mkuu hiki kitabu cha 'things fall apart'' uliwahi kukisoma au?
Mkuu Meningitis!
heshima kwako Mkuu!
Akisome wapi wakati ni zao la Kawambwa!! MEMKWA tupu atajua wapi "theme" ya kitabu hiki zaidi ya kudakia maneno asiyo yajua!!???
mkuu hiki kitabu cha 'things fall apart'' uliwahi kukisoma au?
Mtu ametoa taarifa ya kile alichokiona na kukisikia, watu badala wajadili hoja wanajadili mleta mada....poor you vijana wa kinondoni manyanya
tangu jana unaanzisha uzi tofauti tofauti kushambulia CDM vp tayari umeshachukua posho. Kitabu cha things fall apart umekisoma kweli, au akili zako zipo chini kwenye kabaang'
1. Naona ulikuwepo kwenye kikao. Elezea undani wa mazungumzo yalivyokwenda.
2. Suala la Rwakatare ni la CHADEma? Abu ni kweli kwamba mlilibuni ili hatimaye mkihusishe chama CDM?
3. Kwa mtazamo huo sasa jamii Lkwamba mko katika mchakato wa kumtumia LUDO ili awa implicate viongozi wakuu wa CDM ili chama kiathirike?
4. Hivi mtu kama wewe, unakubali kutumiwa na ccm, na wewe bila kutumia akili unakubali kutumika. Unalipwa nini ambacho kitaifanya familia yako, ukoo wako wote na vizazi vyao waishi maisha yasiyoguswa na uozo unalozidi kurutubishwa na utawala wa ccm?
5. Unaelewa ni kwa kiwango gani ccm unayoisaidia imechangia wewe kupoteza maisha ya ndugu zako na ama kuwafanya waishi maisha yaliyo chini ya kiwango?.
6. Mungu alikuumba na dhamira. Tafakari sanana kama wa tz wa leo na kesho watakuombea heri kwa ajili ya huu ukibaraka unaoufanya.
Zingatia kwamba, MAISHA YAKO YOTE YAKO MIKONONI MWA MUNGU ANAYEKUJUA NA SIRI ULIZOBEBA.
ninyi movement for cash huwa hamna hoja bali porojo tu na matusi,nina wasi wasi wengi wenu mnavuta majani au mnabwia unga maana mtu mwenye akili timilivu hawezi kamwe kuwa cdm maana ninyi mnashabikia na kujihusisha na mambo msiyoyajua,poleni sana,anguko lenu lipo mlangaoni.
ninyi movement for cash huwa hamna hoja bali porojo tu na matusi,nina wasi wasi wengi wenu mnavuta majani au mnabwia unga maana mtu mwenye akili timilivu hawezi kamwe kuwa cdm maana ninyi mnashabikia na kujihusisha na mambo msiyoyajua,poleni sana,anguko lenu lipo mlangaoni.
ninyi movement for cash huwa hamna hoja bali porojo tu na matusi,nina wasi wasi wengi wenu mnavuta majani au mnabwia unga maana mtu mwenye akili timilivu hawezi kamwe kuwa cdm maana ninyi mnashabikia na kujihusisha na mambo msiyoyajua,poleni sana,anguko lenu lipo mlangaoni.