nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 10,687
- 9,869
Kuna kila viashiria kwamba nafasi yetu ya UANAUME imepokwa...hasa na mifumo ya sasa ya Dunia.
Kina mama waliotengenezwa na Beijing 1995 wameleta balaa.
Wanaume najua mnanielewa, mauti imepanda kuuwa uzao wa kiume.
Wanaume hatuna sehemu ya kutolea sumu.
Kina mama waliotengenezwa na Beijing 1995 wameleta balaa.
Wanaume najua mnanielewa, mauti imepanda kuuwa uzao wa kiume.
Wanaume hatuna sehemu ya kutolea sumu.