Serikali Izuie Watu Kuja Dar...

Serikali Izuie Watu Kuja Dar...

Mtoa mada ana hoja na wala sijaona kama kasema Dar ni kwao. Watu wameamua kugeuza mada kama stori za kwenye kahawa! Suala ni sera lazima ziangalie ukuwaji wa mji usioendana na miuondo mbinu yake. Watu wa planning wanajua athari za hii. Kuna njia nyingi za kufanya outward immigration. Moja wapo ni kuhakikisha huduma zinapstikana mikoa mingine, ajira mpya watu waende mikoani wataanzisha makazi huko. Nchi nyingine zimeweza ku control imkigration kwa kufanya mji uwe exoensive, wasioweza watatoka tu
 
Hewaaaaa,.nilikuwa sijaiona hii mada,mwaka juzi nilianzisha mada kama hii mukanitukana kweli,mods nao inaonekana ni wakuja maana waliificha chit chat,kama kununa munune,kuanzia members hadi mods nasema hivi,kama wewe ni wakuja basi RUUUDI KWEENUUU,huyu anasema wapya wasije,mimi nasema wakuja wote muondoke murudi kweenu mutuachie Dar yetu inapumulia mashine jamani.Mutuache tuliozaliwa huku,na wale waliokuja miaka ya tisini,kama wewe umekuja kuanzia 2000 na kuendelea nasema ruudi kweenu,hamna pahala pa kujenga "pasipoti" tena,hadi jangwani imejaa,muruudi kweenu,december mukiendaga kwenu kamji ketu kanapoaga na kurudia "umalaika" wake,wezi wanapungua,matapeli wanapotea,gari za kuzimika kwenye madimbwi ya maji huwa hazionekani,Ubungo na buguruni panapitika bila vikumbo,vikwapa kwenye daladala hamna,matusi mitandaoni yanapungua,maji mabombani hutoka,transifoma za Ubungo hazilipuki kwa kuzidiwa "lodi",yaani kamji ketu kanarudi enzi zilee za "ochestre sambulumaa"!tena mukiendaga huko na haya maredio yenu sijui kilaudiz,mejiki muwe munafungia stoo,tumechoka kusikiliza ujinga,mufunge mutuachie RTD yetu na nyimbo zake za ngapulila na baba jeni.Muende kwenu eeh,mumesikia watoto wazuri eeh,mubaki huko huko,tutawaletea yote ya Dar huko!kama munataka mabomba bila maji tutaleta,umeme wa mgao tutaleta,tutaleta magari mengi ili na barabara zenu ziwe na foleni,mumesikia eh?musijali na mafuriko ya jangwani tutaleta,kifua kikuu,malaria,mishikaki,chips,tutaajiri vijana waje wapike huko,betting tutaleta,wapiga debe wa kuchangamsha miji yenu tutaleta,yaani kila kitu mutaletewa,hata bahari tutajenga muogelee ila mkioga muogelee usawa wa huko huko..no stowaway kuja Dar Please please.,tumeenea,tumetosha,tuacheni tupumuweee,nyie murudi kwenu,na hapa nazungumzia wakuja wote,wabara na wapem..mh huku ngoja niache nisionekane "serikali tatu" bure!muruudi kwenu,tumechoka kufagia vinyesi mabarazani kila asubuhi bhana!
Utawapelekea vyoooote...umesahau watu muhimu sana wa Dar...."Mateja" wapunguzie na hawa wakaburudike nao
 
Watu milioni 4, population density watu 100,000 kwa eneo la mraba. Kwa stahili hii mji hauwezi kua safi wala kero kuisha. Miundo mbinu haikuandaliwa kwaajili ya ongezeko hilo la watu.

"Eneo la mraba" ni kipimo gani hicho?
 
Hewaaaaa,.nilikuwa sijaiona hii mada,mwaka juzi nilianzisha mada kama hii mukanitukana kweli,mods nao inaonekana ni wakuja maana waliificha chit chat,kama kununa munune,kuanzia members hadi mods nasema hivi,kama wewe ni wakuja basi RUUUDI KWEENUUU,huyu anasema wapya wasije,mimi nasema wakuja wote muondoke murudi kweenu mutuachie Dar yetu inapumulia mashine jamani.Mutuache tuliozaliwa huku,na wale waliokuja miaka ya tisini,kama wewe umekuja kuanzia 2000 na kuendelea nasema ruudi kweenu,hamna pahala pa kujenga "pasipoti" tena,hadi jangwani imejaa,muruudi kweenu,december mukiendaga kwenu kamji ketu kanapoaga na kurudia "umalaika" wake,wezi wanapungua,matapeli wanapotea,gari za kuzimika kwenye madimbwi ya maji huwa hazionekani,Ubungo na buguruni panapitika bila vikumbo,vikwapa kwenye daladala hamna,matusi mitandaoni yanapungua,maji mabombani hutoka,transifoma za Ubungo hazilipuki kwa kuzidiwa "lodi",yaani kamji ketu kanarudi enzi zilee za "ochestre sambulumaa"!tena mukiendaga huko na haya maredio yenu sijui kilaudiz,mejiki muwe munafungia stoo,tumechoka kusikiliza ujinga,mufunge mutuachie RTD yetu na nyimbo zake za ngapulila na baba jeni.Muende kwenu eeh,mumesikia watoto wazuri eeh,mubaki huko huko,tutawaletea yote ya Dar huko!kama munataka mabomba bila maji tutaleta,umeme wa mgao tutaleta,tutaleta magari mengi ili na barabara zenu ziwe na foleni,mumesikia eh?musijali na mafuriko ya jangwani tutaleta,kifua kikuu,malaria,mishikaki,chips,tutaajiri vijana waje wapike huko,betting tutaleta,wapiga debe wa kuchangamsha miji yenu tutaleta,yaani kila kitu mutaletewa,hata bahari tutajenga muogelee ila mkioga muogelee usawa wa huko huko..no stowaway kuja Dar Please please.,tumeenea,tumetosha,tuacheni tupumuweee,nyie murudi kwenu,na hapa nazungumzia wakuja wote,wabara na wapem..mh huku ngoja niache nisionekane "serikali tatu" bure!muruudi kwenu,tumechoka kufagia vinyesi mabarazani kila asubuhi bhana!

