Akishasajiliwa sidhani kuna namna ya kumzuia kufanya mtihani. Nakumbuka wakati tunasoma high school (sio TZ), once ukishakuwa registered ukifanya msala wowote unapigwa suspension ya kipindi chote cha kuwa shule ila unarudi kufanya mtihani under supervision ya mtu wa usalama (askari) ambaye...
Usijibu kama umekatwa kichwa Tanzania hairuhusu uraia pacha. Kuwa mtanzania rasmi ilibidi akane uraia wa Guinea. Amekana? Huyu kwa maelezo yako ana uraia pacha nje ya Sheria za Tanzania.
Yani ni kama humu barabarani kuna Sheria mbili za boda/Bajaj na magari. Unaweza kuta taa zimewaka kijanja ila kuna boda ana abiria mshikaki anatakiza halafu wakati upande wake taa ni nyekundu. Dah wala hajali lolote. Wewe mwenye gari ndio utafunga breki yeye hana habari ila ukiogonga boda...
Sitetei chochote ila maswali haya yameibuka baada ya yule mchezaji wa JS Kabyle aliyepewa uraia kuja tanzania na passport ya kwao sio TZ. Nahisi baada ya hilo, ndo wakaanza kuhoji uraia na utaratibu wa huyu mwingine. Na taarifa zilizopo hata tarehe za kuzaliwa zinatofautiana Ile ya mwanzo na hii...
Kila kitu kina timing yake. Labda hii ndio time yake who knows. Pili, hili suala mbona watu walipiga sana kelele mwanzoni wakati wako Singida hao wachezaji? Kama wewe ni mtu wa soka basi itakuwa unajua kuna Sheria za nchi na sheria za soka ambazo FIFA wanasimamia. Simba wanachodai katika...
Baada ya Odinga kufa ODM nayo inaenda kugawanyika vipande viwili. UDA ya Ruto wanataka kutake advantage kuipasua maana so far ndio mpinzani mkuu. Kuna ODM wanataka kushirikiana na serikali wengine hawataki wabaki na misimamo ya upinzani wakiamini wana uwezo wa kumtoa Ruto.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.