Mkuu hapa ndio umefika mwisho wa kufikiri?naona comment kama za watu wa "hapa na pale"Makelele yaendelee hapa kazi tu!Si kuna sheria zinazokataza umeipigania hapa kazi tu!Haya endelea na makelele mbele kwa mbele mpaka ufe.
Utajua mwenyewe.Mkuu hapa ndio umefika mwisho wa kufikiri?naona comment kama za watu wa "hapa na pale"
Waambieni NEMC na nakiri kwenye magazeti ili tuone watakavyofanya kazi tuwapime. Tumeona kwenye kubomoa nyumba wako safi, sasa tunataka tuone na kelele za makusudi na udhia kama watazizuia. Kumbuka wameshatoa taadhari kuhusu hili suala.Habari za jioni GT's
Naandika waraka huu nikiwa mkazi wa eneo la Bahari Beach kulalamikia kelele za kila weekend au za masherehe ktk Hotel hii.
Yaani kila week end kuna Ma disco toto nk. Ma DJ wanapiga wanapayuka na kupiga ma taarabu nk yaani ni vurugu tu. Kama ujuavyo upepo nao unabeba hizo sauti yaani utafikiria wote tuko kwenye hizo sherehe. Kila wanachoongea na miziki inayoimbwa inaimbia kwenye nyumba zetu.
Huyu MMILIKI wa hii hotel tumemwomba mara nyingi atuondolee kelele hizi hataki. Serikali tusaidieni jamani. Uhuru gani huu Kama sio kukomoana kwa raha za watu wengine??? Kama uko maeneo ya Bahari Beach hadi Kunduchi naona utakuwa umenielewa. Tuungane KUKATAA haya makelele. Mtu huwezi kupumzika jamani!!!!!
Wahusika tusaidieni.
Queen Esther
nimekusoma mkuu.Utajua mwenyewe.
Akhsante Kwa Kutufahamisha Kuwa Unakaa au Unaishi Ushuani BAHARI BEACH.
Wewe na Bahari beach nani amemfata mwenzie?
Mkuu vaa earphones tulia zako acha watu wale raha zao
Habari za jioni GT's
Naandika waraka huu nikiwa mkazi wa eneo la Bahari Beach kulalamikia kelele za kila weekend au za masherehe ktk Hotel hii.
Yaani kila week end kuna Ma disco toto nk. Ma DJ wanapiga wanapayuka na kupiga ma taarabu nk yaani ni vurugu tu. Kama ujuavyo upepo nao unabeba hizo sauti yaani utafikiria wote tuko kwenye hizo sherehe. Kila wanachoongea na miziki inayoimbwa inaimbia kwenye nyumba zetu.
Huyu MMILIKI wa hii hotel tumemwomba mara nyingi atuondolee kelele hizi hataki. Serikali tusaidieni jamani. Uhuru gani huu Kama sio kukomoana kwa raha za watu wengine??? Kama uko maeneo ya Bahari Beach hadi Kunduchi naona utakuwa umenielewa. Tuungane KUKATAA haya makelele. Mtu huwezi kupumzika jamani!!!!!
Wahusika tusaidieni.
Queen Esther
GENTAMYCINE huishi vituko!!! Kweni ume-mind?? Si unajua tena extended family??
Queen Esther
Mkuu nilikuwa nataka kuhamia huko BB.. ila sasa najishauri nisije wapoteea wadogo zangu Mood ya kusoma!!Mwasu sio nguvu ya upepo tu!!!
Kelele hizi zimezidi. Hakuna faragha huku yaani uswahilini ni afadhali!!! Ni mwendo wa Ma disco na ma taarabuu tuu!! Hii haikubaliki hata kidogo.
Watoto wetu wanasoma saa hizi na kumalizia home work. Kwa kelele hivi kwa kweli ni shida na haya ni makwazo ya MAKUSUDI.
Serikali tusaidieni. Hii ni Hotel ya kitalii Kama inavyojiita au ukumbi wa disco???? Basi waweke sound proof!!
Queen Esther
DJs.........
We...mvuta bangi kuwa na heshima watu wazima wanapokuwa wanajadiliana mambo ya maana, nyambafu wewe.Makelele yaendelee hapa kazi tu!Si kuna sheria zinazokataza umeipigania hapa kazi tu!Haya endelea na makelele mbele kwa mbele mpaka ufe.
we...punguani heshima hainunuliwi dukaniUtajua mwenyewe.