Recent content by abuu arona

  1. A

    Pombe ya Tshs Milioni tatu kwa chupa

    Mtani nazani miaka iko kwenye wine Sina akika kwenye whisky
  2. A

    Ibada za kutakasa ardhi/makazi

    Mkuu ii mada ata mm ina niusu ila tatizo mm sina imani na dini. Je nifanyeje kupatakasa!
  3. A

    Tuige hii desturi ya wachaga

    Acha usengerema wewe nyie ndo wale watoto wa kiswahili mnabaki kusema wachaga wachawi.wezi. uku tunazidi kuwaamisha mjini na uko mnako amia baada miaka tunakuja kiwanunua pia kama amtafanya kazi Kaua mchawi au mwizi na wewe ili ufanikiwe acha mboyoyo za k.....a
  4. A

    Kununua ticket ya ndege kabla ya safari

    Wabongo kweli tunamatizo. Si uende apo cordo spring hotel kama uko arusha ndo ofice zao zipo
  5. A

    Fahamu kuhusu kisiwa cha Cape Verde

    Mkuu nilikuwepo uko mwaka jana mwanzoni nazani mojawapo ya nchi nzuri za kiafrika kuanzia kwa watu na mazingira ila garama za kutalii ziko juu kiasi Njia ya kufika mm nilitokea (nbo) nairobi kwa maana ni karibu nakoishi arusha flight cost was around 2240 usd 2 way Conection 3 maxm hours 15 hrs...
  6. A

    Msaada wa mawasiliano au ofisi za Westpoint Dar es Salaam

    Google westpoint dar tz utapata location
  7. A

    Kelele Hoteli ya Bahari Beach

    Kelele za madisco ndo kelele za aya makanisa mapya ni miziki ya mungu kwa iyo azikeri sio.
  8. A

    Nguvu na uwezo alionao Malkia Elizabeth

    Quine alipi kodi raia wake ndo wanamlipa kodi kila raia kuna kiasi anakatwa kwenye kodi kila mwaka kwa ajili ya familia ya malkia
  9. A

    Kwa kashfa hii kubwa ya uhujumu uchumi, nashauri watu wanyongwe

    Kuna saa nafikiria kua muuaji wa kujitolea maana kuna watu wameshafanya ii ichi ni ya babu zao kwa maana amna wa kuwagusa.
  10. A

    wenye wapenzi someni hapa mnaibiwa

    Dhu! Aisee kweli ni bangi man maana miaka kadhaa iliyopita nilikataa kwenda chuo "abroad" kisa ni mapenzi ya kibangi bangi nashukuru mzee alielewa mapema akaniacha ganja ziishe kwanza.dhu ila uyo manzi alinivuitisha kushabo kabisa sio ganja tu nilikua nimedata man
  11. A

    Bibi wa Miaka 80 afika kileleni K'Njaro na kucheza "Mdundiko"..!

    Barafu aiwezi kutanda kila maali barafu ipo japo imepungua kiasi
Back
Top Bottom