Recent content by akamula

  1. A

    Droupouts wa vyuo tukutane hapa

    Una fikra pevu sana, yeye alowekeza kwenye biashara anahesabu faida kutoka na mtaji wake, msomi/mwajiriwa naye faida inatokana na level ya elimu yake, that's why zipo scale za mshahara kulingana na ulivyotumikia ajira au kiwango chako cha elimu. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. A

    Ukitaka kuishi kwa amani katika ndoa, oa bikra

    Yaan bikra ya baiskeli ndo iwe ya mwanaume, jamani.. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. A

    Ukitaka kuishi kwa amani katika ndoa, oa bikra

    Bila tendo la ndoa hakuna ndoa hapo Sent using Jamii Forums mobile app
  4. A

    Ofisa Mtendaji adaiwa kumpa mimba mwanawe

    Wakati mwingine huwa napata shida kutafakari, hili nalo ni janga mpaka Mungu aliepushe? Acheni hizi habari Mungu anaonewa watu wafanye ujinga wao bila kumshirikisha Mungu af ujinga ukijulikana Mungu aepushie mbali, nonsense!! Sent using Jamii Forums mobile app
  5. A

    Rais Magafuli awashangaa watanzania walioshangilia kukamatwa ndege ya ATCL, asema hao ni wasaliti

    hiyo miaka 10 haitozalisha? au unataka kutuaminisha kuwa biashara ya ndege ni ya hasara tu?? kupanga ni kuchagua bana mwacheni mzee afanye kazi, tumuunge mkono
  6. A

    Chato Airport, Geita: Rais Magufuli ampokea Rais Uhuru Kenyatta anayefanya ziara binafsi ya siku 2 nchini

    Tukubaliane tu kwamba enzi za mtu kuwa Rais af unatoka madarakani maeneo ya kwenu hapako vizuri ni aibu, kwanini? 1. Ulipokuwa Rais ukipata rafiki wengi wa ndani na nje Hivyo watakuja kukuona kwa mengi 2. Mkataa Kwao ni mtumwa 3. Kujenga heshima ktk jamii unayotoka kwamba hata vijana wengine...
  7. A

    Vyuo vikuu nchini haviwatendei haki wasabato??

    Si jambo jema hata kidogo kudharau imani ya mtu mwingine hata katiba ya nchi hii inatamka hivyo, sasa matusi uloyasema yanaonesha huna ustarabu.
  8. A

    Most expensive schools in Tanzania

    Zama hizi kama ni mtu unafikiria mbali huwezi ukaacha kumsomesha Mtoto Shule ya maana kwa kufikiri badae atashindwa kupika na kufua, hili ni wazo mgando sana jamaa yangu badilika labda kama kauwezo kanabana ila usijidanganye.
  9. A

    Pendekezo: Watumishi wa Umma wafanye kazi mpaka Jumapili

    Wewe ni genius kabisa, umemkalia
  10. A

    Yule aliyesema zoezi la uokoaji/uopoaji linatarajia kukamilika ifikapo saa 12 jioni kwa nchi zilizoendelea angewajibishwa jana mapema

    Kwa namna ilivyo abiria waliokuwa ndani wamekaa naamini bado hawajatolewa, hivyo kusema zoezi linaisha mapema siyo rahisi sana
  11. A

    Kama kuvaa helment, na kufunga mkanda ukiwa kwenye gari au pikipiki ni sheria, kwanini kuvaa life jacket ukiwa majini isiwe ni sheria?

    Meli gani hiyo hasa za ziwa Victoria huwa unapewa wewe na kuvaa life jacket? Acha kupotosha watu.
  12. A

    Nilidanganywa kumbe chuo hamna mademu

    Usinikumbushe hayo majitu kwa kweli ni shida, duh..
  13. A

    Share namna/sounds ulizotumia kumnasa mpenzi wako wa sasa

    Muda wa mpenzi wako kukukubalia si kigezo cha mtu mvumilivu, upendo ni bahati tu na ile first impression anayokufeel
Back
Top Bottom