Unajua kila mwanamme ana vigezo vyake vya kuchagua mwanamke wa kuishi nae, natumai ww binafsi una vigezo vyako ispokua unahitaji nyongeza kutoka kwetu. Uchamungu ndio kitu cha kwanza kuangalia kwa mwanamke. Pili heshima na jinsi gn anajumuika na familia yake pia na za wenzake. Pesa na uwezo wake...
Hii ni sahihi kabisa lkn niweke sawa kdg hawara hua ana harama zaid ya mke mana hua hajali hali uliokua nayo anachofaham yy kua anapohitaji kitu umpatie vyenginevyo anaweza kukupotezea. Nadhan uke wenza ni bora zaid kuliko kua na hawara na ww mke unaesema bora mumeo awe na hawara kuliko kuoa...
Kutokana na mfumo wa taalauma wa Zanzibar hatuwezi kuepukana na kushika mkia katika matokeo ya mitihani ya Necta. Wanafunzi ambao wanaandaliwa kwa ajili ya kupata matokeo mazuri ya mitihani ni wale ambao wanaigia ktk shule za vipaji tu ambao wamefaulu darasa la saba. Idadi ya wafaulu haizidi...
Unajua kila kichwa na wazimu wake lkn kila mtu anajihisi yuko safi tu, hakiwaji kutungwa kitabu kupitia mkono wa mwanadam kikakosa kasoro na ndio mana hata katika masomo yetu shuleni tunahakiki na tunatosa kasoro kaza wa kaza ingali tukiwa wanafunzi. Katika kitabu cha Qur'an mwenyewe Muumba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.