Recent content by akabombella

  1. akabombella

    Maajabu ya maji Moto kisaki(Hot spring)

    Ni sehemu ya zile 14?
  2. akabombella

    Rais kuitwa shemeji na walimu ni matusi na kudhalilisha Taasisi ya Urais!

    nimekubali wewe ni abunuas.hujakosea kujiita hivyo.
  3. akabombella

    Rais kuitwa shemeji na walimu ni matusi na kudhalilisha Taasisi ya Urais!

    1.great low thinkers ndio nini? 2.wewe ni mmoja wao?
  4. akabombella

    Naomba mniwekee njia za kupunguza uzito

    Dawa na njia mbadala za kupunguza unene/uzito.
  5. akabombella

    Naomba mniwekee njia za kupunguza uzito

    nenda JF doctor,utakuta Uzi upo juu kabisa unaelezea,kuchangia na kutatua matatizo yako.
  6. akabombella

    Neno " lol " lina maana gani?

    nikweli lakini huoni kama,utajiju,inahuu,ajeaje,lol yamekaa kikekike flan!!?
  7. akabombella

    Serikali Izuie Watu Kuja Dar...

    maisha umeyakosea mwenyewe unamnunia nani?mi naombea kasi ya kuja iongezeke niendelee kupiga hela we unataka wasije!!!?we papuchi nini ??acha woga dogo.
  8. akabombella

    Tuache masihara jamani,leo nimependeza

    Hahaahaa na miwani Kali toka kwa George Michael(original)
  9. akabombella

    PESA IPO mapenzi matamu MUNGU akupe nini tena JAY Z

    unamfahamu?,umewahi kumsikiliza au kusikiliza mziki wake?au unasema Mungu gani?au mungu?
  10. akabombella

    Zijue Most Powerfull Intelligence Agencies duniani

    wewe kweli maharagwe!nimekubali kwanini unajiita hivyo.
  11. akabombella

    Kuna ukweli kuhusu ma-zombie??

    kwa uelewa wangu zombie si viumbe watu wanaokula nyama au damu za watu,nahisi unataka kuwazungumzia vampires.!!
Back
Top Bottom