Uchaguzi Zanzibar: Hongera Rais Magufuli kwa msimamo sahihi

...
Na ndio maana nampongeza Rais Magufuli kwa kutoliingila suala hili, na huo ndio msimamo sahihi.
Tatixo la uchaguzi Zanzibar limeanzia huko huko Zanzibar, na ni Wazanzibari watakao litatua ...
Kwa hiyo unamsihi kwamba aendelee kukaa kimya hivyo hivyo hata machafuko yakianza, asiwaingilie Wazanzibari awaache wapigane tu; wala asipeleke vikosi vya jeshi lolote kutoka upande wa Bara, kwa maana hata machafuko ya Zanzibar yatatulizwa na vikosi vya Zanzibar!
 
Binafsi Namshukuru Proff Ndalichako kwa kutoa upuuzi wa GPA
Watu dizaini yako watapungua
Naona unajikita kwenye peripherals kwa vile hata subject matter inakupiga chenga kwa uelewa wako.
Ndo maana nasema kanywe mbege ufurahi, haya maji mazito kwako.
 
Eti suala la Zanzibar ni la kikatiba Magufuli hawezi kuliingilia. Lakini yakitokea machafuko huko atapeleka vikosi vya jeshi bila kuomba ruhusa AU ama UNO au akifanya hivyo atakuwa amevunja katiba.
Unaongelea mambo mawili tofauti.
Wakati wanabadili Katiba yao Zanzibar, Jeshi lilikuwapo au halikuwapo?
 
Eti suala la Zanzibar ni la kikatiba Magufuli hawezi kuliingilia. Lakini yakitokea machafuko huko atapeleka vikosi vya jeshi bila kuomba ruhusa AU ama UNO au akifanya hivyo atakuwa amevunja katiba.
Wazanzibari wapewe nafasi ya kutatua matatizo yao wenyewe
Naunga mkono, si vizuri Rais wa zmuungano kuingilia kisiasa tena matatizo ya huko visiwani. Wao wanayajua matatizo yao na wao ndio watakaoyatatua.
Zanzibar si mkoa wa Muungano, Zanzibar ni nchi.
Sasa kutakaje na nchi bila mechanism ya kujitatulia matatizo, they should grow up.
 
Tatizo lililojitokeza juu ya uchaguzi uliofutwa huko Zanzibar umezua maneno maneno mengi sana.
Kuna waliojaribu kulichukulia juu juu na kudhani ati ni tatizo la CCM kiujumla.
Wengine walienda mbali na kuzunguka duniani ili Tanzania inyimwe misaada, na pengine walifanikiwa.
Wengine waliliona kuwa ati ni la kidini, hadi kumshirikisha Papa wa Vatican.
Kwa Zanzibar yenye waislamu karibia 99.9% ya idadi ya wananchi hiki ni kituko, lakini kiekekezo vile vile cha uelewa mdogo sana juu ya utatuzi wa suala la Zanzibar.

Tatizo la uchaguzi kama nilivyo wahi kusema huko nyuma ni la ki katiba na kisheria zaidi kuliko mtazamo mwingine wowote.

Na ndio maana nampongeza Rais Magufuli kwa kutoliingila suala hili, na huo ndio msimamo sahihi.
Tatizo la uchaguzi Zanzibar limeanzia huko huko Zanzibar, na ni Wazanzibari watakao litatua, watu wasitafute mchawi wakati mchawi yuko nafsini mwao.

Heko Magufuli kwa huo msimamo sahihi.
Link Magufuli atakiwa atumbue ‘jipu’ la Zanzibar
 
Wazanzibari wapewe nafasi ya kutatua matatizo yao wenyewe
Naunga mkono, si vizuri Rais wa zmuungano kuingilia kisiasa tena matatizo ya huko visiwani. Wao wanayajua matatizo yao na wao ndio watakaoyatatua.
Zanzibar si mkoa wa Muungano, Zanzibar ni nchi.
Sasa kutakaje na nchi bila mechanism ya kujitatulia matatizo, they should grow up.
Tatizo la Zanzibar ni lipi?
Nini kimesababisha tatizo hilo?
 
Tatizo lililojitokeza juu ya uchaguzi uliofutwa huko Zanzibar umezua maneno maneno mengi sana.
Kuna waliojaribu kulichukulia juu juu na kudhani ati ni tatizo la CCM kiujumla.
Wengine walienda mbali na kuzunguka duniani ili Tanzania inyimwe misaada, na pengine walifanikiwa.
Wengine waliliona kuwa ati ni la kidini, hadi kumshirikisha Papa wa Vatican.
Kwa Zanzibar yenye waislamu karibia 99.9% ya idadi ya wananchi hiki ni kituko, lakini kiekekezo vile vile cha uelewa mdogo sana juu ya utatuzi wa suala la Zanzibar.

