Recent content by ABUMAN

  1. A

    Usaili Utumishi, mnapimaje ubora wa mtu kwa maswali mawili?

    Wale jamaa walikuwa na watu wao ile paper danganya toto,nimeangalia asilimia kubwa ya namba zilizofaulu kwa mfano km namba hiyo ni 200 amefaulu DSM na mkoani pia sasa huo si uzushi,waende zao na uzushi wao
  2. A

    Majibu usaili wa utumishi tarehe 11/10/2014

    Hayo majibu ya kupikwa tuuu Wewe watu elfu nne waweze sahihisha kwa siku nne tuu huo ni uzushi bora tujiajiri hapa km huna wa kukushika mkono bora tukalime
  3. A

    Angalizo: Wanachadema mjiandae kisaikolojia kupokea msiba wa chama chenu

    vp jamaa alifikia angani au?uchaguzi Kalenga kampeni Iringa Mjini,ni Chalinze watakuja Dsm wapige kampeni za uchaguzi wa Chalinze eti kuhamasisha wanachalinze waaishio Dsm kurudi Chalize wakapige kura nyie achene hizo,hao waliowapa hizo pesa za Obama watakuja kuzidai waulizeni...
  4. A

    Bunge enzi ya CUF na bunge wakatu huu wa CHADEMA nini unafaidi na nini unakikosa?

    tunachokosa ni hoja makini na mahiri,tunachokipata sasa hv ni matusi na mipasho,disco joka na mistari toka kwa wafokaji wa kila uchochoro.
  5. A

    Tamko la UVCCM Arusha juu ya Husein Bashe na Lema

    muda si mrefu wataanza kutukana na mipasho km wale madj wao pale mjengoni.
  6. A

    Things Fall Apart in CHADEMA

    Wanaume wakati wao wanauswahiba na kile chama cha uk kinachounga mkono ushogaaa?isije na wao wakawa ktk mashaka km wenzao
  7. A

    Things Fall Apart in CHADEMA

    ninyi movement for cash huwa hamna hoja bali porojo tu na matusi,nina wasi wasi wengi wenu mnavuta majani au mnabwia unga maana mtu mwenye akili timilivu hawezi kamwe kuwa cdm maana ninyi mnashabikia na kujihusisha na mambo msiyoyajua,poleni sana,anguko lenu lipo mlangaoni.
  8. A

    Sakata la Lwakatare: Wanasheria CHADEMA walonga

    Napita tu,Lissu alipozungumzia ugaidi akataja uislam,vp na kule wanakopigana kutaka kujitenga na uanglikana nao ni waislam,ninyi movement for cash wachezi hizo bana
  9. A

    Nataka Mdahalo au mahojiano na Dr Slaa au mbowe

    hao ndio movement for cash CDM bana,hawana hoja wao ni matusi tu,hata wale vichwa vyao ni vivyo hivyo
  10. A

    Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

    kwani Ikulu kuna kazi ya kupiga kinanda,jibu ni ndio basi Mimi namchagua Mzee Mzima Slaa
  11. A

    Kuitwa Kazini NSSF

    naam mjukuu wa mtei,vp kuhusiana na tra vp hazina vp tanapa etc nako tupaiteje,ninyi wakataaloki ni wa kubebwa kwa kuwa mbeleko zenu zimechanika hamuishi kubwabwaja kila kukicha tumewachoka sasa na chama chenu cha chadomo
  12. A

    Leo naomba nimtetee mheshimiwa raisi wangu ndugu J M Kikwete

    those are your thought even a child would have the dream of becoming the great businessman but when he actual grow up he will realise that was a day dream...childish
  13. A

    HALI MBAYA, CHADEMA yazidi kupukutika moshi

    baambe habo bajamaa,cdm ni wazushi tu,na babu yao yule mtoa macho na mrukia wake za watu,watakufa kwa aibu kama kawaida ya
  14. A

    Bora ya wazungu mara 1000

    UNYONYAJI NA UTUMWA MAMBOLEO UNAOFANYWA NA WAHINDI KWA WATANZANIA WASIO WAHINDI WAHINDI NA UFISADI WA RASILIMALI WATU Napenda kuchukuwa fursa hii adhiim kuwatanabaisha Watanzania hasa mawaziri wa wizara husika juu ya madhila yanayotokana na ndugu zetu Wahindi kwa Watanzania wenzao ambao si...
  15. A

    Nmb ni bank au? Tumeichoka sasa basi

    Habari wadau,Km mfanyakazi wa Serikali natoa hoja ya sisi wafanyakazi wa Serikalini tuhame kuitumia NMB kupitishia mishahara yetu kwani uongozi na wafanyakazi wameonesha kushindwa au kuzidiwa na kazi kiasi kwamba kuna baadhi ya wafanyakazi hasa wa tasnia ya Ualim wameshindwa kupata mishahara yao...
Back
Top Bottom