Recent content by algebra2

  1. A

    Mimi mwanamke wa dizaini hii kaa mbali na mimi

    Mtoa mada kama siyo form six ni mwaka wa kwanza chuo. Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
  2. A

    Mimi mwanamke wa dizaini hii kaa mbali na mimi

    Nyie endeleen kuokolewa hayo majahazi yenu, mtaokolewa mpaka mitumbwi!!!!/! Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
  3. A

    Let's share: Uliwahi kusaidiwa na mtu usiyemfahamu kabla (msamaria mwema)? Kipi kilitokea?

    Dua zangu ziwafikie wote walionisaidia. Mungu awatie nguvu na awape maisha marefu yenye baraka tere.
  4. A

    Tool box yenye spana original.

    Nashukuru kamanda Lege, swali langu ni kutaka kujua vile vifaa havimo kwenye tool box na ni vya msingi kuwa navyo wakati wa Kuanza hii kazi. Mkuu Kwan tool box nitapata kwa bei gani kwa sasa?
  5. A

    Tool box yenye spana original.

    Wakuu bilashaka mmeamka salama. Naomba ushauri wenu katika hili. Kimsingi nataka nifungue kigarage hapa mtaani kwetu na nahitaji vifaa vya kufanyia kazi. Lakini binafus sijajua vifaa hasa aina za spana nnazotakiwa kununua mojamoja (hazimo kwenye tool box) na ni bei gani. Nawasilisha...
  6. A

    Hitaji kujifunza ufundi wa magari

    Mlete hapa chuoni Kashasha VTC tunapokea vijana tarehe 12 July. Kuanza level one. Atakuwa fundi mjuzi.
  7. A

    Freeman Mbowe na Wema Sepetu ndani ya penzi zito

    Wewe mtoa post ulitaka ampende nan?
  8. A

    Je wafahamu methali za kichaga 5 kuhusu mwanamke?

    Kulaya nawe upo humu!!!!!?
  9. A

    Tatizo la check engine

    Kwenye engine kuna tatizo, fanya diagnosis.
Back
Top Bottom