Tatizo la uchaguzi kama nilivyo wahi kusema huko nyuma ni la ki katiba na kisheria zaidi kuliko mtazamo mwingine wowote.

Na ndio maana nampongeza Rais Magufuli kwa kutoliingila suala hili, na huo ndio msimamo sahihi.
Tatizo la uchaguzi Zanzibar limeanzia huko huko Zanzibar, na ni Wazanzibari watakao litatua, watu wasitafute mchawi wakati mchawi yuko nafsini mwao.

Heko Magufuli kwa huo msimamo sahihi.
Maswali
Magufuli ni rais wa nchi gani??
Katiba na sheria unazozungumzia hapa ni zipi

Je wewe kama rais wa Tanzania, utakubali kuambiwa kwamba urais wako sio wa Tanzania nzima bali sehemu tu, ila kula kobis kwasababu kule kwingine ni kugumu??

Negro, stop being a sissy.... JPM ni rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kutatua issue ya Zanzibar ni kazi yake
 
wanachokifanya wazanzibari, na baadhi ya wapumbavu kama masopakyindi ni kudemean role ya rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania

wanampangia zone ya urais wake, na tukibariki haya, kuna siku rais atatawala miko michache tu, na mingine itakua nje ya mamlaka yake
 
Wazanzibari wapewe nafasi ya kutatua matatizo yao wenyewe
Naunga mkono, si vizuri Rais wa zmuungano kuingilia kisiasa tena matatizo ya huko visiwani. Wao wanayajua matatizo yao na wao ndio watakaoyatatua.
Zanzibar si mkoa wa Muungano, Zanzibar ni nchi.

Sasa kutakaje na nchi bila mechanism ya kujitatulia matatizo, they should grow up.

Na watakapoamua kuijiuunga IOC mseme hivyohivyo Zanzibar in Nchi.
 
Unaongelea mambo mawili tofauti.
Wakati wanabadili Katiba yao Zanzibar, Jeshi lilikuwapo au halikuwapo?
Jeshi linabaka demokrasia Zanzibar.

Oktoba 28, mwaka jana majira ya saa sita mchana kwenye Ofisi za Tume ya Uchaguzi Zanzibar zilizopo Kilimani mjini Unguja, ilikuwa ndiyo siku ya mwisho kuonekana Jecha hadharani.

Siku hiyo huku akiwa chini ya ulinzi wa vijana wawili wanaoaminika kuwa ni makomandoo wa Jeshi la Ulinzi wa Tanzania (JWTZ) waliovaa kiraia, Jecha alitangaza kuufuta uchaguzi wa Zanzibar mbele ya vyombo vichache vya habari.
Siku hiyo majira ya saa kumi jioni, askari wa JWTZ walizingira kituo cha Bwawani na kuwaamuru watu waliokuwa ndani kutotoka nje na hata wale walioko nje ya kituo hicho kutosogea.
Jecha wa ZEC achomoka mafichoni

Ni kwa vipi ukiambiwa usiamini kuwa kuufuta uchaguzi kwa staili ile ya kishetani ilikuwa ndio mbinu iliyobakia katika mfuko wa mbinu tele wa CCM ili kuzuia kupoteza madaraka kwa mara nyingine?

Hebu fikiria ilikuaje muda mfupi mno kabla ya adhuhuri siku ile ya Oktoba 28, kwenye geti la Bwawani kulijazwa askari wa JWTZ na ikaonekana pia askari kanzu wengi wamehanikiza ndani ya eneo kwenye ukumbi wa Salama? Ni nani aliagiza kamanda wa JWTZ aliyepo Zanzibar aruhusu askari wake kutoka kambini na kumdhibiti Jecha, na angalau komandoo wawili wa jeshi hilo, wakatumwa kumchukua – hakika ni kumteka nyara – Makamu Mwenyekiti wa ZEC, Jaji Abdulhakim Ameir Issa?

Jaji huyu alifanyiwa mbinu ya kijasusi akatoka ofisini na kuacha makamishna aliokuwa akiwaongoza katika kazi ya kuhakiki kura za urais, wakati Jecha ilishathibitika alikuwa ametoweka makusudi kuwezesha chama chao kutimiza azma yake ya kuhujumu haki ya wananchi kuchagua kiongozi wamtakaye.

