni orijino toka milenia ya pili ilipoanza.... napita tu.

Geneva of Africa Mbeya? Vigorofa vya kuhesabu nyumba za matope mpaka katikati ya mji. Matajiri wengi wa mbeya wana hela za kiuchawi full mashariti
 
Jaman majiji yote kama yana fanana tuuu sema mamb madogo madogo tuu Kwan arusha hakuna sehem inayo fanana na mbeya
 
Back
Top Bottom