Ase, hii thread ya miaka 5 nyuma na jina nilake kabisa, daah ase humu kuna watu wanafukua makaburi sio mchezo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila mshkaji anahitaji msaada maana hili suala nilamuda sasa
Kuna mambo mawili hapo,
1.mpeleke mtoto wako kwenye specialist za watoto upate maelezo ya kitaalam,
2.Inawezekana ana athari ya majini na mapepo machafu. usimpeleke kwa waganga mtafute kiongozi wa iman yako, haya mambo yapo sana na yanatesa sana
Pole sana
Endelea na kampeni yako yakukataa ndoa muda sio mrefu utaenda kukutana na aliyeziumba jinsia zote mbili na aliye amrisha watu kuoana, andaa majibu sahihi
utaacha wangapi?
Kaeni chini myamalize mambo yenu kimya kimya .
Alafu kwenye simu ya mke na mume ni ruksa kila mmoja ashike na akague kila kitu, WANANDOA MJIAMINI
Mkiona simu wanandoa hawabadilishani ujue hapo bado kuna shida
Kufunga unajua ww, yaan usiku na mchana masaa 24 ndo siku moja bila kuonja kitu chochote Wallah hutoboi siku 5, au labda kama kuna maana ya funga nyingine, labda kutokul nyama kwa siku 40, au ugali nk, ila sio ile funga tuijuayo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.