Na sie babu zetu waliojenga Azania Front tukisema kama huna familia inayo date back to 1900 in Dar urudi kwenu atabaki nani mjini?
 
huyu jamaa akapimwe inawezekana ni mgonjwa wa akili ikibidi tumpeleke milembe hospital. hauwezi kuongea upuuzi kama huo. hii ni nchi moja kila raia ana haki ya kuishi popote ilimladi havunji sheria za nchi.
 
Halafu dar yenyewe unakaa kwa shemeji alipo olewa dada yako chumba na sebule,una lala sebuleni wa mwisho kulala wa kwanza kuamka teh teh teh.
Halafu anamsaidia dada yake huko kwa shemeji kuosha vyombo na kwenda gengeni. Ndio anajiona mjanja huko anakokaa Tandale Kwamtogole kwa Tumbo!
 
Mtoa mada ana hoja na wala sijaona kama kasema Dar ni kwao. Watu wameamua kugeuza mada kama stori za kwenye kahawa! Suala ni sera lazima ziangalie ukuwaji wa mji usioendana na miuondo mbinu yake. Watu wa planning wanajua athari za hii. Kuna njia nyingi za kufanya outward immigration. Moja wapo ni kuhakikisha huduma zinapstikana mikoa mingine, ajira mpya watu waende mikoani wataanzisha makazi huko. Nchi nyingine zimeweza ku control imkigration kwa kufanya mji uwe exoensive, wasioweza watatoka tu

Unajua maana ya kuzuia???!!!!
 
Nafikiri wakati umefika sasa kwa Serikali ianze kuzuia watu kutoka Mikoani kuja Dar, tumetosha sasa! ikiwezekana Waruhusiwe wale tu ambao wamepata kazi au walioitwa kwenye usahili... Hali inatisha sana ukienda Ubungo Mabasi yanakuja yamejaa na yanaondoka tupu, kwa nini hamkai huko Mikoani mbona mnatutambia kuna kuna Hali ya Hewa nzuri, sasa ni nini kinawaleta Dar?
Mimi nadhani unaumwa na inatakiwa uende Muhimbili ukapimwe akili yako maana haijakaa sawa huwezi kusema watu
wasije Dar kwa sababu huna uwezo huo hata siku moja. Yawezekana hata kwako wageni hawaingii maana inaonekana wewe ni mroho sana. Dar watakuja tu na ukichukia saga wembe umeze.
 
------- sana mleta mada.... Ubaguzi umekujaa moyoni...... Mlianza nä bodaboda zisiingie mjini sasahivi mnakuja nä Hii nyingine.... Hii ni hatari..... Sikuzote anaekula nyama ya mtu haachi....!!! Kunapoelekea mtasema weusi wote hawatakiwi mjini..... Badae mtasema weupe Lakini wafupi hawatakiwi mjini...... Wewe ndugu zako wote wanaishi masaki....?????? Pole sana
 
maisha umeyakosea mwenyewe unamnunia nani?mi naombea kasi ya kuja iongezeke niendelee kupiga hela we unataka wasije!!!?we papuchi nini ??acha woga dogo.
 
Nafikiri wakati umefika sasa kwa Serikali ianze kuzuia watu kutoka Mikoani kuja Dar, tumetosha sasa! ikiwezekana Waruhusiwe wale tu ambao wamepata kazi au walioitwa kwenye usahili... Hali inatisha sana ukienda Ubungo Mabasi yanakuja yamejaa na yanaondoka tupu, kwa nini hamkai huko Mikoani mbona mnatutambia kuna kuna Hali ya Hewa nzuri, sasa ni nini kinawaleta Dar?

Acha upuuz wewe sasa na wao wakigoma kuleta vyakula unadhani itakuajhe?
 
Wanaotoka dar kwenda mikoani mbna wengi pia??

Ninao friends kibao wazawa wa mjini daresalam
cha ajabu hawa marafik zangu wanajisifia kuwa wao dontown kazi hawafany wamekalia mistori tuu
 
Back
Top Bottom