Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,139
- 6,048
Tatizo la watanzania wengi ni kwamba wako incomptent na ndiyo maana kila mmoja analilia kuajiliwa serikalini ili asiwe anafanya kazi bali awe analipwa kwa kupiga domo tu na kuto onekana kazini. Yaani utakuta mtu kaajiliwa serikalini, asubuhi anakwenda kazini kusign kuwa yupo kazini, baada ya saa moja anarudi nyumbani kwenda kuuza vitumbua na mwisho wa mwezi analipwa mshahara as mfanya kazi wa serikali. Nimeshuhudia pale wizara ya mambo ya ndani, utakuta umepewa ahadi na fulani umfuate kesho muda wa kazi, yaani asubuhi. Utakwenda pale an hour before na utakaa mpaka jioni jamaa hatokei, ukirudi mitaani unamkuta yuko restaurant na wahindi pamoja na wasomali wakimhonga kuwapa passport. Ila to hell with wachagga, I will never copy them....I am competent and they (wachagga) need to copy me ili wajifunze mawii matatu.