Maajabu ya maji Moto kisaki(Hot spring)

Maajabu ya maji Moto kisaki(Hot spring)

Replies

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2014
Posts
1,497
Reaction score
453
Haya ni maajabu ya Mungu ya ukweli unaweza kuweka Yai na ndani ya sekunde kumi tu likawa limeiva kabisa tayari Kwa MLO.
Wenyeji wanairegard hii Kama sehemu ya mzimu hatari Kwa sababu sehemu kubwa imezungukwa na chem chem Za maji moto
NB: Anayetaka kupatembelea ani PM ImageUploadedByJamiiForums1399419755.883839.jpg ImageUploadedByJamiiForums1399419781.289567.jpg ImageUploadedByJamiiForums1399419804.037629.jpg
 
Just Baada ya mbuga Za wanyama Za Selous panaitwa Kisaki on your way to Zambia via rail
 
nataka kwenda na gari langu. napitia wapi ?

Unapita Moro mjini via Matombo,Mvuha then unaingia Kisaki au waweza Katiza Ubena Zomozi Baada ya Chalinze then Ngerengere then Magogoni then Mvuha then Kisaki ila barabara hii inachanganya na waweza kupotea usipokuwa makini
 
KISAKI napafahamu ila hizo pande za Chem Chem bado sijazipata, au labda nilipita pande hizo bila kujua kama kuna maajabu hayo
 
Haya ni maajabu ya Mungu ya ukweli unaweza kuweka Yai na ndani ya sekunde kumi tu likawa limeiva kabisa tayari Kwa MLO.
Wenyeji wanairegard hii Kama sehemu ya mzimu hatari Kwa sababu sehemu kubwa imezungukwa na chem chem Za maji moto


Unaivisha yai kwa kuchovya kwa sekunde kumi!!? sioni ukweli wowote hata ingekuwa kwa moto wa welding au kuchoma kwa gas haiwezekani
 
Unaivisha yai kwa kuchovya kwa sekunde kumi!!? sioni ukweli wowote hata ingekuwa kwa moto wa welding au kuchoma kwa gas haiwezekani
Anafananisha na lake manyara pale yai unaweka ten-15 minutes..BTW hayo maji yanatoka kwenyw miamba ya volcano na yana kiwango kikubwa cha sulfur na kwa wenye magonjwa ya ngozi huwasaidia!
 
Hiyo hata pale Kondoa mjini ipo,very interesting,kisima kikubwa na maji yanachemka kwa bubles kubwa kubwa.Dunia imeumbwa na vitu vingi sana vizuri vya kushangaza...
 
Anafananisha na lake manyara pale yai unaweka ten-15 minutes..BTW hayo maji yanatoka kwenyw miamba ya volcano na yana kiwango kikubwa cha sulfur na kwa wenye magonjwa ya ngozi huwasaidia!


Possibly hakujipanga vema kabla hajaandika
NB: Anayetaka kupatembelea ani PM


Lakini pia anaweza kuwa ni miongoni mwa wale tulioonywa dhidi yao humu jamvini, unampm unakwenda kuishia kwenye viroba
 
Back
Top Bottom