shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Mvua ikizidi hata DSTV inakata mkuu, huo ndio ukweliNdio maana nikasema kwangu haijawahi tokea hali hiyo!!! Na hata majirani zangu wanapoonyesha mipira kuna kuwa na mvua kubwa sana lakini bado mpira unaoneshwa?! Inakuwaje lakini kwa azam ni sehemu kubwa watu wanalalamika'! Ila na ubora na LNB unachangia sana!!