Usichukulie wa2 wachache ukafanya comparison kwa wa2 wote mkuu. Mbona kuna wa2 ambao co waislam wameitwa na wana matokeo mabovu tu? Hiyo ni bahati ya m2 kijana mi mbona huku cjaitwa wkt ukiangalia vyeti vyangu vinaonesha kamanimesoma shule za kiisalam?hiyo bahati ya m2