Recent content by Ader fla19

  1. Ader fla19

    JamiiForums Tanzania Ultrasound ni nini?

    X ray( ionising radiation) Ni mionzi inayoweza kuvunja DNA ya cell.. Kipimo cha X ray ni kizuri kuona mifupa Ultrasound ( Non-ionizing radiation) Ni mionzi isiyoweza kuvunja DNA ya cell Ni mawimbi ya sauti yenye nguvu ya juu ambayo masikio ya mwanadamu hayawezi kusikia.. Kipimo cha ultrasound...
  2. Ader fla19

    JamiiForums Tanzania Ultrasound ni nini?

    Wacha nikujibu mm. MRI( magnetic resonance imaging) hutumia nguvu ya usumaku kutengeza picha. 1. Mwili wa mwanadamu una organ( ubongo, ini, Figo n.k) ndani ya organi kuna tissue na ndani ya tissue kuna cells na ndani ya cells kuna maji n.k Kama umesoma physics vizuri kuna hii kitu.. Palipo na...
  3. Ader fla19

    JamiiForums Tanzania Wapenzi wa Efootball

    kwa wapenzi wa Efootball katika harakati za kupunguza stress na kutafuta burudani kwa bei chee karibuni tutengeneze league yetu wenyewe.... Cha kufanya tunatengeneza Group la wasap kwa ajili ya kutuma matokeo ya mechi ya kila mtu.. Nicheki wasap #0753112808 tuma jina la team yako na logo...
  4. Ader fla19

    JamiiForums Tanzania Usichokijua kuhusu Game la Efootball kwenye simu yako

    EFOOTBALL LEAGUE Kwa watu walio active, Waje tutengeze league yetu Text me wasap 075311288 jina la team yako linalotokea ukiwa unacheza mechi, na logo unayopenda tema yako ionekane kwenye league...
  5. Ader fla19

    JamiiForums Tanzania eFootball Special Thread

    EFOOTBALL LEAGUE Kwa watu walio active, Waje tutengeze league yetu Text me wasap 075311288 jina la team yako linalotokea ukiwa unacheza mechi, na logo unayopenda tema yako ionekane kwenye league...
  6. Ader fla19

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

    Naomba msaada wa kuondoa madoa haya kwa mdogo wangu wa kike umri miaka 15. mwanzo alikua anasumbuliwa na upele uliokua unajitokeza kwa awamu na alipoenda hospital aliambiwa ni Allergy. Hili tatizo la kupata vipele vinavyowasha lilikua lina kuja na kupotea baada ya muda.... Baadae kidogo ndipo...
  7. Ader fla19

    JamiiForums Tanzania MSAADA: Tatizo na madoa meusi mikononi na miguuni

    Naomba msaada wa kuondoa madoa haya kwa mdogo wangu wa kike umri miaka 15. mwanzo alikua anasumbuliwa na upele uliokua unajitokeza kwa awamu na alipoenda hospital aliambiwa ni Allergy. Hili tatizo la kupata vipele vinavyowasha lilikua lina kuja na kupotea baada ya muda.... Baadae kidogo...
  8. Ader fla19

    JamiiForums Tanzania MSAADA!!!

    Jamani poleni kwa majukumu... Nilikua naomba msaada kwa yeyote mtaalam wa online business hasa zile za ku-earn money online aje anipe msaada juu ya hii online site inayoitwa EARNJET niliyoambiwa ipo KENYA,TANZANIA NA UGANDA na inatoa asilimia 6% kila siku kwa pesa uliyo invest.. Kwa mfano...
  9. Ader fla19

    JamiiForums Tanzania Haahahaahha!!!

    bangi inapokutana na pombe kwenye mkutano wa hadhara... Jamaa alikua ana date na demu wa kisabato na mambo yalikua hivi. Jmaa:baby unampenda msanii gani wa kike!? Demu: me hata siwajui kabsa Jamaa:mmmh...kwa mfano akina nani hao ambao hata huwajui!?? Demu: kuna kina zuchu,nandy,na anjella...
  10. Ader fla19

    JamiiForums Tanzania Anayejua kozi nzuri za afya na chuo kipi wanaweza soma hapa nchini

    Shukurani ngoja niicheki
  11. Ader fla19

    JamiiForums Tanzania Anayejua kozi nzuri za afya na chuo kipi wanaweza soma hapa nchini

    Wana jukwaa natumaini mpo salama muda huu na poleni kwa majukumu ya kila siku. Niende moja kwa moja kwenye mada husika. Nina wadogo zangu (mmoja ndo mdogo wangu wa damu na wawili ni rafiki zake na mdogo wangu) wamemaliza form six mwaka huu na matokeo yao ni kama ifuatavyo. Baraka(mdogo wangu)...
  12. Ader fla19

    JamiiForums Tanzania Yeeep

    Kikundi cha mziki kilichopo milambo kinachoitwa PiTCHO GANG kimeachia Ngoma kuhusu milambo. Nyimbo inaitwa CHAMA LA WANAUME inapatikana YouTube.... Itafute upate burudani... Miongoni mwa mistari iliyomo wanakwambia HAKUNA MLAMBO MSHAMBA...
  13. Ader fla19

    JamiiForums Tanzania Pitcho Gang

    Kikundi cha mziki kilichopo milambo kinachoitwa PiTCHO GANG kimeachia Ngoma kuhusu milambo. Nyimbo inaitwa CHAMA LA WANAUME inapatikana YouTube.... Itafute upate burudani... Miongoni mwa mistari iliyomo wanakwambia HAKUNA MLAMBO MSHAMBA...
  14. Ader fla19

    JamiiForums Tanzania Topic gani ilikusumbua sana O-level au A-level

    [QU OTE="Hance Mtanashati, post: 34842087, member: 400241"] Huu ni uongo wa mchana kweupeeeee inawezekana mzee Sabah kuna maswali mengne ya fasihi yaan like LA 11 na lile LA lazima LA 15 yoote sio ya vitabu
  15. Ader fla19

    JamiiForums Tanzania Kwa kina Rama..!!!!

    Bora kuchakaa aiseeee Ni kipigo mpaka mbuzi inaitwa mbujiii
Back
Top Bottom