Recent content by Ahnass2003

  1. A

    Azam TV wanazingua

    Tafuteni makopo au visado mfunike LNB somehow inasaidia.
  2. A

    Agizo la Rais kunyang'anywa Passport Mkandarasi wa Maji

    Lengo la kunyang'anywa ni kutitoka nnje ya nchi mpaka atakapokamilisha mradi.
  3. A

    Agizo la Rais kunyang'anywa Passport Mkandarasi wa Maji

    Kwa akili yako unadhani Tanzania gvt haitotoa taarifa kwa serikali husika? Au ulitaka aeleze kila hatua itakayochukuliwa? Serikali inafahamu taratibu zote hizo.
  4. A

    Nimepata Sup 5 katika masomo 8 ninayo soma ,msaada tafadhali

    Nijuavyo supp mwisho tatu, Umedisco ndugu.
  5. A

    Kwa Hotuba ya Kagera, ni bora angekaa kimya

    Chungu ya ukweli, na tamu ya uongo bora ipi?.
  6. A

    Kwa Hotuba ya Kagera, ni bora angekaa kimya

    Kabla hajenda mlikuwa mnapiga kelele, eti hajenda kuwatembelea wahanga. Kaenda kawapa ukweli tena mnarudi eti bora asingeenda. Hamna shukran.
  7. A

    Step 10: Nilivyowekeza laki moja hadi kuanza kutengeneza milioni moja kila siku 3 (step by step)

    Huo mzigo unapoagiza, unaulipi makodi yaliyopo bandarini? Au gharama zote znakuwa kwao?
  8. A

    Msaada: wataalam wa computer

    Angalia life time ya battery kwa kutumia diagnostic tool.
Back
Top Bottom