Kuhusu TLS: Itabidi Tundu Lissu ajiuzulu

shige2

JF-Expert Member
Oct 11, 2016
8,106
3,966
Naomba kuzungumzia kuhusu kuchaguliwa kwa Mh. Tundu Lisu mbunge wa Singida Mashariki kuwa Mwenyekiti/President wa TLS.

Kwanza kabisa tuangalie MIFANO kutoka katika nchi za jumuia ya Afrika Mashariki:
Kenya:
Mwenyekiti wao wa LSK Lawyer Issac Okero SI MWANASIASA.
Uganda ULS-Francis Gimara SI MWANASIASA.
Rwanda Bar Association-Kavaliganda SI MWANASIASA.
Kwa nini sisi hapa mwenyekiti wa TLS ni MWANASIASA na tena ni MBUNGE?

TLS kumchagua Tundu Lisu najua ilikuwa ni PROTEST VOTE against the establishment. Ikiwa hatakuwa CHECKED itawagharimu.

Najua uchaguzi umeisha na niaamini REALITY na reflection imeanza KU SINK in kama KWELI Tundu Lisu ata FIT katika WADHIFA HUO bila kuleta MIGONGANO isiyo na tija.

Kwa nini nina mashaka kuwa TLS iko katika shida kutokana na uamuzi huo? Baadhi ya sababu ni kuwa:
I.Itakuwa ni vigumu sana kwa Tundu Lisu kufanya
kazi zake za uenyekiti bila kuwa na MIEGEMEO ya KISIASA ambayo ITA DENT IMAGE ya TLS kama chombo cha WANASHERIA wasio na MIEGEMEO ya KISIASA.
2. Itamuwia vigumu kutekeleza majukumu MAWILI, Moja la JIMBO lake na pia MATARAJIO ya Members wa TLS. ikiwa ni pamoja na kuandaa SEMINA, MAFUNZO, KUSAIDIA wananchi katika mambo ya sheria ya UKAWA, CCM na WASIO na Chama
3.Ndani ya TLS kuna wale MEMBERS ambao si CHADEMA. How will he be able to BALANCE that? Nk.
4. Je ATAPOKEA mishahara MIWILI na MARUPURUPU ya TLS na ya BUNGE?

Ushauri wangu kwa Mh. Tundu Lisu ni vizuri AJIUZULU wadhifa mmoja ili kuzuia CONFLICT of INTEREST kati ya SERIKALI, Wanachama, na TLS. Bila hivyo CREDIBILITY yaTLS itakuwa DENTED na HAITAHESHIMIKA tena.
 
Mwanzo kabisa wa game Tulisema vyeti viwekwe mezani mchezo uishe, matokeo yake hamkuweka ma mkasisitiza kutoweka katu.

Mkasema kuna Giza Totoro hamuoni vema kabati mlilotunzia, hivyo kupelekea kurudisha jibu kuwa hamuoni mahala vilipo mpaka mpatiwe msaada wa tochi (kama zile za kuwindia usiku au za migodini)
.
Tukasema fine, tochi itafutwe kila mahala na iletwe ili kuondoa kiza kilichotanda, nasi

tukatimua mbio za nyikaTukaenda kufata tochi ya kumulikia ...tukapata tena yenye betri full charge kutoka kwa wana appolo waliosafiri mpaka r-chuga (AICC) ili tu waptae tochi genuine (original) kwaajili ya kazi iliyokuwa mbele yetu.

matokeo yake ndani ya dk 3 tu za mwanzo wa msako wa kila pembe ya nyumba mnaanza kulalama na kusema mwanga wa tochi mkali sana mpaka unaumiza macho vibaya sana ( mkaanza kuhamisha goli pole pole.)

Mara ooh ,bora tochi izimwe tu tusake vyeti kwa kupapasa papasa tu licha ya Giza Totoro lililopo ndani ya nyumba.

Ila kadri muda unavyo yoyoma hatuoni dalili za kupatikana kwa cheti wala hata ile kopi yake tu.

Ghafla wengine kadhaa wakaanza kupandwa na ghadhabu wakidai tochi iliyoletwa ivunjiliwe mbali kwani inawezekana ndio imesababisha cheti kisionekane kirahisi,

Mara kundi lingine likaja na hoja kuwa, mchezo wa kuhamisha goli haukubaliki llasivyo patachimbika mbaya. Mbwai na jiwe mbwai tu , watu wkaanza kukunja mikono ya mashati yao tayari kwa msako pevu wa ......

