Azam TV wanazingua

Azam TV wanazingua

Ndio maana nikasema kwangu haijawahi tokea hali hiyo!!! Na hata majirani zangu wanapoonyesha mipira kuna kuwa na mvua kubwa sana lakini bado mpira unaoneshwa?! Inakuwaje lakini kwa azam ni sehemu kubwa watu wanalalamika'! Ila na ubora na LNB unachangia sana!!
Mvua ikizidi hata DSTV inakata mkuu, huo ndio ukweli
 
Hii ni kweli kabisa....nipo Morogoro ila kamvua kadogo tu kakinyesha Azam huwapati....

Mpaka mtoto wangu mmoja akatania hata ikitokea akapanda juu ya bati akakojolea dish basi itakata

Wamenilazimu kipindi hiko cha mvua ku-activate subsription yangu ya Startimes walau nisikose habari wanapopotea hewani
 
Ndio maana nikasema kwangu haijawahi tokea hali hiyo!!! Na hata majirani zangu wanapoonyesha mipira kuna kuwa na mvua kubwa sana lakini bado mpira unaoneshwa?! Inakuwaje lakini kwa azam ni sehemu kubwa watu wanalalamika'! Ila na ubora na LNB unachangia sana!!
Una bahati mkuu, hiyo dstv mvua ikinyesha ni shida hasa kipindi hiki cha masika,channel zinakata kabisa
 
Una bahati mkuu, hiyo dstv mvua ikinyesha ni shida hasa kipindi hiki cha masika,channel zinakata kabisa
Kaka Dstv habari nyingine kabisa, kama umeset dish signal strength and quality zikawa above 70% wewe hata mvua ya mawe uje anapiga mzigo, Mimi toka nimeanza kutuma nakaa ukanda wenye mvua sana Kilimanjaro lakini sijawahi kumbana na hicho kimeo cha kukata kata. Ndio mana tunalipa ghali usifikiri mchezo yani subscription ulipie 85,000 afu unilinganishe na wewe Wa 10,000 common meeeen.
 
Hili likapuni lina shida kweli, wafanye juu chini warekebishe, inaboa Sana manyunyu kidogo tu utasikia mikwaruzo na kuzimika, acheni hizo
 
Yaani hiki king'amuz cha Azam TV kina kela kwakweli,nipo tu home masaa mawili sasa mvua inanyesha hat kuangalia TV siwezi.
Yaani hawa jamaa mvua ikinyesha tu matangazo yanakata,signal zinashuka.Da inanikera sana Mimi.Watu wa Azam TV mjaribu kumaliza hili tatizo maana toka mvua za masika zimeanza mara nyingi nakosa kupata picha nzuri.

Ndiyo pa kuhamia ' Dstv ' hapo Mkuu.
 
Kaka Dstv habari nyingine kabisa, kama umeset dish signal strength and quality zikawa above 70% wewe hata mvua ya mawe uje anapiga mzigo, Mimi toka nimeanza kutuma nakaa ukanda wenye mvua sana Kilimanjaro lakini sijawahi kumbana na hicho kimeo cha kukata kata. Ndio mana tunalipa ghali usifikiri mchezo yani subscription ulipie 85,000 afu unilinganishe na wewe Wa 10,000 common meeeen.
Natumia dstv toka 2009, nazungumza kutokana na uzoefu wangu.
 
Wasiliana nao/ huduma kwa wateja/ tumia Social media ku address malalamiko yako wako very active utajibiwa!
Kujibiwa siyo tatizo bali wanazingua,mvua kidogo tu tayari inakuwa kero hatuoni kitu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom