Hapo ni kuelewana tu baina ya mwaniri na mwajiriwa. Wote wana makosa. Hata kama hakuna makubaliano ya maandishi yapasa kuwe na hata ya mdomo ingawa kisheria hayana ushahidi wa moja kwa moja.
Nakubaliana nawe temeke hali ni mbaya. Pubs na baa nyingi kwa sasa biashara yao kubwa au mauzo yao makubwa ni kuandaa sherehe uchwara wanaita shughuli (birthdays, sijui dada wa hiari, kufuta urafiki baina ya wadada hasa wanapogombana, kuachika mtu anaandaa sherehe) na wengi host ni mashoga au...
Tuliowahi kuona wagonjwa wa ukimwi from early 1990s ukimwi achana nao kabisa. Hizi ARV zinawapa sana kiburi vijana WA siku hizi kuona hauna issue ila ni hatari sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.