Sasa Jamani watanzania tunawauliza kwa herufi kubwa kuwa, hivi mpewe Nini ndio mridhike...??
Mliyekuwa mnamtaka kaja, sasa mnaanza kiwewe, tulieni dawa iingie barabara na mgonjwa apate kupona maradhi yanayo msumbua


CC: Tundu Lissu
 
Naomba kuzungumzia kuhusu kuchaguliwa kwa Mh. Tundu Lisu mbunge wa Singida Mashariki kuwa Mwenyekiti/President wa TLS.

Kwanza kabisa tuangalie MIFANO kutoka katika nchi za jumuia ya Afrika Mashariki:
Kenya:
Mwenyekiti wao wa LSK Lawyer Issac Okero SI MWANASIASA.
Uganda ULS-Francis Gimara SI MWANASIASA.
Rwanda Bar Association-Kavaliganda SI MWANASIASA.
Kwa nini sisi hapa mwenyekiti wa TLS ni MWANASIASA na tena ni MBUNGE?

TLS kumchagua Tundu Lisu najua ilikuwa ni PROTEST VOTE against the establishment. Ikiwa hatakuwa CHECKED itawagharimu.

Najua uchaguzi umeisha na niaamini REALITY na reflection imeanza KU SINK in kama KWELI Tundu Lisu ata FIT katika WADHIFA HUO bila kuleta MIGONGANO isiyo na tija.

Kwa nini nina mashaka kuwa TLS iko katika shida kutokana na uamuzi huo? Baadhi ya sababu ni kuwa:
I.Itakuwa ni vigumu sana kwa Tundu Lisu kufanya
kazi zake za uenyekiti bila kuwa na MIEGEMEO ya KISIASA ambayo ITA DENT IMAGE ya TLS kama chombo cha WANASHERIA wasio na MIEGEMEO ya KISIASA.
2. Itamuwia vigumu kutekeleza majukumu MAWILI, Moja la JIMBO lake na pia MATARAJIO ya Members wa TLS. ikiwa ni pamoja na kuandaa SEMINA, MAFUNZO, KUSAIDIA wananchi katika mambo ya sheria ya UKAWA, CCM na WASIO na Chama
3.Ndani ya TLS kuna wale MEMBERS ambao si CHADEMA. How will he be able to BALANCE that? Nk.
4. Je ATAPOKEA mishahara MIWILI na MARUPURUPU ya TLS na ya BUNGE?

Ushauri wangu kwa Mh. Tundu Lisu ni vizuri AJIUZULU wadhifa mmoja ili kuzuia CONFLICT of INTEREST kati ya SERIKALI, Wanachama, na TLS. Bila hivyo CREDIBILITY yaTLS itakuwa DENTED na HAITAHESHIMIKA tena.
Haya mambo tumeamua sie wasomi tunaoijua sheria, taratibu katiba yetu...baada ya kuona sheria, kanuni na taratibu za likatiba zinayumbishwa yumbishwa..
Tumeweka rais asiyeyumba, ndio atuongeze sasa wewe inakuwasha nn? Kwn wewe mwanachama? Mbona hukumpigia unaemtaka??
 
Naomba kuzungumzia kuhusu kuchaguliwa kwa Mh. Tundu Lisu mbunge wa Singida Mashariki kuwa Mwenyekiti/President wa TLS.

Kwanza kabisa tuangalie MIFANO kutoka katika nchi za jumuia ya Afrika Mashariki:
Kenya:
Mwenyekiti wao wa LSK Lawyer Issac Okero SI MWANASIASA.
Uganda ULS-Francis Gimara SI MWANASIASA.
Rwanda Bar Association-Kavaliganda SI MWANASIASA.
Kwa nini sisi hapa mwenyekiti wa TLS ni MWANASIASA na tena ni MBUNGE?

TLS kumchagua Tundu Lisu najua ilikuwa ni PROTEST VOTE against the establishment. Ikiwa hatakuwa CHECKED itawagharimu.

Najua uchaguzi umeisha na niaamini REALITY na reflection imeanza KU SINK in kama KWELI Tundu Lisu ata FIT katika WADHIFA HUO bila kuleta MIGONGANO isiyo na tija.

