Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,938
Huna taarifa sahihi ya waliokuwa ndani ya kivuko, unataarifa ya waliookolewa na kuopolewa tu. Umetumia hesabu gani kukokotoa na kupata jibu kuwa zoezi litaishia muda fulani?
Hata kama alifanya probability , probability nayo inahitaji ukokotoaji na jibu hata lisipokuwa kamili basi litatofautiana kidogo tu.
Hata kama alifanya probability , probability nayo inahitaji ukokotoaji na jibu hata lisipokuwa kamili basi litatofautiana kidogo tu.