muafi
JF-Expert Member
- Oct 6, 2015
- 2,114
- 4,798
Jamani kwanini serikali isiangalie hili swala?
Idadi ya life jackets iwe Sawa na idadi ya abiria wanaoruhusiwa kupanda, na iwe ni sheria ukiingia tu kwenye usafiri Wa majini unapewa boya na ukitaka kutoka ysnakusanywa!
Serikari tunaomba mtusaidie tunaumia sana
Yani inauma sana kwa hata yanayotokea
Kwa sasa kwenye vivuko vyetu life jackets zimekua kama mapambo tuu zimefungiwa na makofuli hii INA maana gani? Yani ajari ikitokea ndio MTU aanze kutafuta ufunguo?
Jamani serikali itathmini hili swala litasaidia japo kupunguza idadi ya vifo pale ajari inapotokea
Raisi Magufuli RAIA kwako hatuna amani tena
Idadi ya life jackets iwe Sawa na idadi ya abiria wanaoruhusiwa kupanda, na iwe ni sheria ukiingia tu kwenye usafiri Wa majini unapewa boya na ukitaka kutoka ysnakusanywa!
Serikari tunaomba mtusaidie tunaumia sana
Yani inauma sana kwa hata yanayotokea
Kwa sasa kwenye vivuko vyetu life jackets zimekua kama mapambo tuu zimefungiwa na makofuli hii INA maana gani? Yani ajari ikitokea ndio MTU aanze kutafuta ufunguo?
Jamani serikali itathmini hili swala litasaidia japo kupunguza idadi ya vifo pale ajari inapotokea
Raisi Magufuli RAIA kwako hatuna amani tena