Nashukuru kamanda Lege, swali langu ni kutaka kujua vile vifaa havimo kwenye tool box na ni vya msingi kuwa navyo wakati wa Kuanza hii kazi. Mkuu Kwan tool box nitapata kwa bei gani kwa sasa?
Wakuu bilashaka mmeamka salama. Naomba ushauri wenu katika hili. Kimsingi nataka nifungue kigarage hapa mtaani kwetu na nahitaji vifaa vya kufanyia kazi. Lakini binafus sijajua vifaa hasa aina za spana nnazotakiwa kununua mojamoja (hazimo kwenye tool box) na ni bei gani.
Nawasilisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.