Zanzibar Post - LILILO NYUMA YA PAZIA LA KUBAKWA KWA... | Facebook

 
Jeshi linabaka demokrasia Zanzibar.

Oktoba 28, mwaka jana majira ya saa sita mchana kwenye Ofisi za Tume ya Uchaguzi Zanzibar zilizopo Kilimani mjini Unguja, ilikuwa ndiyo siku ya mwisho kuonekana Jecha hadharani.

uSiku hiyo huku akiwa chini ya ulinzi wa vijana wawili wanaoaminika kuwa ni makomandoo wa Jeshi la Ulinzi wa Tanzania (JWTZ) waliovaa kiraia, Jecha alitangaza kuufuta uchaguzi wa Zanzibar mbele ya vyombo vichache vya habari.
Siku hiyo majira ya saa kumi jioni, askari wa JWTZ walizingira kituo cha Bwawani na kuwaamuru watu waliokuwa ndani kutotoka nje na hata wale walioko nje ya kituo hicho kutosogea.
Jecha wa ZEC achomoka mafichoni

Ni kwa vipi ukiambiwa usiamini kuwa kuufuta uchaguzi kwa staili ile ya kishetani ilikuwa ndio mbinu iliyobakia katika mfuko wa mbinu tele wa CCM ili kuzuia kupoteza madaraka kwa mara nyingine?

Hebu fikiria ilikuaje muda mfupi mno kabla ya adhuhuri siku ile ya Oktoba 28, kwenye geti la Bwawani kulijazwa askari wa JWTZ na ikaonekana pia askari kanzu wengi wamehanikiza ndani ya eneo kwenye ukumbi wa Salama? Ni nani aliagiza kamanda wa JWTZ aliyepo Zanzibar aruhusu askari wake kutoka kambini na kumdhibiti Jecha, na angalau komandoo wawili wa jeshi hilo, wakatumwa kumchukua – hakika ni kumteka nyara – Makamu Mwenyekiti wa ZEC, Jaji Abdulhakim Ameir Issa?

Jaji huyu alifanyiwa mbinu ya kijasusi akatoka ofisini na kuacha makamishna aliokuwa akiwaongoza katika kazi ya kuhakiki kura za urais, wakati Jecha ilishathibitika alikuwa ametoweka makusudi kuwezesha chama chao kutimiza azma yake ya kuhujumu haki ya wananchi kuchagua kiongozi wamtakaye.

Zanzibar Post - LILILO NYUMA YA PAZIA LA KUBAKWA KWA... | Facebook


Hivi, ulienda kufungua jalada Polisi au?
Ujasusi mkubwa huu ati!
 
Na wakati ikitokea matatzo ya watu kupigana ngumi wawaachie waznz wenyewe asipeleke majeshi coz znz jaimuhusu
 
Msimamo upi?

Tatizo lililojitokeza juu ya uchaguzi uliofutwa huko Zanzibar umezua maneno maneno mengi sana.
Kuna waliojaribu kulichukulia juu juu na kudhani ati ni tatizo la CCM kiujumla.
Wengine walienda mbali na kuzunguka duniani ili Tanzania inyimwe misaada, na pengine walifanikiwa.
Wengine waliliona kuwa ati ni la kidini, hadi kumshirikisha Papa wa Vatican.
Kwa Zanzibar yenye waislamu karibia 99.9% ya idadi ya wananchi hiki ni kituko, lakini kiekekezo vile vile cha uelewa mdogo sana juu ya utatuzi wa suala la Zanzibar.

Tatizo la uchaguzi kama nilivyo wahi kusema huko nyuma ni la ki katiba na kisheria zaidi kuliko mtazamo mwingine wowote.

Na ndio maana nampongeza Rais Magufuli kwa kutoliingila suala hili, na huo ndio msimamo sahihi.
Tatizo la uchaguzi Zanzibar limeanzia huko huko Zanzibar, na ni Wazanzibari watakao litatua, watu wasitafute mchawi wakati mchawi yuko nafsini mwao.

Heko Magufuli kwa huo msimamo sahihi.
 
Jeshi linabaka demokrasia Zanzibar.

Oktoba 28, mwaka jana majira ya saa sita mchana kwenye Ofisi za Tume ya Uchaguzi Zanzibar zilizopo Kilimani mjini Unguja, ilikuwa ndiyo siku ya mwisho kuonekana Jecha hadharani.

