Recent content by adakiss23

  1. adakiss23

    Wenye majina ya Kindamba wanajisikiaje?

    ATHUMANI akishalewa anashindwa kujielewa talila Lila chicha limemkolea
  2. adakiss23

    KERO St Mathews inamzuia mwanangu kuhitimu Form 6, wanadai ni mtoro wakati alikuwa anaumwa na nimeenda na vithibitisho

    Akishasajiliwa sidhani kuna namna ya kumzuia kufanya mtihani. Nakumbuka wakati tunasoma high school (sio TZ), once ukishakuwa registered ukifanya msala wowote unapigwa suspension ya kipindi chote cha kuwa shule ila unarudi kufanya mtihani under supervision ya mtu wa usalama (askari) ambaye...
  3. adakiss23

    Uchambuzi wa sakata la Mohammed Damaro Camara

    Usijibu kama umekatwa kichwa Tanzania hairuhusu uraia pacha. Kuwa mtanzania rasmi ilibidi akane uraia wa Guinea. Amekana? Huyu kwa maelezo yako ana uraia pacha nje ya Sheria za Tanzania.
  4. adakiss23

    Uchambuzi wa sakata la Mohammed Damaro Camara

    Kwahiyo leo ni mTZ hapa bongo kesho akisajiliwa APR ataenda kama mtanzania au mGuinea?
  5. adakiss23

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Makato bado mkuu. Kama kesho sikukuu ngoma jumatatu
  6. adakiss23

    Ssebo hakujenga nyumba Dar?

    Sikujua Ssebo anatokea Lugazi. My other village town.
  7. adakiss23

    uliwahi kukwaruzwa au kuharibiwa gari na dereva wa bajaji au bodaboda anaeendesha kwa pupa, fujo, uzembe, kutotii sheria, n.k. ?

    Yani ni kama humu barabarani kuna Sheria mbili za boda/Bajaj na magari. Unaweza kuta taa zimewaka kijanja ila kuna boda ana abiria mshikaki anatakiza halafu wakati upande wake taa ni nyekundu. Dah wala hajali lolote. Wewe mwenye gari ndio utafunga breki yeye hana habari ila ukiogonga boda...
  8. adakiss23

    Uchambuzi wa sakata la Mohammed Damaro Camara

    Kama ni kweli hayo usemayo basi yanga ina wachezaji 13 wa kimataifa 😂😂
  9. adakiss23

    Uchambuzi wa sakata la Mohammed Damaro Camara

    Taarifa zilizopo hata hiyo passport aliyopewa tarehe zinatofautiana.
  10. adakiss23

    Uchambuzi wa sakata la Mohammed Damaro Camara

    Sitetei chochote ila maswali haya yameibuka baada ya yule mchezaji wa JS Kabyle aliyepewa uraia kuja tanzania na passport ya kwao sio TZ. Nahisi baada ya hilo, ndo wakaanza kuhoji uraia na utaratibu wa huyu mwingine. Na taarifa zilizopo hata tarehe za kuzaliwa zinatofautiana Ile ya mwanzo na hii...
  11. adakiss23

    Uchambuzi wa sakata la Mohammed Damaro Camara

    Kila kitu kina timing yake. Labda hii ndio time yake who knows. Pili, hili suala mbona watu walipiga sana kelele mwanzoni wakati wako Singida hao wachezaji? Kama wewe ni mtu wa soka basi itakuwa unajua kuna Sheria za nchi na sheria za soka ambazo FIFA wanasimamia. Simba wanachodai katika...
  12. adakiss23

    Uchambuzi wa sakata la Mohammed Damaro Camara

    Achana nao kanuni na sheria za FIFA zinasema passport pekee sio kigezo bado mtu anabisha na kuendelea kuropoka
  13. adakiss23

    Huyu mwanasiasa anayeitwa Sifuna ni nani?

    Baada ya Odinga kufa ODM nayo inaenda kugawanyika vipande viwili. UDA ya Ruto wanataka kutake advantage kuipasua maana so far ndio mpinzani mkuu. Kuna ODM wanataka kushirikiana na serikali wengine hawataki wabaki na misimamo ya upinzani wakiamini wana uwezo wa kumtoa Ruto.
Back
Top Bottom