Recent content by adakiss23

  1. adakiss23

    JamiiForums Tanzania Nimeangukia Demu wa Mtaani: Utamu Sijawahi ona!

    Mkuu utalogwa very soon. Kwa uchawi noma sana. Na yeye anajua wewe sio class yake so kukutengeneza ni DK sifuri tu.
  2. adakiss23

    JamiiForums Tanzania KERO Je hakuna namna ya kuwadhibiti madalali?

    Tatizo washirikina balaa.
  3. adakiss23

    JamiiForums Tanzania Nitajuaje kama imechakatwa kupita kiasi?!!!

    Anuse ugoro basiiiii
  4. adakiss23

    JamiiForums Tanzania Nani alitudanganya sisi wamatumbi kuwa AZUMA , ni dawa ya U.T.I?

    Sababu ni zile zile 1. Lack of education 2. Poor infrastructure 3. Poverty 😂😂😂
  5. adakiss23

    JamiiForums Tanzania Mizimu ya kwetu haitaki uoe kabila nyingine tofauti na msukuma.

    Era hii bado mnawaza mizimu 😂
  6. adakiss23

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kurudi tena kazini baada ya kuacha kwa kunyimwa ruhusa ya masomo?

    Huu ndio uamuzi wenye busara angetakiwa kufanya
  7. adakiss23

    JamiiForums Tanzania Kuacha kazi pasipokutoa notice

    Hapo ni kuelewana tu baina ya mwaniri na mwajiriwa. Wote wana makosa. Hata kama hakuna makubaliano ya maandishi yapasa kuwe na hata ya mdomo ingawa kisheria hayana ushahidi wa moja kwa moja.
  8. adakiss23

    JamiiForums Tanzania Wilaya ya Temeke yaongoza kwa ushoga nchini

    Nakubaliana nawe temeke hali ni mbaya. Pubs na baa nyingi kwa sasa biashara yao kubwa au mauzo yao makubwa ni kuandaa sherehe uchwara wanaita shughuli (birthdays, sijui dada wa hiari, kufuta urafiki baina ya wadada hasa wanapogombana, kuachika mtu anaandaa sherehe) na wengi host ni mashoga au...
  9. adakiss23

    JamiiForums Tanzania Kati ya UKIMWI na Kisukari upi ugonjwa mbaya zaidi?

    Tuliowahi kuona wagonjwa wa ukimwi from early 1990s ukimwi achana nao kabisa. Hizi ARV zinawapa sana kiburi vijana WA siku hizi kuona hauna issue ila ni hatari sana
  10. adakiss23

    JamiiForums Tanzania Makabila ambayo bora uwe single

    Kama hujataja kabila lolote la kusini basi hakuna research yoyote unafanya.
  11. adakiss23

    JamiiForums Tanzania Congo nyama ya mbwa kuuzwa sokoni ni kawaida

    Kwa vita ile ya kila siku ngombe unafuga wapi
  12. adakiss23

    JamiiForums Tanzania UPDATES: Tamasha la Miaka 30 ya Bongo Fleva | Mlimani City | 10.07.2026

    Kwa kuwa umetanguliza ujinga na upumbavu nakupuuza
  13. adakiss23

    JamiiForums Tanzania UPDATES: Tamasha la Miaka 30 ya Bongo Fleva | Mlimani City | 10.07.2026

    Dudu baya 🤣🤣🤣🤣🤣
Back
Top Bottom