Recent content by Abou Shaymaa

  1. Abou Shaymaa

    Kuna jambo haliko sawa. Top ya matajiri katika nchi kuwa wa rangi moja tu

    Ila wakristo wanawaogopa waislamu aisee 😅😅 Dah!
  2. Abou Shaymaa

    Tuliofanikiwa kwa michongo hatari baada ya kuona hakuna njia ya kutoboa

    Mkuu mbona hujaendeleza au ndio ushanaswa huko kwenye dili haramu?
  3. Abou Shaymaa

    Nina wazo la kipekee sana litakaloanza hivi karibuni ila nina hofu kubwa sana

    Mkuu ulifikia wapi lile wazo? Tuone basi hiyo bidhaa tukuungishe
  4. Abou Shaymaa

    Huyu ndo mmiliki wa home shopping centre aliyemwagiwa tindikali

    Hata me nikisubiri nijue aliishia wapi
  5. Abou Shaymaa

    Uongo wa kutisha wafugaji hudanganyana kuhusu ufugaji wa kuku (3 itakuvunja mbavu)

    Jamii yetu inatakiwa kuelimishwa coz ina dhana potofu sana kuhusian na aina hii ya kuku broiler leyas na hata hao chotara
  6. Abou Shaymaa

    Simulizi: Nyuma ya mlango wa adui

    BinSalum7 Shukran Kaka
  7. Abou Shaymaa

    PostGE2025 Kikwete, CCM na machawa wataweka wapi sura zao ICC wakitoa arrest warrant kwa Samia?

    Baada ya kufeli maandamano muna hamisha mapambano kwenda ICC, tulie vijana miaka 5 sio mingi
  8. Abou Shaymaa

    Habari za JWTZ Kuna muda zinachekesha

    Vipi bado upo barabarani?
  9. Abou Shaymaa

    Mange Kimambi: Mwanaharakati mwiba wa Serikali ya Magufuli

    tumetoka mbali sana kwa kweli
  10. Abou Shaymaa

    Biashara ya kusafirisha mizigo kwenda kusini ipo na demand kubwa sana tunaweza kuungana kuifanya hii biashara

    Usemalo ndilo lililopo huku kusini, coz hata kipind cha misimu ya mavuno kama korosho gari zinapeleka mzigo bandari ya mtwara
  11. Abou Shaymaa

    Gen Z ndo kizazi bora na cha watu wenye upeo wa juu wa uelewa

    Situmwi mkuu, ila uhalisia ndio huo munatumika kwa maslahi ya wengine ambao hawata wakumbuka siku wakikalia hizo mali zaidi ya familia zao, munapaswa kuhurumiwa
  12. Abou Shaymaa

    UKWELI MCHUNGU (GEN Z Hawataki Kusikia Lakini ni Ukweli 100%)

    Ni ukweli usemalo ila kamwe hawawezi kukujibu kwa hoja yeyote zaidi ya matusi, nasikitika kuwaona wanapambana kwaajili ya mslahi ya wengine...
  13. Abou Shaymaa

    Gen Z ndo kizazi bora na cha watu wenye upeo wa juu wa uelewa

    Na ndio kizazi kinachotumika kuwapambania wengine nao wapate nafasi ya kuendesha ma V8 na kujilimbikizia mali za umma ambazo kwa sasa hawazipati
Back
Top Bottom