Evvy jr
Senior Member
- Apr 23, 2017
- 140
- 191
Habari zenu wakuu...
Kuna jambo limekua likinitatiza sana kichwani kwangu. Huwa nakaa nafikiria nadharia mbalimbali za watu juu ya sifa za mwanamke wa kuoa au mwanaume wa kuolewa nae lkn huwa sipati jibu.
Huwa nafurahishwa sana na mzee wangu ambae kiutumishi ni mchungaji, yy huwa ananisisitiza zaidi nizingatie sifa mbili pekee napotafuta binti wa kuoa. Sifa ya kwanza anasisitiza awe ni binti mcha Mungu na sifa ya pili awe ni msichana mzuri wa sura na umbo (anapenda kusema hata wana wa Israel walikua wazuri wa sura na umbo). Cjaelewa kwa nn husisitiza uzuri wa sura na umbo.
Narudi kwako mwana jamvi mwenzangu, Je ni sifa zipi unazingatia kwenye suala la kutafuta mchumba? Na kwa ww ulieolewa/oa ni sifa zipi ulizingatia kwa mwenza wako? Na pia unahisi mzee wangu ni kwa nn anapenda kusisitiza sifa moja wapo iwe ni uzuri wa sura na umbo (kuna siri gani imejificha kwenye uzuri)?
Kuna jambo limekua likinitatiza sana kichwani kwangu. Huwa nakaa nafikiria nadharia mbalimbali za watu juu ya sifa za mwanamke wa kuoa au mwanaume wa kuolewa nae lkn huwa sipati jibu.
Huwa nafurahishwa sana na mzee wangu ambae kiutumishi ni mchungaji, yy huwa ananisisitiza zaidi nizingatie sifa mbili pekee napotafuta binti wa kuoa. Sifa ya kwanza anasisitiza awe ni binti mcha Mungu na sifa ya pili awe ni msichana mzuri wa sura na umbo (anapenda kusema hata wana wa Israel walikua wazuri wa sura na umbo). Cjaelewa kwa nn husisitiza uzuri wa sura na umbo.
Narudi kwako mwana jamvi mwenzangu, Je ni sifa zipi unazingatia kwenye suala la kutafuta mchumba? Na kwa ww ulieolewa/oa ni sifa zipi ulizingatia kwa mwenza wako? Na pia unahisi mzee wangu ni kwa nn anapenda kusisitiza sifa moja wapo iwe ni uzuri wa sura na umbo (kuna siri gani imejificha kwenye uzuri)?