Kama nimemsoma Vyema Lisu Hapa
Kimsingi Lisu anaoneka zaid kusimamia Maslahi ya CDM, ukimsoma kwa undani zaid yuko Very much Focused Kumjua ni nani aliyesuka Hii Movie.
Na hapa CCM hawatachomoka, Lissu hajakanusha kuwa Lwakatare hakuhusika, Mark my words, ila Lissu anataka kuudhihirishia Ulimwengu kuwa.
Hii Movie ni Mpango mchafu wa CCM kwa kushirikiana na Vyombo vya dola including TISS kuvuruga CDM imgwa wataangukia Pua.
Ukiangalia Flow ya Mawasiliana ya Ludo na Mwigulu 28/12/2012 na kesho yake Mwigulu kutangaza kumiliki Mkanda ukionesha Viongozi wa CDM na mipanga
ya Mauaji through Star TV, Ukiangalia email ya Michuzi kwa wana Ikulu wenzake akiwapa Kudos TISS kwa kazi nzuri, na Mwisho kabisa ukiangalia
Mawasiliana ya Denis Msaki na Lwakatare a day before Movie haijarekodiwa, hapo utagundua kuwa.
1. Kimsingi Ile Video ili rekodiwa Purposely Kuchafua CDM
2. Inawezekana pia Lwakatare amehusika hapa kwa Namna Moja ama Nyingine
Important
Hapa CDM wanatakiwa waendelee kusimamia hoja yao ya ni nani alimtuma Ludo ku record Mkanda.
Fursa Pekee itakayowezesha hili ni Kwa kuendelea Kumtetea Lwakatare Mahakamani hata Ludo akitaka Huo Msaada.
Najua CCM hakulifikiria hili Before,.
Hapa tutawakamata CCM na Serikali yake na who knows, Ukombozi unaweza Kuanzia hapa.
Lakini kitu Kingine ambacho kinapunguza Imani ya wengi kuamini kuwa Lwakatare anahusika hapa ni Yeye kukubali Kudhaminiwa na akina Lissu.
Kama kweli angekuwa anahusika, asingekubali Kutetewa na akina Lissu maana Risk ya yeye kutetewa na akina Lissu kama kweli
na yeye ni part ya Wana hii Movie ni Kubwa sana, angeweza tu kutafuta Ma wakili wengine, au hata akina Mwigulu wangeweza Kufanya
Arrangement ya kumuwekea Mawakili feki wa Kuzugia, utakubali vp kutetewa na Mtu ambaye unajua Kabisa umemsaliti!!!!!!!!!!!
Unless akina Lissu nao ni sehemu ya Hii Movie
Tusubiri Tuone, Hii kesi tamu kweli kweli, na sitashangaa kusikia DPP kaamua kuifuta hii kesi