Kwa nini nina mashaka kuwa TLS iko katika shida kutokana na uamuzi huo? Baadhi ya sababu ni kuwa:
I.Itakuwa ni vigumu sana kwa Tundu Lisu kufanya
kazi zake za uenyekiti bila kuwa na MIEGEMEO ya KISIASA ambayo ITA DENT IMAGE ya TLS kama chombo cha WANASHERIA wasio na MIEGEMEO ya KISIASA.
2. Itamuwia vigumu kutekeleza majukumu MAWILI, Moja la JIMBO lake na pia MATARAJIO ya Members wa TLS. ikiwa ni pamoja na kuandaa SEMINA, MAFUNZO, KUSAIDIA wananchi katika mambo ya sheria ya UKAWA, CCM na WASIO na Chama
3.Ndani ya TLS kuna wale MEMBERS ambao si CHADEMA. How will he be able to BALANCE that? Nk.
4. Je ATAPOKEA mishahara MIWILI na MARUPURUPU ya TLS na ya BUNGE?

Ushauri wangu kwa Mh. Tundu Lisu ni vizuri AJIUZULU wadhifa mmoja ili kuzuia CONFLICT of INTEREST kati ya SERIKALI, Wanachama, na TLS. Bila hivyo CREDIBILITY yaTLS itakuwa DENTED na HAITAHESHIMIKA tena.
Mbona hutaji marais waliopita walikuwaje. Wanasiasa au siyo? Lakini kwa nini una predict sasa kabla hata hajaaza kazi ili tuone hiyo conflict of interest kama Ipo?

Kama chini fikiri upya. Hapa panaitwa the home of great thinkers
 
Yaani tujue logic ya andishi lako ulipaswa kurefer miaka at least mitatu nyumba kwa kuwataja waliowahi kuwa marais wa TLS hapa kwetu pengine logic ingeonekana but now najua dawa Kali mnalazimishwa kunywa.
 
Naomba kuzungumzia kuhusu kuchaguliwa kwa Mh. Tundu Lisu mbunge wa Singida Mashariki kuwa Mwenyekiti/President wa TLS.

Kwanza kabisa tuangalie MIFANO kutoka katika nchi za jumuia ya Afrika Mashariki:
Kenya:
Mwenyekiti wao wa LSK Lawyer Issac Okero SI MWANASIASA.
Uganda ULS-Francis Gimara SI MWANASIASA.
Rwanda Bar Association-Kavaliganda SI MWANASIASA.
Kwa nini sisi hapa mwenyekiti wa TLS ni MWANASIASA na tena ni MBUNGE?

TLS kumchagua Tundu Lisu najua ilikuwa ni PROTEST VOTE against the establishment. Ikiwa hatakuwa CHECKED itawagharimu.

Najua uchaguzi umeisha na niaamini REALITY na reflection imeanza KU SINK in kama KWELI Tundu Lisu ata FIT katika WADHIFA HUO bila kuleta MIGONGANO isiyo na tija.

Kwa nini nina mashaka kuwa TLS iko katika shida kutokana na uamuzi huo? Baadhi ya sababu ni kuwa:
I.Itakuwa ni vigumu sana kwa Tundu Lisu kufanya
kazi zake za uenyekiti bila kuwa na MIEGEMEO ya KISIASA ambayo ITA DENT IMAGE ya TLS kama chombo cha WANASHERIA wasio na MIEGEMEO ya KISIASA.
2. Itamuwia vigumu kutekeleza majukumu MAWILI, Moja la JIMBO lake na pia MATARAJIO ya Members wa TLS. ikiwa ni pamoja na kuandaa SEMINA, MAFUNZO, KUSAIDIA wananchi katika mambo ya sheria ya UKAWA, CCM na WASIO na Chama
3.Ndani ya TLS kuna wale MEMBERS ambao si CHADEMA. How will he be able to BALANCE that? Nk.
4. Je ATAPOKEA mishahara MIWILI na MARUPURUPU ya TLS na ya BUNGE?

Ushauri wangu kwa Mh. Tundu Lisu ni vizuri AJIUZULU wadhifa mmoja ili kuzuia CONFLICT of INTEREST kati ya SERIKALI, Wanachama, na TLS. Bila hivyo CREDIBILITY yaTLS itakuwa DENTED na HAITAHESHIMIKA tena.
Tanzania lazima tujifunze kufanya yetu pasipo kuiga kwa mtu kwani huko kwao kila kitu kunafanana na Tanzania? Mfano kenya na Uganda IGP wa huko Huwa ni mjeshi Yaani Maj General hawapendi kutumia polisi kwenye cheo hicho, pia kenya hawana vyeo vya RC lakini Tanzania RC ni Mungu tena anaweza kuja na polis kwako akamchukua mkeo live pasipo Rais kumtumbua jipu hasa akiwa kabla moja na Rais, hii Africa mashariki kila Nchi inaenda kivyake vyake kulingana na mazingira ya Nchi husika, Mfano kwa Tanzania ya sasa imejaa Udikteta lazima mtu kama Lisu awe Rais wa TLS kinyume na hapo haki za binadamu zitatoweka kabsa, Acha kuishi kwa kukariri akili za mwakyembe tulia usubiri TLS warejeshe nidhamu ya kufuata Utawala wa sheria.
 