Siku hiyo huku akiwa chini ya ulinzi wa vijana wawili wanaoaminika kuwa ni makomandoo wa Jeshi la Ulinzi wa Tanzania (JWTZ) waliovaa kiraia, Jecha alitangaza kuufuta uchaguzi wa Zanzibar mbele ya vyombo vichache vya habari.
Siku hiyo majira ya saa kumi jioni, askari wa JWTZ walizingira kituo cha Bwawani na kuwaamuru watu waliokuwa ndani kutotoka nje na hata wale walioko nje ya kituo hicho kutosogea.
Jecha wa ZEC achomoka mafichoni

Ni kwa vipi ukiambiwa usiamini kuwa kuufuta uchaguzi kwa staili ile ya kishetani ilikuwa ndio mbinu iliyobakia katika mfuko wa mbinu tele wa CCM ili kuzuia kupoteza madaraka kwa mara nyingine?

Hebu fikiria ilikuaje muda mfupi mno kabla ya adhuhuri siku ile ya Oktoba 28, kwenye geti la Bwawani kulijazwa askari wa JWTZ na ikaonekana pia askari kanzu wengi wamehanikiza ndani ya eneo kwenye ukumbi wa Salama? Ni nani aliagiza kamanda wa JWTZ aliyepo Zanzibar aruhusu askari wake kutoka kambini na kumdhibiti Jecha, na angalau komandoo wawili wa jeshi hilo, wakatumwa kumchukua – hakika ni kumteka nyara – Makamu Mwenyekiti wa ZEC, Jaji Abdulhakim Ameir Issa?

Jaji huyu alifanyiwa mbinu ya kijasusi akatoka ofisini na kuacha makamishna aliokuwa akiwaongoza katika kazi ya kuhakiki kura za urais, wakati Jecha ilishathibitika alikuwa ametoweka makusudi kuwezesha chama chao kutimiza azma yake ya kuhujumu haki ya wananchi kuchagua kiongozi wamtakaye.

Zanzibar Post - LILILO NYUMA YA PAZIA LA KUBAKWA KWA... | Facebook


Hamkosi sababu za kuoatana ninyi kwa ninyi wazanzibari.
Its always somebody elses fault that Zanzibaris are failing to self govern themselves.
Wapiga kura wenyewe wa Zenj hawazidi laki mbili na nusu, lakini maneno kama debe tupu hadi kwa Papa.
Hao wanajeshi wako wangapi? Laki tatu?

Sijui kwa Dalai Lama mtaenda lini!
 
Mtumbua majipu hawezi kulitumbua jipu hilo?
Hayo majipu anayoyataumbua ni wewe au mimi aliyeenda kufungua jadala polisi?
Upi ni ujasusi mkubwa?
Una mentality ile ya msemo wenu, ati mzigo mzito mbebeshe msukuma!
Safari hii zigo mnalibeba wenyewe!!
 
Una mentality ile ya msemo wenu, ati mzigo mzito mbebeshe msukuma!
Safari hii zigo mnalibeba wenyewe!!
Sio msukuma.
Mzigo mzito mbebeshe mnyamwezi.
masopakyindi. Kwa maoni yako JWTZ walijipeleka wenyewe tu Bwawani na kumteka nyara mtangazaji wa matokeo ya uchaguzi au walipata maagizo na amri ya wenye mamlaka ya kuliongoza Jeshi?
Kwa nini huyo aliyetoa agizo na amri alifanya hivyo?

Je inawezekana aliyeamrisha kufanya ubakaji wa demokrasia akawa ni kutoka Chadema, CUF au ADC?

JWTZ walitekeleza maagizo waliyopewa ili kumnufaisha nani au chama gani?
 
Sio msukuma.
Mzigo mzito mbebeshe mnyamwezi.
masopakyindi. Kwa maoni yako JWTZ walijipeleka wenyewe tu Bwawani na kumteka nyara mtangazaji wa matokeo ya uchaguzi au walipata maagizo na amri ya wenye mamlaka ya kuliongoza Jeshi?
Kwa nini huyo aliyetoa agizo na amri alifanya hivyo?

Je inawezekana aliyeamrisha kufanya ubakaji wa demokrasia akawa ni kutoka Chadema, CUF au ADC?

JWTZ walitekeleza maagizo waliyopewa ili kumnufaisha nani au chama gani?
Yaliyotokea Zanzibar , wa kuulizwa ni Rais wa hukohuko kwenu, Dr Shein.
Najua anamajibu muafaka.
Ndio maana nasema mnalikwepa jukumu lenu la kupatana na mahasimu wenu wa kisiasa huko huko Zanzibar ilhali mnaweza kupata jibu mapema tu mkiamua.
Au wewe wataka Rais wa nchi moja amwamuru Rais wa nchi nyingine?
 
Back
Top Bottom