Recent content by adakiss23

  1. adakiss23

    JamiiForums Tanzania Kati ya UKIMWI na Kisukari upi ugonjwa mbaya zaidi?

    Tuliowahi kuona wagonjwa wa ukimwi from early 1990s ukimwi achana nao kabisa. Hizi ARV zinawapa sana kiburi vijana WA siku hizi kuona hauna issue ila ni hatari sana
  2. adakiss23

    JamiiForums Tanzania Makabila ambayo bora uwe single

    Kama hujataja kabila lolote la kusini basi hakuna research yoyote unafanya.
  3. adakiss23

    JamiiForums Tanzania Congo nyama ya mbwa kuuzwa sokoni ni kawaida

    Kwa vita ile ya kila siku ngombe unafuga wapi
  4. adakiss23

    JamiiForums Tanzania UPDATES: Tamasha la Miaka 30 ya Bongo Fleva | Mlimani City | 10.07.2026

    Kwa kuwa umetanguliza ujinga na upumbavu nakupuuza
  5. adakiss23

    JamiiForums Tanzania UPDATES: Tamasha la Miaka 30 ya Bongo Fleva | Mlimani City | 10.07.2026

    Dudu baya 🤣🤣🤣🤣🤣
  6. adakiss23

    JamiiForums Tanzania UPDATES: Tamasha la Miaka 30 ya Bongo Fleva | Mlimani City | 10.07.2026

    All in All show ya kawaida sana. Kwa kiingilio cha laki 1 huu ni upuuzi. Ilikuwa iwe live performance tena kisasa zaidi sio haya makelele ya DJ tulia sijui piga kelele mara mic moja aina nguvu ujinga mtupu
  7. adakiss23

    JamiiForums Tanzania UPDATES: Tamasha la Miaka 30 ya Bongo Fleva | Mlimani City | 10.07.2026

    Asiyehusika na shoo ashuke 🤣🤣🤣🤣
  8. adakiss23

    JamiiForums Tanzania Ewe mmiliki wa kampuni, unafahamu ya kuwa leo 30 Juni 2026 ni siku ya mwisho kuwasilisha hesabu za kampuni yako Kwenda TRA?

    Mtu binafsi kivipi mkuu. Fafanua itasaidia wengi humu
  9. adakiss23

    JamiiForums Tanzania Yanga walitumia tena Jumba la Maajabu pale Major General Isamuhyo. Hii inamaana gani? Au kudharau mamlaka?

    Halafu mnasema Tanzania kuna mpira yani timu half time inaenda dressing room nyumbani kwa mtu.
  10. adakiss23

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Naona makato mapema mwezi huu
  11. adakiss23

    JamiiForums Tanzania TANZIA Rapa Zay B (Zainab Lipangile) afariki dunia leo, Mei 31, 2026

    Zay B Sister P Dataz Rah P Da Jo
  12. adakiss23

    JamiiForums Tanzania Nimeshindwa kujizuia jamani

    Chemsha maji vuguvugu
  13. adakiss23

    JamiiForums Tanzania Naombeni kazi, ndani ya miezi miwili nipate milioni 1

    Mbona simpo. Uje na minara tu 😂 Natania tu
  14. adakiss23

    JamiiForums Tanzania Single Mother ananilazimisha kulipa ada ya mwanaye

    Kama hii story ni kweli, basi dogo ni mjinga kweli kweli. Unaishi na singo maza mixer baamedi 😂. Cha kukushauri chapa lapa haraka mno.
Back
Top Bottom