Naomba kuzungumzia kuhusu kuchaguliwa kwa Mh. Tundu Lisu mbunge wa Singida Mashariki kuwa Mwenyekiti/President wa TLS.

Kwanza kabisa tuangalie MIFANO kutoka katika nchi za jumuia ya Afrika Mashariki:
Kenya:
Mwenyekiti wao wa LSK Lawyer Issac Okero SI MWANASIASA.
Uganda ULS-Francis Gimara SI MWANASIASA.
Rwanda Bar Association-Kavaliganda SI MWANASIASA.
Kwa nini sisi hapa mwenyekiti wa TLS ni MWANASIASA na tena ni MBUNGE?

TLS kumchagua Tundu Lisu najua ilikuwa ni PROTEST VOTE against the establishment. Ikiwa hatakuwa CHECKED itawagharimu.

Najua uchaguzi umeisha na niaamini REALITY na reflection imeanza KU SINK in kama KWELI Tundu Lisu ata FIT katika WADHIFA HUO bila kuleta MIGONGANO isiyo na tija.

Kwa nini nina mashaka kuwa TLS iko katika shida kutokana na uamuzi huo? Baadhi ya sababu ni kuwa:
I.Itakuwa ni vigumu sana kwa Tundu Lisu kufanya
kazi zake za uenyekiti bila kuwa na MIEGEMEO ya KISIASA ambayo ITA DENT IMAGE ya TLS kama chombo cha WANASHERIA wasio na MIEGEMEO ya KISIASA.
2. Itamuwia vigumu kutekeleza majukumu MAWILI, Moja la JIMBO lake na pia MATARAJIO ya Members wa TLS. ikiwa ni pamoja na kuandaa SEMINA, MAFUNZO, KUSAIDIA wananchi katika mambo ya sheria ya UKAWA, CCM na WASIO na Chama
3.Ndani ya TLS kuna wale MEMBERS ambao si CHADEMA. How will he be able to BALANCE that? Nk.
4. Je ATAPOKEA mishahara MIWILI na MARUPURUPU ya TLS na ya BUNGE?

Ushauri wangu kwa Mh. Tundu Lisu ni vizuri AJIUZULU wadhifa mmoja ili kuzuia CONFLICT of INTEREST kati ya SERIKALI, Wanachama, na TLS. Bila hivyo CREDIBILITY yaTLS itakuwa DENTED na HAITAHESHIMIKA tena.
Sure uko sshihi.
 
Kila siku najiuliza yule judge lini alikua na kadi mpk hatua ya kugombea kupata nafasi ya kugombea Urais kupitia ccm, same tulia and the likes

Maccm utadhani wameumbiwa kutawala hii nchi.

Wamekaa na bashite for years hawajajua km ni criminal.
 
Mleta mada jiulize swali moja tuJE Lisu ni mwanasheria? Kama jibu lako Ndio basi kaa kimya.

Mfano:wewe lazima ni mkristu au muislam, je unapojiunga na chama cha siasa uislamu au ukristu wako unaisha? Kama hauishi je unakwenda kufundisha au kusimamia udini kwenye chama? Jibu ni hapana

Jekwenye chama au kanisani/msikini unanyimwa nafasi kwa sababu ya kuwa kwenye chama au dini fulani.

The more you grow the more you expose your matako.

Better keep silence
 
Naomba kuzungumzia kuhusu kuchaguliwa kwa Mh. Tundu Lisu mbunge wa Singida Mashariki kuwa Mwenyekiti/President wa TLS.

Kwanza kabisa tuangalie MIFANO kutoka katika nchi za jumuia ya Afrika Mashariki:
Kenya:
Mwenyekiti wao wa LSK Lawyer Issac Okero SI MWANASIASA.
Uganda ULS-Francis Gimara SI MWANASIASA.
Rwanda Bar Association-Kavaliganda SI MWANASIASA.
Kwa nini sisi hapa mwenyekiti wa TLS ni MWANASIASA na tena ni MBUNGE?

