Recent content by aggrey kimambo

  1. aggrey kimambo

    Yeye kajuaje kama Kamanda Sirro anajua?

    Ungeweza kueleweka vyema kama ungejikita kwenye hoja za zitto kabwe bila ya kufanya personal attacks. Ulichofanya hapo katika Kilatini kinaitwa shambulizi la "ad hominem". Hili ni shambulizi la kuacha hoja, na kuanza kumshambulia mtoa hoja. Ukifanya shambulizi hili mara nyingi ni dalili za...
  2. aggrey kimambo

    Mara: Wananchi wavamia mgodi wa Dhahabu wa Nyamongo na kupora Polisi wakiwepo!

    Tarime hatunaga weledi katika kukamata mwizi Muraaaa, huku bhita ni bhita Muraaa!!!
  3. aggrey kimambo

    Stephen Wassira aikosoa ilani ya Rais Magufuli ya Tanzania ya viwanda

    Huyu si alikuwa mwenyekiti wa kamati ya kuandaa ilani ya uchaguzi ya ccm mwaka 2015? Hakuyaona hayo?
  4. aggrey kimambo

    Rais Magufuli amteua Prof. Chibunda kuwa Makamu Mkuu chuo cha SUA

    Sijui Charter ya SUA inasemaje kuhusu uteuzi wa VC na viongozi wengineyo, ila nachofahamu HATI RIDHIA ya vyuo vikuu vingi vya umma, zimempa mamlaka mkuu wa chuo (chancellor) kuteua makamu mkuu wa chuo (vice chancellor) baada ya mapendekezo kadhaa ya majina kutoka kwenye search committiee.
  5. aggrey kimambo

    Huu waweza kuwa mwisho wa Lowassa kisiasa!

    Haha pole mkuu, unaloliwaza haliwezekani maana amezungukwa na malaika wa kijeshi na ataashi bila madhara yeyote yatakayopangwa na binadamu juu yake mpaka pale neno la MUNGU litakapotimia juu yake.
  6. aggrey kimambo

    Kuhusu TLS: Itabidi Tundu Lissu ajiuzulu

    Una wivu wa kike, haihitaji maelezo zaidi.
  7. aggrey kimambo

    Wanamuziki wa Kimarekani walioweka mistari ya Kiswahili ndani ya nyimbo zao

    Quantico (tv show) inayorushwa na ABC season 2 wamehesabu kiswahili moja mpka 10
  8. aggrey kimambo

    Msaada wa kuhama chuo

    Wakuu salaam, mdogo wangu amechaguliwa chuo ambacho ni chaguo lake la mwisho, je kuna uwezekano wa yeye kuhama chuo? Na je kama upo utaratibu wake unakuwaje?
  9. aggrey kimambo

    Tuliaminishwa na Media kuwa Bakhresa anakwepa kodi kumbe upotoshaji baada ya kauli ya Rais

    Kwahiyo hata ile sukari yake iliyoshikiliwa na serikali, na rais akaamuru waziri aichalie, nayo iliaminishwa na waandishi wa habari na members wa JF?
  10. aggrey kimambo

    Wakazi wa Dar badilikeni

    Umekalili=umekariri....mmmh wanaume wa dar!!
  11. aggrey kimambo

    Uhuru kwa watumiaji wa bangi na mirungi, njia bora kuongezea nchi mapato

    Mkuu hesabu imekushinda hapo on conversion. Anyway hivi ndo vijimadhara vya bangi, ambavyo wewe hauvioni ila watu wengine wanaviona.
  12. aggrey kimambo

    Je, utabiri wa Zitto Kabwe umetimia/unatimia?

    ACT ni kijitaasisi cha zitto kabwe cha kumpeleka bungeni. Ni kama kile cha leka dutigite, kama hauamini nitajie wabunge wawili tu kwa tiketi ya ACT then uambatanishe na namba yako ya mpesa.
  13. aggrey kimambo

    Lowassa akiwa na wazee wa kabila la kimasai katika eneo la Mto wa mbu alipofika kuwajulia hali

    Wameketia viti vya plastic afu unasema ni masikini? Hizo rubega zisikufanye uwaone ni masikini, hizo ni tamaduni. Haya nenda cha.to uone viti gani vinatumika kuketia!!
  14. aggrey kimambo

    Kwanini Uber Tanzania haijakuwa maarufu kwa watu wengi?

    Nimeitumia uber sana Nairobi Kenya, na ndiyo habari ya mjini. Lakini kutumia uber kwa tax driver uku bongo itakuwa ni changamoto. Inahitaji driver awe na smartphone kwanza, pili awe na sharp mind kwenye matumizi ya smartphone tatu inabidi awe na gari ambalo si bovu bovu na cc engine yake...
  15. aggrey kimambo

    Wito: Vijana kazanieni SIASA... "ELIMU" ya Bongo hailipi! Mambo yote mazuri ni ndani ya Siasa...

    Lakini pia mkuu umenikumbusha mbali kuna dr. Mmoja aliongea na vijana wa chuo kikuu flani morogoro kwamba serikali haiwezi kuajiri vijana wote inabidi mjiajiri na muwe wabunifu. Ghafla akashushwa kwenye kile kiyoyozi cha VX V8 akaishia kusemaa amekosa, amekosa,amekosa yeye hana pakujishika.
Back
Top Bottom