jonas amos
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 3,625
- 4,410
Sikiliza kwanza yote uelewe ndo uchangieSijasikiliza yote ila nimeona sehemu anasema hakuna sehemu Mkandarasi anapewa pesa ndiyo afanye kazi. Ina maana ile dhana ya advance payment kwa wakandaras haipo duniani au kajitoa akili?
Anyway, mm sijamsikia from the beginning lkn naamini kabisa Kuna uwezekano wa uzembe kote kote. Mkuu ktk mirad hii serikali nayo ina sarakasi zake za ajabu sana.