TLS kumchagua Tundu Lisu najua ilikuwa ni PROTEST VOTE against the establishment. Ikiwa hatakuwa CHECKED itawagharimu.

Najua uchaguzi umeisha na niaamini REALITY na reflection imeanza KU SINK in kama KWELI Tundu Lisu ata FIT katika WADHIFA HUO bila kuleta MIGONGANO isiyo na tija.

Kwa nini nina mashaka kuwa TLS iko katika shida kutokana na uamuzi huo? Baadhi ya sababu ni kuwa:
I.Itakuwa ni vigumu sana kwa Tundu Lisu kufanya
kazi zake za uenyekiti bila kuwa na MIEGEMEO ya KISIASA ambayo ITA DENT IMAGE ya TLS kama chombo cha WANASHERIA wasio na MIEGEMEO ya KISIASA.
2. Itamuwia vigumu kutekeleza majukumu MAWILI, Moja la JIMBO lake na pia MATARAJIO ya Members wa TLS. ikiwa ni pamoja na kuandaa SEMINA, MAFUNZO, KUSAIDIA wananchi katika mambo ya sheria ya UKAWA, CCM na WASIO na Chama
3.Ndani ya TLS kuna wale MEMBERS ambao si CHADEMA. How will he be able to BALANCE that? Nk.
4. Je ATAPOKEA mishahara MIWILI na MARUPURUPU ya TLS na ya BUNGE?

Ushauri wangu kwa Mh. Tundu Lisu ni vizuri AJIUZULU wadhifa mmoja ili kuzuia CONFLICT of INTEREST kati ya SERIKALI, Wanachama, na TLS. Bila hivyo CREDIBILITY yaTLS itakuwa DENTED na HAITAHESHIMIKA tena.

Una wivu wa kike, haihitaji maelezo zaidi.
 
Naomba kuzungumzia kuhusu kuchaguliwa kwa Mh. Tundu Lisu mbunge wa Singida Mashariki kuwa Mwenyekiti/President wa TLS.

Kwanza kabisa tuangalie MIFANO kutoka katika nchi za jumuia ya Afrika Mashariki:
Kenya:
Mwenyekiti wao wa LSK Lawyer Issac Okero SI MWANASIASA.
Uganda ULS-Francis Gimara SI MWANASIASA.
Rwanda Bar Association-Kavaliganda SI MWANASIASA.
Kwa nini sisi hapa mwenyekiti wa TLS ni MWANASIASA na tena ni MBUNGE?

TLS kumchagua Tundu Lisu najua ilikuwa ni PROTEST VOTE against the establishment. Ikiwa hatakuwa CHECKED itawagharimu.

Najua uchaguzi umeisha na niaamini REALITY na reflection imeanza KU SINK in kama KWELI Tundu Lisu ata FIT katika WADHIFA HUO bila kuleta MIGONGANO isiyo na tija.

Kwa nini nina mashaka kuwa TLS iko katika shida kutokana na uamuzi huo? Baadhi ya sababu ni kuwa:
I.Itakuwa ni vigumu sana kwa Tundu Lisu kufanya
kazi zake za uenyekiti bila kuwa na MIEGEMEO ya KISIASA ambayo ITA DENT IMAGE ya TLS kama chombo cha WANASHERIA wasio na MIEGEMEO ya KISIASA.
2. Itamuwia vigumu kutekeleza majukumu MAWILI, Moja la JIMBO lake na pia MATARAJIO ya Members wa TLS. ikiwa ni pamoja na kuandaa SEMINA, MAFUNZO, KUSAIDIA wananchi katika mambo ya sheria ya UKAWA, CCM na WASIO na Chama
3.Ndani ya TLS kuna wale MEMBERS ambao si CHADEMA. How will he be able to BALANCE that? Nk.
4. Je ATAPOKEA mishahara MIWILI na MARUPURUPU ya TLS na ya BUNGE?

Ushauri wangu kwa Mh. Tundu Lisu ni vizuri AJIUZULU wadhifa mmoja ili kuzuia CONFLICT of INTEREST kati ya SERIKALI, Wanachama, na TLS. Bila hivyo CREDIBILITY yaTLS itakuwa DENTED na HAITAHESHIMIKA tena.
Mbona huko ccm kuna wengine ni wabunge na ni mawazili na rais magufuli ni rais na ni mwenyekiti wa ccm , ahaaa umeona kijiti kwa jicho ya jirani yako
 
Back
Top Bottom