Recent content by Abou Shaymaa

  1. Abou Shaymaa

    JamiiForums Tanzania Kama hujawahi kufika jiji la Tanga, basi haya ndio mambo yanayopatikana huko

    SD ipo maeneo gani kiongozi?
  2. Abou Shaymaa

    JamiiForums Tanzania Simu imeokotwa

    Atakupigia usihofu
  3. Abou Shaymaa

    JamiiForums Tanzania Dunia inazidi kuwabadilisha waislamu mambo mengi sana sasa washagundua mbwa sio haramu kwao kama mfugo

    يَسْأَلُونَكَ مَاذَا أُحِلَّ لَهُمْ ۖ قُلْ أُحِلَّ لَكُمُ الطَّيِّبَاتُ ۙ وَمَا عَلَّمْتُم مِّنَ الْجَوَارِحِ مُكَلِّبِينَ تُعَلِّمُونَهُنَّ مِمَّا عَلَّمَكُمُ اللَّـهُ ۖ فَكُلُوا مِمَّا أَمْسَكْنَ عَلَيْكُمْ وَاذْكُرُوا اسْمَ اللَّـهِ عَلَيْهِ ۖ وَاتَّقُوا اللَّـهَ ۚ إِنَّ اللَّـهَ سَرِيعُ...
  4. Abou Shaymaa

    JamiiForums Tanzania Kuna maisha baada ya kifo au tukifa ndio mwisho wa kila kitu

    يُخْرِجُ الْحَيَّ مِنَ الْمَيِّتِ وَيُخْرِجُ الْمَيِّتَ مِنَ الْحَيِّ وَيُحْيِي الْأَرْضَ بَعْدَ مَوْتِهَا ۚ وَكَذَٰلِكَ تُخْرَجُونَ ﴿١٩﴾ 19. Anatoa kilichohai kutokana na kilichokufa, na Anatoa kilichokufa kutokana na kilichohai, na Anaihuisha ardhi baada ya kufa kwake, na hivyo ndivyo...
  5. Abou Shaymaa

    JamiiForums Tanzania Wachumi: Leo Taifa limepata hasara kiasi gani? CCM siyo sifa, hiki mnafanya ni upumbavu

    Baada ya maandamano kufeli sio? Hamuamin tu kama wananchi wamekataa huo ujinga wenu wa kuwatoa kafara kwa maslahi yenu? Tafuteni mbinu nyingine hii imefeli vibaya 🤣🤣
  6. Abou Shaymaa

    JamiiForums Tanzania Nawapa heshima zote mnaojitafutia vipato kwenye biashara. Kumejaa ushindani, kukomoana, kuchezewa rafu, n.k. sio rahisi hata kidogo

    Hata ukiumwa inakulazimu ukipata unafuu tu urudi dukan ukajiuguzie huko, hakuna likizo coz ukijipa likizo tu ushapoteza wateja wengi.
  7. Abou Shaymaa

    JamiiForums Tanzania Navutiwa na jinsi Rais Kagame anavyotawala Rwanda

    Kwahiyo baada ya gadafi kuuliwa maendeleo yamezidi sio ?
  8. Abou Shaymaa

    JamiiForums Tanzania Pikipiki ipi ni bora zaidi?

    Chukua Haojue express au plus hutojutia, ni imara sana, mafuta zinanusa, nguvu kubwa inachanganya haraka sana (nyepes kwenye mwendo) na mafundi wapo wengi na used yake inauzika kwa urahis tofaut na zingine ila changamoto zake ni 1.mzito sana kama itakuzimikia sehemu labda imeisha mafuta...
  9. Abou Shaymaa

    JamiiForums Tanzania Wataalim wa Wifi naombeni msaada wa kibiashara

    https://vt.tiktok.com/ZSQtaNoGw/ Tumia hiyo link utapata pa kuanzia, usisahau mrejesho.
  10. Abou Shaymaa

    JamiiForums Tanzania Wataalim wa Wifi naombeni msaada wa kibiashara

    Kuna jamaa tiktok nimesahau jina ila anauza kifaa ambacho kinasaidia WiF kwenda hadi Umbali wa km 1 pia ana mfumo wa vocha ambao mteja anachagua mwenywe kifurushi atakacho kama ni 500 kwa saa au 1000 kwa siku ukiisha muda inajitoa tu yenyewe we kwako zinaingia pesa tu ila wanajiunga wenyewe huko...
  11. Abou Shaymaa

    JamiiForums Tanzania Hivi Wenzangu huwa mnakula vyakula Gani?

    Binafsi naona vyakula ndio vile vile tu ila ni kubadilisha aina za upishi coz huo mchele una mapishi zaid ya 40 ila ugali labda mboga, Iwe ndizi, viazi ni kubadilisha staili tu za kupika na ukimpanda mwanamke ambae anapenda sana kupika pika na kufuatilia mapishi hapo utaenjoy vyakula japo ni...
  12. Abou Shaymaa

    JamiiForums Tanzania Njoo tufanye biashara ya kununua korosho

    Ufuta naona muda wake ndio unaishia mbaazi bado hadi mwezi wa 7 huko hadi 8 na korosho ni kuanzia mwezi wa tisa na hapa nakusudia kununua kwa wakulima (kangomba) na kuuza kwa vyama vya msingi inahitaji umakin na ufuatiliaji wa muda mrefu coz unaweza kata pesa, ukanunua labd kangomba 2000 gharama...
  13. Abou Shaymaa

    JamiiForums Tanzania Njoo tufanye biashara ya kununua korosho

    Nunua mbaazi
  14. Abou Shaymaa

    JamiiForums Tanzania Ukifanikiwa punguza kelele kula kimya kimya, Dogo mmoja wa Twitter huko X sasa hivi wamemfelisha

    Naona mkuu hukufuatilia uzuri sakata lao na trump, hisa za tesla zilishuka mara 2 kipindi cha kampeni mpka trump akampambania baada ya kuingia madarakan, akaja tena kugombana na trump mpka akajiuzulu kwenye D.O.G.E. hadi leo hii karudi mwenywe kumlamba miguu trump majuzi tu walikuwa nae china.
Back
Top Bottom